Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Hahahahaaaaa
Asee hii kauli ya kizuri kula na mwenzako,nmecheka kama wewe ulivocheka tu ila angalia valentina asije akaweka mkuki on the day maana kwenye project yao unayoisikiasikia waliniomba niwatengenezee mkuki ila sijajua ni wa nini!.
 
Asee hii kauli ya kizuri kula na mwenzako,nmecheka kama wewe ulivocheka tu ila angalia valentina asije akaweka mkuki on the day maana kwenye project yao unayoisikiasikia waliniomba niwatengenezee mkuki ila sijajua ni wa nini!.
looooh moyo wangu jaman, naomba usukume damu tu maana nazimia eti.
Moyo,moyo, moyo
nakupenda na naomba uache tabia ya kupenda bali fanya kazi yako ya kusukuma damu.
Naona unakonipeleka ni kubaya sana moyo.
nionee huruma moyo.
Ona kina Chachasteven wanaanza kufanya kazi ambazo zitatuumiza wote wawili
moyo sikia kilio changu eti(in mong'oo sound)
 
looooh moyo wangu jaman, naomba usukume damu tu maana nazimia eti.
Moyo,moyo, moyo
nakupenda na naomba uache tabia ya kupenda bali fanya kazi yako ya kusukuma damu.
Naona unakonipeleka ni kubaya sana moyo.
nionee huruma moyo.
Ona kina Chachasteven wanaanza kufanya kazi ambazo zitatuumiza wote wawili
moyo sikia kilio changu eti(in mong'oo sound)
Sasa wewe Asprin wako,STUNTER nae unamdanganya danganya,yule nanihii tena wako!

Sasa ukiwa nao wote hao halafu sisi wengine tubakije? Acha ufisaji wa kujilimbikizia ma gentlemen bana tufikirie nasie

We moyo wa jje's sukuma vyote mwaya asikupangie
 
looooh moyo wangu jaman, naomba usukume damu tu maana nazimia eti.
Moyo,moyo, moyo
nakupenda na naomba uache tabia ya kupenda bali fanya kazi yako ya kusukuma damu.
Naona unakonipeleka ni kubaya sana moyo.
nionee huruma moyo.
Ona kina Chachasteven wanaanza kufanya kazi ambazo zitatuumiza wote wawili
moyo sikia kilio changu eti(in mong'oo sound)
Hahaha,Moyooo!..Fanya kazi zako buana.
 
d07ec449958b85c95134c303ba7bcfe2.jpg
 
Sasa wewe Asprin wako,STUNTER nae unamdanganya danganya,yule nanihii tena wako!

Sasa ukiwa nao wote hao halafu sisi wengine tubakije? Acha ufisaji wa kujilimbikizia ma gentlemen bana tufikirie nasie

We moyo wa jje's sukuma vyote mwaya asikupangie
Uwii,muonee huruma.Mwambie polopole tu atakuelewa.
 
Sasa wewe Asprin wako,STUNTER nae unamdanganya danganya,yule nanihii tena wako!

Sasa ukiwa nao wote hao halafu sisi wengine tubakije? Acha ufisaji wa kujilimbikizia ma gentlemen bana tufikirie nasie

We moyo wa jje's sukuma vyote mwaya asikupangie
hahahahahahhaahhaha moyo wangu usimsikilize Valentina
 
looooh moyo wangu jaman, naomba usukume damu tu maana nazimia eti.
Moyo,moyo, moyo
nakupenda na naomba uache tabia ya kupenda bali fanya kazi yako ya kusukuma damu.
Naona unakonipeleka ni kubaya sana moyo.
nionee huruma moyo.
Ona kina Chachasteven wanaanza kufanya kazi ambazo zitatuumiza wote wawili
moyo sikia kilio changu eti(in mong'oo sound)
Hivi huo moyo unataka usukume damu kuelekea eneo gani la mwili?
 
sitaki kumsikia huyu kiumbe naona anataka moyo usukume vyote.

uwiiii ataniua huyu
Basi umeshaelewa kumbe,sasa uo moyo ukitaka kufanya kazi zisizo zake ukabizishe kwangu ntaupa unachoki-deserve,sawa shemeji yangu mzuri?.
 
Sasa wewe Asprin wako,STUNTER nae unamdanganya danganya,yule nanihii tena wako!

Sasa ukiwa nao wote hao halafu sisi wengine tubakije? Acha ufisaji wa kujilimbikizia ma gentlemen bana tufikirie nasie

We moyo wa jje's sukuma vyote mwaya asikupangie
Khaaaa...!!!
 
Back
Top Bottom