Uzi wa vyakula tu

Kunyweni maziwa nyie acheni mambo yenu
IMG_20210713_084501.jpg
 
Hicho cha kijani ni nini?
Huku kwetu tunaiita "Mukimo"... Mchanganyiko uliopondwa wa mahindi mepesi, maharagwe, viazi, pumpkin leaves(hiyo green colour) dhania, na spices zingine apo. Unaweza ongeza chenye unapenda.
Mostly served na stew yoyote ile, na pia kiporo chake waeza kikaranga kwa kitunguu asubuhi, hutokula mkate tena! 🤣 🤣 🤣 🤣 👌
 
Dah mzee baba unantia udenda bado sijauona wa mida ya Dochi vele
Ngavu.we SI ulipiga mtibwa db...Sasa Mimi leo sikugonga tea nilikuwa na ka show flani Cha kumsafishia mwanangu mmoja kiwanja chake ndo maana nimegeuza mchana huu nikaliunga la kizushi ngoma mpaka jioni hio...Sasa hv naingia kitaa majabalini kuzuga naweka pozi mpk jioni MB 1024 zipo uhakika
 
Ngavu.we SI ulipiga mtibwa db...Sasa Mimi leo sikugonga tea nilikuwa na ka show flani Cha kumsafishia mwanangu mmoja kiwanja chake ndo maana nimegeuza mchana huu nikaliunga la kizushi ngoma mpaka jioni hio...Sasa hv naingia kitaa majabalini kuzuga naweka pozi mpk jioni MB 1024 zipo uhakika
Hahahah 1GB uhakika,,, mie leo napiga acapella mpaka mishale ya BBC london niko clanga session kitaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom