ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,725
Kunyweni maziwa nyie acheni mambo yenu
Huku kwetu tunaiita "Mukimo"... Mchanganyiko uliopondwa wa mahindi mepesi, maharagwe, viazi, pumpkin leaves(hiyo green colour) dhania, na spices zingine apo. Unaweza ongeza chenye unapenda.Hicho cha kijani ni nini?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂ugali wa parachichi
magimbi mzee umenikumbusha mbali sana ...SONGEA hiyo..... ukitoka hapo nguvu za kulaumu serikali zinakuepo
Mkuu hii Buguruni Euro pub bado inatoa hii huduma ya supu?
Ndondo hilo kuna ubweche nini hapo unarushwa?
OG sana hii mixa
Ndondo hilo kuna ubweche nini hapo unarushwa?
UHAKIKA..SINDIOOG sana hii mixa
Dah mzee baba unantia udenda bado sijauona wa mida ya Dochi veleUHAKIKA..SINDIOView attachment 1851467
Ngavu.we SI ulipiga mtibwa db...Sasa Mimi leo sikugonga tea nilikuwa na ka show flani Cha kumsafishia mwanangu mmoja kiwanja chake ndo maana nimegeuza mchana huu nikaliunga la kizushi ngoma mpaka jioni hio...Sasa hv naingia kitaa majabalini kuzuga naweka pozi mpk jioni MB 1024 zipo uhakikaDah mzee baba unantia udenda bado sijauona wa mida ya Dochi vele
Mkuu unakula kipendacho roho kabisa
Vizuriubunifu mkuu wangu
Hahahah 1GB uhakika,,, mie leo napiga acapella mpaka mishale ya BBC london niko clanga session kitaa!Ngavu.we SI ulipiga mtibwa db...Sasa Mimi leo sikugonga tea nilikuwa na ka show flani Cha kumsafishia mwanangu mmoja kiwanja chake ndo maana nimegeuza mchana huu nikaliunga la kizushi ngoma mpaka jioni hio...Sasa hv naingia kitaa majabalini kuzuga naweka pozi mpk jioni MB 1024 zipo uhakika
Nzr tatizo sina uhakika wa kushibaMorning guys.
Karibuni sanaView attachment 1850254
Duh asee kweli we mbabe chunga SanaHahahah 1GB uhakika,,, mie leo napiga acapella mpaka mishale ya BBC london niko clanga session kitaa!
Vilikuja vikaisha yani havina hamu na mimi😅 maana nikiwa tight siwazag kulaDuh asee kweli we mbabe chunga Sana
VITONDA VYA TUMBO VINAZUILIKA