ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,416
- 947
ugali wa parachichiHicho cha kijani ni nini?
boss hii inapatikana wapi?TunaendeleaView attachment 1843687
Umeacha kula parachichi km tunda umelisonga ugaliugali wa parachichi



eh!ndo nasikia leo
ubunifu mkuu wanguUmeacha kula parachichi km tunda umelisonga ugalieh!ndo nasikia leo
![]()
Huku kwetu tunaiita "Mukimo"... Mchanganyiko uliopondwa wa mahindi mepesi, maharagwe, viazi, pumpkin leaves(hiyo green colour) dhania, na spices zingine apo. Unaweza ongeza chenye unapenda.Hicho cha kijani ni nini?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂ugali wa parachichi
magimbi mzee umenikumbusha mbali sana ...SONGEA hiyo..... ukitoka hapo nguvu za kulaumu serikali zinakuepo



Umalaya tu hakina cha supu wala nini
Mkuu hii Buguruni Euro pub bado inatoa hii huduma ya supu?
Ndondo hilo kuna ubweche nini hapo unarushwa?
OG sana hii mixa
Ndondo hilo kuna ubweche nini hapo unarushwa?
UHAKIKA..SINDIOOG sana hii mixa