Hahahaha ila wewe jamaa.Wife cooker View attachment 1034615

.Nakujua mlo wako nakula mimi vibinti vyangu 2 na nyau wetu.
Cc THOMASS SANKARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hmm! Jamani sasa nitake radhi watu wote nyie hapana Anasema nikikaa mimi jikoni namtia aibu ataonekana kama hajui kupika. Ndio maana anakataa.















"Na nyau wetu" usinisahau na mie mkwe wako toka hapa malindiNakujua mlo wako nakula mimi vibinti vyangu 2 na nyau wetu.
Cc THOMASS SANKARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipaji kinakufa sheh wangu,Anasema nikikaa mimi jikoni namtia aibu ataonekana kama hajui kupika. Ndio maana anakataa.
ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
Shekhe ujuzi hauzeeki...Nae ni fundi haswa lakini akiniona mi naingia jikoni anatetemekaKipaji kinakufa sheh wangu,
Btw bila shaka nae aonekana fundi jikoni
Sent using Jamii Forums mobile app



Ila una punguaShekhe ujuzi hauzeeki...Nae ni fundi haswa lakini akiniona mi naingia jikoni anatetemeka
ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓


.Daah😩 napika mwenyewe ila hilo jina mimi ni dingi sio mtoto bana
Hongera sana aisee. Acha kulia we si unaitwa dingimtoto sasa inanipa uvivu kumalizia lote, huwa naona wengine wanakatisha wanakuita dingi mimi nimeamua nichukue la mtotoDaahnapika mwenyewe ila hilo jina mimi ni dingi sio mtoto bana
Sawa! Miss KhantweHongera sana aisee. Acha kulia we si unaitwa dingimtoto sasa inanipa uvivu kumalizia lote, huwa naona wengine wanakatisha wanakuita dingi mimi nimeamua nichukue la mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app