Ruksaaaaaaaawakuu zakudownload zinaruhusiwa maana natamani niwaunge mkono lakini sina chakupost mongozo tafadhari #via uaminifu
Ila una pungua.
Kwahyo mambo yale ya zaman kujifunga msuli na kuingia jikoni hayapo tena sheh wangu?
Ama kweli time do flies so fast
Sent using Jamii Forums mobile app









Manyau nyau nawe unakula chips kuku, nyie si watu wa nyama mbichi.
Welcome back, umepotelea wapi
Tulikumiss pia..
Leo nimeingia kwa kuibia, karibuni tambi za nyama ya kusagaIla una pungua.
Kwahyo mambo yale ya zaman kujifunga msuli na kuingia jikoni hayapo tena sheh wangu?
Ama kweli time do flies so fast
Sent using Jamii Forums mobile app



Swadaktaaa mja haachi asiliLeo nimeingia kwa kuibia, karibuni tambi za nyama ya kusagaView attachment 1036024
ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
Swadaktaaa mja haachi asili
Uwe unaibia ibia hivyo hivyo sheh wangu
Sent using Jamii Forums mobile app














Kweli nimeamini mganga haagizi matembele.. Ni kuku tu na ndo tunaowaonaga wenye menu zako.. Nakuelewa Sana mzee baba, nikiwa mkubwa ntakua mganga
Sawa sawa mkuu....
Kweli nimeamini mganga haagizi matembele.. Ni kuku tu na ndo tunaowaonaga wenye menu zako.. Nakuelewa Sana mzee baba, nikiwa mkubwa ntakua mganga
Sent using Jamii Forums mobile app




usisubiri ukubwa anzia udogoni ili uwe moto sana