Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Ukiwa mpishi ni ngumu sana kuridhika na chakula walichopika and wengine. Michicha imelegeeeeaaa 😭


IMG_9054.jpeg
 
Sasa huyo samaki kwa watu washenzi, wanampindua wanakula upande wa pili..
Kwa sisi wastaarabu tunatoa mwiba wa kati, tunakula nyama iliyobaki.

Usiende kuchumbia ukawekewa samaki, ukala uapmde mmoja kisha ukampindua kula upande wa pili, sehemu nyingine unapigwa makofi na mke unakosa...

Zingatia
KUMPINDUA
KULA UPANDE WA PILI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom