Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Sasa huyo samaki kwa watu washenzi, wanampindua wanakula upande wa pili..
Kwa sisi wastaarabu tunatoa mwiba wa kati, tunakula nyama iliyobaki.

Usiende kuchumbia ukawekewa samaki, ukala uapmde mmoja kisha ukampindua kula upande wa pili, sehemu nyingine unapigwa makofi na mke unakosa...

Zingatia
KUMPINDUA
KULA UPANDE WA PILI
Nimejifunza jambo hapa.. teh teh teh😁
 
IMG-20260730-WA0009.jpg
 
mi ndizi sijawahi kuzielewa kabisa mara nyingi nikila zinaniletea kiungulia, myfvrt ni pilau, mihogo ya kuchemsha, magimbi na ugali dagaa,,

huku nilipo kuna mahali wanauza kuku ndimu yani kachomwa alf katiwa ndimu kama yote ni mtam balaa
Yahani wewe unayo matatizo, kwamba chakula kinakuletea kiungulia halafu ugali na mchele havikusumbui!!?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom