Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

...nguna
 

Attachments

  • 20260508_135804.jpg
    20260508_135804.jpg
    535.5 KB · Views: 12
Yaani.

nakula kula tu tuvitu vitu. ugali, wali, pilau, ndizi my favorite ndizi za moshi, mihogo, viazi lishe nimekula sana na kuku choma, salads za kiswahili basi….
mi ndizi sijawahi kuzielewa kabisa mara nyingi nikila zinaniletea kiungulia, myfvrt ni pilau, mihogo ya kuchemsha, magimbi na ugali dagaa,,

huku nilipo kuna mahali wanauza kuku ndimu yani kachomwa alf katiwa ndimu kama yote ni mtam balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom