Tronics guru
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 10,367
- 7,966
Mbegu hii ya Bamia ni adimu
Vyapati vimetulia, kwa kweli vinatamanisha.
HakikaVyapati vimetulia, kwa kweli vinatamanisha.
![]()
Safi sana.
HahahaWatoto wa mama ntilieView attachment 1997012
Aisee hapo ugali unaenda vizuri sanaSafi sana.
![]()
Daah nikipikiwa nyumbani hivi sijui kama nitakuwa nakula hotelini na kwa mama nitilie wadau nawakataa kabisa moja kwa moja nyumbani [emoji1787][emoji1787][emoji39]
View attachment 1987389
Haya maharage ya kijani huwa unayanunua wapi?View attachment 1987693
Hivi ndo viamba upishi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Heavy breakfastView attachment 1988059
Mkuu niaje! Habari za kupoteana?