Tronics guru
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 7,924
- 7,392
Mbegu hii ya Bamia ni adimu
Vyapati vimetulia, kwa kweli vinatamanisha.
HakikaVyapati vimetulia, kwa kweli vinatamanisha.
![]()
Safi sana.
HahahaWatoto wa mama ntilieView attachment 1997012
Aisee hapo ugali unaenda vizuri sanaSafi sana.
![]()
Daah nikipikiwa nyumbani hivi sijui kama nitakuwa nakula hotelini na kwa mama nitilie wadau nawakataa kabisa moja kwa moja nyumbani


Haya maharage ya kijani huwa unayanunua wapi?View attachment 1987693
Hivi ndo viamba upishi
Mkuu niaje! Habari za kupoteana?