Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hivi Penasol bado zipo?!![]()
Sizijui ni zipi Mkuu
Inauzwaje?Sijajua sababu sijawahi inywa Mkuu
hiyo red unayoiona hapo Lambrusco dell’ Emilia
Karibu mkuuSijajua sababu sijawahi inywa Mkuu
hiyo red unayoiona hapo Lambrusco dell’ Emilia















Hutaki kupitwa na wakati kbs km huo, sio?.Daah nikipikiwa nyumbani hivi sijui kama nitakuwa nakula hotelini na kwa mama nitilie wadau nawakataa kabisa moja kwa moja nyumbani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Nimeutamani sana Ugali wa Muhogo, ni miaka mingi imepita sijautia mdomoni.Ugali wa muhogo, samaki na kisamvu na pilipiliView attachment 849303
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaaHutaki kupitwa na wakati kbs km huo, sio?.![]()
Inauzwaje?