Mkuu dagaa wa Kigoma ni wa ziwa Tanganyika, Sumbawanga hapa wapo wengi wamekaushwa kwa jua. Bei ina range, 8000, 9000, na 10k kwa kilo kwenye stoo.Mliopo kigoma naomba kujua upatikanaji wa dagaa wa kigoma na migebuka upoje na bei imesimama vipi kwa sasa, pia upatikanaji wa leseni ya kusafirisha dagaa to Dar.
Usafiri una kampuni inaitwa Mtandao, au kwa haraka tunaweza tumia mabasi, mzigo hata kg 100 unafika. Njoo PM tufanye biashara.Mliopo kigoma naomba kujua upatikanaji wa dagaa wa kigoma na migebuka upoje na bei imesimama vipi kwa sasa, pia upatikanaji wa leseni ya kusafirisha dagaa to Dar.
Ipo inakaanga kuanzia kg 4 kwa Dakika 15 Inatumia gesi 0627518825
Hiyo portable popcorn maker inakaanga karanga, 85,000/=
Sidhani kama inajaa hata nusu kilo
Ipo nicheki 0627518825 inakaanga kuanzia kg 4 kwa Dakika kumi na tano Inatumia gesiNaombeni Kujua Hivi Kuna Mashine maakumu za Kukaangia Karanga?? Kama kuna aliye wahi pata mashine hiyo anipe uzoefu wake tafadhali
1. Je nibei gani kinunua?
2. Ina uwezo wa Kukaangia kiasi gani kwa siku ?
Je ina uwezo wa upande wa Kufungashia karanga(packaging)
Asante
Huo mchele grade gani?Nina MCHELE tani 3 bei 1300/=nipo Nzega Tabora, mwenye kuhitaji tuwasiliane 0785535354
Inaweza kukaanga korosho?Ipo nicheki 0627518825 inakaanga kuanzia kg 4 kwa Dakika kumi na tano Inatumia gesi
Aina ganiNahitaji mafuta ya kupikia, kwa bei ya jumla,
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Nenda soko la mawasiliano ubungoWakuu naomba kujua mahindi mabichi kwa wale wanaochoma barabaran wananunuaga wapi ukiwa dar?? Na kwa bei gan
Temeke stereo sokoni wanauza pia kwa jumla, kuanzia sh 180Wakuu naomba kujua mahindi mabichi kwa wale wanaochoma barabaran wananunuaga wapi ukiwa dar?? Na kwa bei gan
Wakuu mchongo wangu mliouna hapa, bado upo karibuni sana🤗Habari ya jpili wakuu,
Nauza mchele kutoka Kyela kg 20 sh 30,000/= upo kg 75.
Note:mchele hauko super as tulivoukoboresha haukutoka vizuri sana mashineni, hivo una vipunje vilivobakia japo si sana ila itabidi uuchambue tena kidogo. Ila ni pure from Kyela.
Karibuni.
View attachment 2026134
View attachment 2026136
Contact?Wakuu mchongo wangu mliouna hapa, bado upo karibuni sana
Karibu pm mkuu, upo Dar es salaam