Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Disen car subwoofer (new)
Subwoofer yenye amplifier ndani
-Watts 1000
-Mdundo kama wote
Kwa ajili ya gari lako au bajaji
Zinapatikana
Bei
90,000/=
TUPO LIVINGSTONE/PEMBA KARIAKOO
WhatsApp & Calls
0714122948
Delivery ipo Kwa waliopo Dar
Mikoani Tunatuma pia
FB_IMG_1606969503173.jpg
FB_IMG_1619348860480.jpg
 
Mliopo kigoma naomba kujua upatikanaji wa dagaa wa kigoma na migebuka upoje na bei imesimama vipi kwa sasa, pia upatikanaji wa leseni ya kusafirisha dagaa to Dar.
Mkuu dagaa wa Kigoma ni wa ziwa Tanganyika, Sumbawanga hapa wapo wengi wamekaushwa kwa jua. Bei ina range, 8000, 9000, na 10k kwa kilo kwenye stoo.
 
Mliopo kigoma naomba kujua upatikanaji wa dagaa wa kigoma na migebuka upoje na bei imesimama vipi kwa sasa, pia upatikanaji wa leseni ya kusafirisha dagaa to Dar.
Usafiri una kampuni inaitwa Mtandao, au kwa haraka tunaweza tumia mabasi, mzigo hata kg 100 unafika. Njoo PM tufanye biashara.
 
Naombeni Kujua Hivi Kuna Mashine maakumu za Kukaangia Karanga?? Kama kuna aliye wahi pata mashine hiyo anipe uzoefu wake tafadhali

1. Je nibei gani kinunua?
2. Ina uwezo wa Kukaangia kiasi gani kwa siku ?
Je ina uwezo wa upande wa Kufungashia karanga(packaging)

Asante
Ipo nicheki 0627518825 inakaanga kuanzia kg 4 kwa Dakika kumi na tano Inatumia gesi
 
Habari za Leo wanafamilia?

Tunauza Samaki wabichi aina ya Kumba/Sato/Tilapia kutoka Rufiji kwa bei Tsh 10,000/ kwa kilo. Samaki hawa ni wakubwa wa size ya juu na kati ambapo uzito wao huwa gram 200 - 400 kwa samaki mmoja. Tunapokea oda za watu wa majumbani na wa biashara.

Tunapatikana Mnazi Mmoja Dar.

Kwa wakazi waDar Unaletewa Popote ulipo Bure.

0624 7400 12.

Tunaomba Connection ya Masoko Zaidi


kumba mzan.jpg


kumba mzani1.jpg


kumba2.jpg
 
Kwa fundi seremala au anaeshughulika na masuala ya mbao,ninauza mashine (used).

Ipo mashine ya kuchana mbao,imported msumemo hadi inch 26(ina uwezo wa kuzalisha magogo).
Bei ya mashine ni milioni 8.


Ipo mashine ya kutobolea madirisha ya mbao (drill).
Bei ya mashine ni milioni 2.


Ipo mashine ya kuranda mbao,WadKins planer inch 28(upana).
Bei ya mashine ni milioni 11.

Mashine zote zipo katika hali nzuri ya utendaji wa kazi.

Mashine zipo Dar es salaam-Temeke.

Mawasiliano 0688 055 606 au PM.
IMG-20211205-WA0004.jpeg
IMG-20211205-WA0003.jpeg
IMG-20211205-WA0005.jpeg
 
Back
Top Bottom