JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,938
Kama unayo naoma unicheki pm manWakuu... Kuna mtu ana taarifa Yoyote kuhusu maharagwe ya njano tokA singida nackia bei ya Debe ni elfu 20? Mwenye taarifa sahihi Naomba anijuzee
Sent using Jamii Forums mobile app
We ingia Aliexpress china agiza mzigo kwa bei simple sanaNipewe connection ya kupata bidhaa zifuatazo kwa jumla
USB wire
Computer mouses
Disk flash
Game pads
Small Bleuetooth spekers
Na SAA za mkononii
Mafuta ya zao gani mkuu alizet auMimi Nina mtaji wa mil 7 nataka kufanya biashara ya mchele na mafuta wenye connection nisaidieni Niko Arusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Connection ninayo ila mzigo upo nzega tabora kama utaweza nicheki PmMimi Nina mtaji wa mil 7 nataka kufanya biashara ya mchele na mafuta wenye connection nisaidieni Niko Arusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa aliyeko tabora na anauza asali nyuki wadogo tufanye kitu nipo dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli barabara ni tatizo kubwa mlimba kwa mfano ni wiki ya pili sasa malori hayatembei barabara imejaa tope,Yani Hadi bidhaa nyingi zimeanza kuadimika ila treni ndio mkomboziNi kweli unayoyasema. Moja ya tatizo kifika mlimba ni barabara hasa kipindi cha masika huwaga ni utata ila treni inasaidia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya mjini?naombeni connection ya mtu ambaye yupo mbeya atakayenisaidia nitakapoenda kuchukua mchele kwa mara ya kwanza
Ni Kirando Mkuu!! Mwambao wa ziwa TanganyikaKatika zurura zurura nilipita kijiji kimoja kinaitwa kalando kama sijakosea kijiji hiki kipo sumbawanga kama unaenda mpanda unaingia kushoto , kipo pembeni ya ziwa Tanganyika . Huku kuna fursa lukuki ikiwemo mchele samaki na mbao , mizigo ni mingi sana ya kuja mjini ila magari ni yakusua sua . njia ni vumbi japo inapitika . mbali na usafiri huku kuna fursa saaaana kwa biashara tajwa hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu wa mavuno huko ni mwezi gani?Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Zilizomenywa gunia wanauzaje?Mpwapwa sasa hv Karanga inavunwa. Mashambani wakulima wanauza Karanga ghafi 30k kwa gunia. Kwa wastani gunia 1 la Karanga ghafi linatoa 25-30 Kg!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sato,wa ukubwa ganiKama hiyo 50k haitajumuisha usafiri sanaki watakuwa zaidi ya pc 55 ila kama na usafiri humo humo samaki wakuwa kuanzia 30 mpaka 42 pcs. Kwahyo n ww tu mkuu na mzigo huwa natuma kila daily
Samaki gani na ukubwa ganiAnaye taka connection ya samaki wa mwanza ni pm, mtaji ni kuanzia 50,000 tu. Nakutumia mzigo na watakulipa mno
Ungetaja bei moja kwa moja kuepusha mlolongo wa maswaliHuku nauza kwa debe au gunia