Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana

Mkuu bado upo maeneo hayo?? Damian J Ntundagi
 
Nahitaji Asali ambayo haijawa processed kwa Bei ya Jumla.. kama litre 20 hv
Location: Mbeya
 
Habarini Wadau,

Natafuta mashine na supplies za kutengeneza chakula cha kuku ;
1. ya umeme ( three phase), isiwe na complications nying, iwe strong.
2.ya kawaia katika ku operate.
3. Soko litakaloniwezesha kupata raw materials kwa bei fair.( mahindi, pumba,n.k)

Karibuni kwa maoni

mkuu mimi ni mhandisi mitambo naweza kudesign na kutengeneza mashine kutokana na mahitaji yako husika
 
Napenda sana kufanya Biashara ya kununua mpunga kilosa Morogoro, lakini sijui nianzie wapi niishie wapi? Mwenye kujua tafadhali.......
Twende tukanunue kamsamba mbozi huko mkoani songwe mpunga mzuri na soko lake lipo palepale la uhakika Sana! Ukiwa tayari nicheki
 
Nataka kujua nyewle aina za rasta kwa jumla zinapatikana wapi? Najua zinauzwa kariakoo ila na wao huwa wananunulia wapi?
 
Back
Top Bottom