Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Habari mimi ni mfanya biashara, nipo India kama mtu anahitaji vitu kitu India Kwa bei ya jumla tafadhali anicheck vitu kama vile simu, viatu, nguo, mapazia, mazuria, acid battery charger, uniform kwa ajili ya shule India wana mashati mazuri ukilinganisha na China, mapochi ya wamama, Abaya, buu buu laptops na vingi tu we agiza utapata mie kazi yangu kukuendea sokoni nakununulia unalipia usafiri na ushuru kidogo tu Kwa ajiri yangu +91 97179 98645 hiyo no yangu ya simu unaweza kuweka order kupitia no hiyo whatsp na call karibuni sana
 
Mwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga

Sent using Jamii Forums mobile app
Instagram evakileomzungu wa kichaga
Screenshot_20200924-114214.jpg
 
Nina-import viatu vya kike, nguo za watoto, mikoba na perfumes kutoka UTURUKI.

1. Viatu vya kumwaga (vya kupiga debe).
2. Viatu vya dukani.
3. Magauni ya watoto.
4. Mikoba na Mabegi
5. Chupi, Chupi na Brah na Night dress.
6. Perfume na Perfume Oils

Ninapatikana Tandika, Mtaa Chihota.
Nauza kwa jumla na rejareja.

Karibuni wakuu wana JF tufanye biashara

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
IMG_20200924_153144_909.jpg
 
Laptop aina ya HP inauzwa Pamoja na Speaker mbili na mouse kwa Laki tatu tu. Inakaa na chaji masaa manne.
Specifications ni kama ifuatavyo
RAM 4GB
HDD 320GB
Processor Core i5
Nicheck PM

Adjustments.JPG
 
Wakuu anaehitaji simu iphone 5 kwa 150000/=
iphone 6= 250000 \= used ila zipo in very good condition

Anicheki tufanye biashara
 
Back
Top Bottom