Chinga_tz
Member
- Sep 20, 2020
- 29
- 44
Unapatikana wapi weweNahitaji mzani wa mawe used, kama kuna yeyote anaeuza tafadhali tuwasiliane.
Asante
Unapatikana wapi weweNahitaji mzani wa mawe used, kama kuna yeyote anaeuza tafadhali tuwasiliane.
Asante
Bado tuna struggle chali angu.Oyaa chal wangu vipi? Kimeeleweka?
Habari mimi ni mfanya biashara, nipo India kama mtu anahitaji vitu kitu India Kwa bei ya jumla tafadhali anicheck vitu kama vile simu, viatu, nguo, mapazia, mazuria, acid battery charger, uniform kwa ajili ya shule India wana mashati mazuri ukilinganisha na China, mapochi ya wamama, Abaya, buu buu laptops na vingi tu we agiza utapata mie kazi yangu kukuendea sokoni nakununulia unalipia usafiri na ushuru kidogo tu Kwa ajiri yangu +91 97179 98645 hiyo no yangu ya simu unaweza kuweka order kupitia no hiyo whatsp na call karibuni sanaKama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Instagram evakileomzungu wa kichagaMwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina-import viatu vya kike, nguo za watoto, mikoba na perfumes kutoka UTURUKI.
1. Viatu vya kumwaga (vya kupiga debe).
2. Viatu vya dukani.
3. Magauni ya watoto.
4. Mikoba na Mabegi
5. Chupi, Chupi na Brah na Night dress.
6. Perfume na Perfume Oils
Ninapatikana Tandika, Mtaa Chihota.
Nauza kwa jumla na rejareja.
Karibuni wakuu wana JF tufanye biashara
Kwema kuna zile zenye lock kwa juu zipo? UnauzajeJipatie pipa za plastick zenye ujazo wa lita 200 (kama zinavyoonekana pichani. Bei ya jumla kwa pipa ni 30000/= kuanzia pipa 20. Rejareja 35000/=. Tupo kibaha msikitini (kituo kimoja kutoka kwa mathias/tanita)View attachment 1577919View attachment 1577920
Zipoje hizo mkuu? Hizi zilizopo zina matundu ya kupachika lock ila lock hatuuzi bossKwema kuna zile zenye lock kwa juu zipo? Unauzaje
Vitabu vya nini?Jamani natafuta mahala wanapouza vitabu kwa bei ya Jumlaa.
Mimi nipo Mbinga wanalima kahawa. Inauzwa kwa utaratibu. Wewe unataka kiasi gani, bei nafuu bei ganiMwenye connection au ideas kuhusu upatikanaji wa kahawa kwa bei poa .....hapa tanzania tafadhal
Mkuu...naomba contacts zako....na nishakuja pmNatafuta connection ya soko la samaki wabichi wa baharini( Seafood) napatikana kunduchi beach dsm.