financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,144
- 40,723
Kuna sehemu hapa Ubungo Maji karibu na kanisa la Gwajima, huwa naona wameweka, jaribu ucheki huenda zinauzwa, ama watakusaidia kujua zinakouzwa. Ila hujasema unaulizia uko wapi?Wakuu nahitaji mwenye hizi pipa au mwenye connection kujua wapi naweza zipata kwa wingi na bei ya jumla .Natanguliza shukrani View attachment 1573142View attachment 1573143