Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mzigo hupo Dodoma mjini umeingia jana
0754685125
IMG-20220603-WA0016.jpg
 
kama una project unahitaji kununua vifaa vya ujenzi vya aina yeyote UAE wasilia na mimi kwa whatsapp no.
00971527369138.
Tiles, gypsum, vitu vya electronic kama AC, heater, mafeni, washing machine, cooker, concrete mixer, manhole cover, vitu vya electrical kama DB,switch, sockets, vitu vya plumbing .
Vipya au vilivyotumika
 
kama una project unahitaji kununua vifaa vya ujenzi vya aina yeyote UAE wasilia na mimi kwa whatsapp no.
00971527369138.
Tiles, gypsum, vitu vya electronic kama AC, heater, mafeni, washing machine, cooker, concrete mixer, manhole cover, vitu vya electrical kama DB,switch, sockets, vitu vya plumbing .
Vipya au vilivyotumika
Naomba bei ya switch za socket wall z umeme. Used n mpya price
 
Naomba bei ya switch za socket wall z umeme. Used n mpya price
Scheider brand bei ya Switch mpya,
Niletee list ya vitu unavyotaka, DB inahitaji loading diagram.
Za china ni rahisi zaidi
 

Attachments

  • 9426DB96-4275-4E1D-BCCD-E8D442011E21.jpeg
    9426DB96-4275-4E1D-BCCD-E8D442011E21.jpeg
    27.7 KB · Views: 59
Wakuu naombeni connection ya kupata wateja wa bidhaa za kupaua nyumba kama vile mabati,misumari,kofia,gata,PVC,marine board,fisher board call:0753535935/0785033500
49192082e1f74f7492fe9ab2303a5b23.jpg
012fbedbf1be48eb8d73ca008a00f410.jpg
ffdffc2ab7054e55a4c94a70460de298.jpg
7349d41aa3544177aec652107785b528.jpg
f43f31fe0dc645ab9f6e2015f9bf62e9.jpg
75e308a1a2e044f586e5eab4cbb5495a.jpg
73654057695a488190f18c39e4fd215b.jpg
 
Mnalipanaje?
Asije akalia mtu humu?
Kama qty ni kumbwa unaweza kusafiri nakupeleka dukani kununua mwenyewe , kama ni ndogo unarusha michuzi nakununulia.
Kulipana : Bei ya dukani + tansport/shipping charges+Ushuru wa Tz(kazi yako)+service charge
Faida: Unapata bei rahisi na kuongeza faida + unasave pesa ya kusafiri, hotel na matumizi mengine + utapata update za discounts na promotion n.k.
Zaidi ni kuongea na kufahamiana.
 
Kama qty ni kumbwa unaweza kusafiri nakupeleka dukani kununua mwenyewe , kama ni ndogo unarusha michuzi nakununulia.
Kulipana : Bei ya dukani + tansport/shipping charges+Ushuru wa Tz(kazi yako)+service charge
Faida: Unapata bei rahisi na kuongeza faida + unasave pesa ya kusafiri, hotel na matumizi mengine + utapata update za discounts na promotion n.k.
Zaidi ni kuongea na kufahamiana.
Swali..
Kwenye kurusha michuzi "nakuaminije" na hatujuani?
 
Back
Top Bottom