klinbritetz
Senior Member
- Sep 23, 2020
- 179
- 111
VUNJA BEI: KUANDAA HESABU ZA KODI za makampuni; USAJILI WA MAKAMPUNI dakika za mwisho hizi..!!
Naomba bei ya switch za socket wall z umeme. Used n mpya pricekama una project unahitaji kununua vifaa vya ujenzi vya aina yeyote UAE wasilia na mimi kwa whatsapp no.
00971527369138.
Tiles, gypsum, vitu vya electronic kama AC, heater, mafeni, washing machine, cooker, concrete mixer, manhole cover, vitu vya electrical kama DB,switch, sockets, vitu vya plumbing .
Vipya au vilivyotumika
Nimetumie whatsapp messageNaomba bei ya switch za socket wall z umeme. Used n mpya price
Scheider brand bei ya Switch mpya,Naomba bei ya switch za socket wall z umeme. Used n mpya price
Mnalipanaje?Scheider brand bei ya Switch mpya,
Niletee list ya vitu unavyotaka, DB inahitaji loading diagram.
Za china ni rahisi zaidi
Weka beiWakuu naombeni connection ya kupata wateja wa bidhaa za kupaua nyumba kama vile mabati,misumari,kofia,gata,PVC,marine board,fisher board call:0753535935/0785033500View attachment 2254875View attachment 2254876View attachment 2254877View attachment 2254878View attachment 2254879View attachment 2254880View attachment 2254881
Kama qty ni kumbwa unaweza kusafiri nakupeleka dukani kununua mwenyewe , kama ni ndogo unarusha michuzi nakununulia.Mnalipanaje?
Asije akalia mtu humu?
Tabora ipo ya kuzidiNaomba mwenye connection ya asali mbichi inakopatikana, bei n.k atujuze hapa
Fungua kampuni, kata leseni zote, then tafuta tenda zinazohusina na stationaryHabari za usiku, ni hatua gani naweza pitia ili niweze kuwa mzabuni wa vifaa vya stationary?
Natafuta kigali kama hicho suzuki jimny kuanzia namba B offer yangu M4 cashView attachment 2257854
Swali..Kama qty ni kumbwa unaweza kusafiri nakupeleka dukani kununua mwenyewe , kama ni ndogo unarusha michuzi nakununulia.
Kulipana : Bei ya dukani + tansport/shipping charges+Ushuru wa Tz(kazi yako)+service charge
Faida: Unapata bei rahisi na kuongeza faida + unasave pesa ya kusafiri, hotel na matumizi mengine + utapata update za discounts na promotion n.k.
Zaidi ni kuongea na kufahamiana.
Ntakuunganisha na jamaa hapo Dar, utapeleka fedha na utapokea mzigo kwake.Swali..
Kwenye kurusha michuzi "nakuaminije" na hatujuani?