Habari! ndugu zangu wenye magari mabovu tupeane faraja, ushauri na motisha wa namna ya kuishi nayo ingawa yanatupasua vichwa!
Uzii huu ni rasmi kwetu wenye magari yaliyo na changamoto! Nyie wenye magari mapya kaeni pembeni mle popcorn kidogo!
Hapo namaanisha wale ambao magari yetu tunayajuya wenyewe tulivyoyazoea kutokana na ubovu mbalimbali wa kudumu!
Mfano! Mimi nilikuwa na trekta moja mbovu ambayo kabla ya ya kukunja kona (nikikaribia kukata kona) ilikuwa lazima nianze kukata /kuzungusha steringi mita 20 kabla sijafika kwenye kona yenyewe ndo inapinda la sivyo nitapitiliza tu hakuna namna!
Baadae nikaja pata kigari kingine kibovu, aroo breki zake husimami bila kupampu pump! Uking'ang'ania breki unaweza pita nao mbeli maana kile kigari kilikuwa roho mkononi!
Sahivi ninayo nyingine mbovu inaugonjwa kushituka kama ina kifafa arooh! Unaweza ukawa kwenye mwendo mzuri tu mara inakita gudu kwa mshituko mkubwa! Nikiwa na abiria lazima ashituke lakini mie wala nishazoea naishi nayo tu maisha yanasonga!
Naomba tusimuliane magonjwa na ubovu wa magari yetu namna vile tunaishi nayo pamoja na changamoto zote, pia ikiwezekana tupeane mbinu za kutatua changamoto endapo utalielewa tatizo la ugonjwa wa mwenzako reply kwenye comment usimfuate Pm ili sote tujifunze.
Karibuni
Uzii huu ni rasmi kwetu wenye magari yaliyo na changamoto! Nyie wenye magari mapya kaeni pembeni mle popcorn kidogo!
Hapo namaanisha wale ambao magari yetu tunayajuya wenyewe tulivyoyazoea kutokana na ubovu mbalimbali wa kudumu!
Mfano! Mimi nilikuwa na trekta moja mbovu ambayo kabla ya ya kukunja kona (nikikaribia kukata kona) ilikuwa lazima nianze kukata /kuzungusha steringi mita 20 kabla sijafika kwenye kona yenyewe ndo inapinda la sivyo nitapitiliza tu hakuna namna!
Baadae nikaja pata kigari kingine kibovu, aroo breki zake husimami bila kupampu pump! Uking'ang'ania breki unaweza pita nao mbeli maana kile kigari kilikuwa roho mkononi!
Sahivi ninayo nyingine mbovu inaugonjwa kushituka kama ina kifafa arooh! Unaweza ukawa kwenye mwendo mzuri tu mara inakita gudu kwa mshituko mkubwa! Nikiwa na abiria lazima ashituke lakini mie wala nishazoea naishi nayo tu maisha yanasonga!
Naomba tusimuliane magonjwa na ubovu wa magari yetu namna vile tunaishi nayo pamoja na changamoto zote, pia ikiwezekana tupeane mbinu za kutatua changamoto endapo utalielewa tatizo la ugonjwa wa mwenzako reply kwenye comment usimfuate Pm ili sote tujifunze.
Karibuni