Huyu jamaa ana undugu na aliyekua Mkuu wa wilaya ya Arusha ndipo akahamishwa na Samia?

Naona sura kama ya mtu mmoja hivi
 
Kila siku mtaishia kulaani tuu. Huo ndio upuuzi wenu Ccm mlio peleka bungeni. Yaani mmesambaratishana. Hamuelewani. Huyu kulia yule kushoto. Na bado..
 
Huyu jamaa ana undugu na aliyekua Mkuu wa wilaya ya Arusha ndipo akahamishwa na Samia?

Naona sura kama ya mtu mmoja hivi
Alikuwa mwenyekiti uvccm iringa,Magu akamteua kuwa mkuu wa Wilaya Arusha July mwaka Jana,mama akamteua kuwa mkuu wa Wilaya iramba,ndani ya siku chache akafanya mabadiliko na kumuweka kuwa katibu uvccm taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Nimebakia kucheka tu! Afrika maskini dah! Wasungu fanya Mtakalo maana mmeshafanikiwa
 
Gwajima AFUKUZWE CCM....

Wala GWAJIMA hajawahi kuwa na ITIKADI YA CHAMA CHETU.....

MSHENGA huyu ndiye ALIYEMPELEKA LOWASSA CHADEMA kuwa mgombea wa URAIS kwa "kuzoza" na mh.Mbowe.......

Gwajima akiachwa ndani ya CCM atakuja Kusababisha MTAFARUKU MKUBWA......mtakuja tu kuuona panapo uhai!!!!!

#GwajimaAfukuzweCCM
#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaSocialistParty
 
Watu wanapenda demokrasia na uhuru wa kutoa maoni lakini hawana hamu na demokrasia na uhuru wa kutoa maoni. Hizi ndizo gharama za demokrasia na uhuru wa kutoa maoni. Halafu hii kitu si ni hiari!? Mbona hivi jamani!? Watanzania ni waelewa wanajua mbivu na mbichi, msiwahukulie ki hivyo!
 
Hayo ni maoni yake na ametumia haki yake kikatiba.......

Kama ambavyo wengine wanatumia haki yao kikatiba kupigia debe chanjo ndivyo ambavyo Gwajima anatumia uhuru huo kupingana na chanjo.....

Mwisho wa siku chanjo ni hiyari ya mtu.......
 
Hata nashangaa huo uhuru wanaouhitaji waTanzania ni wa aina gani.......??

Yaani wanaopigania uhuru wa kutoa maoni ndio wa kwanza kupingana na maoni ya wengine wanaotumia uhuru huo huo kutoa maoni yao.....
 
Aliongelea jimboni au kanisani?

Tusichanganye dini na siasa!
Komredi kwani WAZIRI MWENYE DHAMANA akiongea jambo zito la kuleta mtafaruku ndani ya jamii akiwa ndani ya nyumba ya IBADA linachukuliwa kiwepesi.......

Jambo hili si la KISIASA.....

Kama angeamua kulipinga tu kwa hoja zinazoeleweka na kutotoa LAANA YA KUFA MADAKTARI wetu ningemuelewa vyema tu kwani kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni.....

Mh.Gwajima amekwenda mbali mno kwa kusema "waliofanikisha hii chanjo wamenunuliwa na kuhongwa na mabeberu"....

These are serious ALLEGATIONS.....

It's time for him to be taken to the party's AD HOC committee to prove it the allegations.....

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#TujiandaeNaChanjo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…