Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,595
- 5,487
Hata mie nilijua ni kejeli kumbe kweli,hapo usijekuta kuna watanzania nao wanaombea hao majaa wanaonunua waje hata leo bongoNilijua masihara kumbe wapo live
Hata mie nilijua ni kejeli kumbe kweli,hapo usijekuta kuna watanzania nao wanaombea hao majaa wanaonunua waje hata leo bongoNilijua masihara kumbe wapo live
Ndio hakuna ganziUnakata kidole/vidole bila ganzi?
Bongo tunajielewa ila watazoa sana madole ya mateja na waokota makopoHuku bongo hawaji? Maana &7000 huwez ziacha
Yaani hapo mguu mmoja tu ukaamua uvitoe vidole vyako vyote si chini ya shilingi milioni 100 ,hela iyo ni zaidi ya Penseni ya mwanajeshi tena hapo kashatumikia nchi si chini ya miaka 30,Mil 15+ dah,hela nzuri kabisa
Akili zako hazipo Sawa. Kwetu ni Kosa kisheria kuuza kiungo chako labda gawa sadakaJe nikivitoa sita vya mguuni ntapata sh ngapi nami niende Zimbombo?
Yaani hapo mguu mmoja tu ukaamua uvitoe vidole vyako vyote si chini ya shilingi milioni 100 ,hela iyo ni zaidi ya Penseni ya mwanajeshi tena hapo kashatumikia nchi si chini ya miaka 30,
Huku bongo ni Kosa la jinai kuuza kiungo chako cha mwilihata mie nilijua ni kejeli kumbe kweli,hapo usijekuta kuna watanzania nao wanaombea hao majaa wanaonunua waje hata leo bongo
Ili ufanyeje SasaMguu Mmoja shilingi ngapi?
Tupe connection if possible we may do itAkili zako hazipo Sawa. Kwetu ni Kosa kisheria kuuza kiungo chako labda gawa sadaka
Inaamana Zibwabwe sheria yao ni ruksa kuuza viungo sioHuku bongo ni Kosa la jinai kuuza kiungo chako cha mwili
Vyote hapana utateseka, viwili tu vinatoshaYaani hapo mguu mmoja tu ukaamua uvitoe vidole vyako vyote si chini ya shilingi milioni 100 ,hela iyo ni zaidi ya Penseni ya mwanajeshi tena hapo kashatumikia nchi si chini ya miaka 30,
wanalazimishwa au hiari yao?Uzi una picha.
Nimesikitika sana kitendo cha Waafrika wenzetu tuliowapambania kipindi cha kumtoa mkoloni Leo hii wanauza vidole vyao vya mguu kwa wazungu tena kwa bei nafuu ya USD 7000 mpaka 10000.
Dole gumba ni $7000
Kidole cha Kati cha mguu ni $9000
Nakidole kidogo cha mguu ni $10000.
Swali langu ni kuwa kwani hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi? Kwanini wasiwakate huko kwao mpaka waje kwetu Afrika lakini. Au ndokulipiza hasira kwa alichowafanyia Mugabe Gabriel kuwapora Ardhi. Yani Kuna mambo Waafrika tunakuwa treated kama Mavi vile maana ukienda Dubai Dada zetu wanalishwa kinyesi ukija Africa tunakatwa vidole sasa sijui nini Kosa letu mpaka watufanyie hivi.
Yani kwa siku wazimbabwe zaidi ya buku tatu wanakatwa vidole vya mguu sasa hawa wazungu haya mavidole wanapeleka wapi. Serikali iingilie Kati maana Kuna watu watataka wauze vyote. View attachment 2248380View attachment 2248381
Mkuu umetumia lugha kali sana,MADUBWI