Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Kitendo cha ole kengai sabaya kuwataja Magufuli na mpango ni mbinu za kijasusi ili kujitoa mikononi mwa sheria.

Hoja ya sabaya yakutengeneza,ameona hachomoki hivyo wanasayansi wake wa kisheria na timu yake same kite ten genera hili wakijua Magufuli ana kundi kubwa lililomkubali aliloliacha hapa dunia hivyo hawatakubali kuharibu legacy wanayoitetea.

Mpango yupo madarakani,haitawezekana kumfanya mshitakiwa kwa sheria mbovu na mahakama za ccm.

KWA HOJA HII WAKATI WOWOTE SABAYA OUT,KAMA ATAADHIBIWA ITAKUWA ADHABU ISIYOENDANA NA TUHUMA NZITO ALIZONAZO SASA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
wewe ni hakimu au ndio ramli tu ilimradi
 
Ina maana siku hizi ukiwa na kesi ya jinai ukisema ulitumwa na Magufuli basi kesi yako inafutwa!
 
Ni mwehu tu anayefikr Sabaya atafungwa....wale mashahidi uchwara waliomsagia kunguni wajiandae jamaa atawakamua mavi vilivyo....!!! Kwa mda mchache pia wale matajir wakubwa walioishadadia kesi karbia wote wamekufa, wakigusa tu hospital kinachofuata ni parapanda , huku mbowe akiwa rumande ....!!! Anyway ngoja nipige pepsi big hapa
 
Sabaya hata akitoka leo hatakuwa na Jeuri,Ubabe na Dharau kama awali,ameshanyooshwa!!!na ni mjinga tu anayeweza kuamini kwamba Sabaya na timu yake HAWATAFUNGWA,hao iwe Jua au Mvua Jela inawahusu,mark my words
 
Sabaya hata akitoka leo hatakuwa na Jeuri,Ubabe na Dharau kama awali,ameshanyooshwa!!!na ni mjinga tu anayeweza kuamini kwamba Sabaya na timu yake HAWATAFUNGWA,hao iwe Jua au Mvua Jela inawahusu,mark my words
Bwana wako mbowe analiwa na papasi jera mida hii

USSR
 
Sabaya kufungwa atafungwa MARK THIS REPLY. kwa ngwe hii lazima atachezea mvua. Labda atakuja kuchomoka kwa RUFAA

Na hapa naongelea hii kesi pekee inayoendelea. Kaa ukijua kuna kesi nyingine ile kubwa zaidi bado haijaanza kusikilzwa
 
Huyo Sabaya ana madaraka gani? Ana tofauti na Makonda mtoto kipenzi wa marehemu?
 
Je utetezi huo una mantiki yoyote?
Raisi wa taifa anaangalia shughuli za duka la rejareja!
Anaona umuhimu mwenye duka kuhojiwa na polisi. Raisi wa taifa hawezi kutoa maagizo kwa Mkuu wa Wilaya husika wala kwa polisi ya mahali walipo?
Akishindwa kutumia njia hizo anahitaji kumtuma Mkuu wa Wilaya nyingine ???
Raisi mwenyewe ??
Utetezi wa Abunuwasi??
 
duuh nashangaa kabisa, mbona kakiri kufanya ujambazi kirahisi hivyo!!!??!! nani atamuamini kutumwa na mamlaka ya uteuzi kwenda kufanya kazi kinyume cha SHERIA?!? kwa sababu mamlaka iliyomteua in organs zote za kufanya hayo,yupo igp, yupo mkuu wa usalama wa taifa, takukuru wapo. leo ole sabaya ambaye siyo mara ya kwanza kutuhumiwa kwa ujambazi anataka kumchafua rais na taasisi yake kwa sababu hawezi kusema chochote!!!! umezama OLE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…