Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Kama yalikuwa ni maagizo halali, basi alilazimika kutayetekeleza, lakini kama hayakuwa halali, kutotekeleza haiwezi kuwa insubordination!

HOWEVER, ili "kuheshimu" mamlaka, tena mamlaka yenyewe ya Kiafrika, ingekuwa ngumu kwake kusema HAPANA lakini alitakiwa kujihuduhulu ili kupisha wengine ambao wangekuwa tayari kufanya mambo yaliyo kinyume cha sheria!
Theoretically yes lakin practically kwa nyakati zile nani ndani ya hicho chama angemkatalia Jiwe mwenye mamlaka ya kimungu ya kikatiba? Labda mpinzani lakin siyo mwanassm.
Unajua haya makosa ya dogo ukiiyaangalia kiuhaki kabisa si yake, na wala si ya mwendasake, bali ni ya katiba. kwa asilimia karibu 95 mateso ya watanzania, hasa wanayopewa na wanasiasa, yanatokana na katiba mbovu na dhaifu
 
Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang'anyi wa kitumia silaha na Kupora Mali na fedha ,Lengai ole Sabaya (34)ameiambia mahakama kuwa alitumwa na rais marehemu John Magufuli kuvamia duka la Shaahid Store ili kumkamata Mmiliki wa duka hilo, Mohamed Saad.

Akiongozwa na wakili Mosses Mahuna wakati akitoa utetezi wake mbele ya hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo wa mahakama ya hakimu Mkazi Arusha,Sabaya alidai yeye bado ni mtumishi wa Serikali ila alisikia tangazo la kusimamishwa kazi kutoka Kwa Rais Samia Suluhu.

Alidai kuwa siku ya tukio Februari 9 mwaka huu majira ya saa 9 kasoro alasiri alipigiwa simu na Mamlaka iliyomteua na kumpatia maelekezo ya kwenda kufanya kazi maalumu Arusha na kumtaka aongozane na watu wanne waliokuwa wakimsubiri uwanja wa ndege wa Kimataifa Kilimanjaro KIA.

Sabaya alidai kuwa walipofika Arusha wakiwa na wale watu wanne ambao ndio wenye taarifa zote walielekea eneo husika waliokuwa wameelekezwa na Mamlaka husika katika eneo la duka la Shaahid store lililopo mtaa wa Soko kuu jijini Arusha.

Akihojiwa na Wakili Mahuna kuhusu kazi aliyokuwa akiifanya kabla ya tarehe 9.2.2021 ,Sabaya alidai alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani kilimanjaro na aliteuliwa na Rais Hayati Dkt John Pombe Magufuli tarehe 29.7.2018.

Lengai Ole Sabaya anaeleza mahakama kuwa alitumikia wadhifa huo kwa kipindi cha miaka 2 na miezi 10 na alikoma kuhudumu wadhifa huo tarehe 13.5.2021 baada ya Rais Samia Suluhu kutengua nafasi yake kupisha uchuguzi .

Sabaya ameieleza Mahakama kwamba baada ya kufikia katika duka hilo walimkosa Mmiliki wa duka na ndipo alipowasiliana na mamlaka iliyomtuma kazi hiyo, ambayo ilimjibu kwamba imeshafanya mawasiliano na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongozi na imeelekeza watu waliokutwa eneo la tukio wapelekwe kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi ili kusaidia kupatikana Kwa mhusika wa duka aliyekuwa akitafutwa.

Anaeleza kuwa suala la yeye kupatiwa maelekezo na Mamlaka ya uteuzi ni Jambo la kawaida kwani miezi mitatu kabla ya siku ya tukio 9.2.2021 alipewa maelekezo ya kufanyakazi maalum na kubaini mtambo wa kutengeneza fedha bandia na kukamata fedha bandia sh,milioni 800 jijini Dar es salaam.

Sabaya anaeleza kuwa katika zoezi hilo alikuwa msimamizi mkuu ambapo Hata Gavana wa Fedha Prof Florian Luoga pamoja na aliye kuwa waziri wa Fedha hapa Nchini Dkt Philp Mpango ambaye kwasasa ndiye Makamu wa Rais wanalijua.

Sabaya amedai kuwa hajawahi kufikia katika duka la Shaahid Store na kupora kiasi cha sh, milioni 2,769,000 na kisha kumpiga human Jasim , Bakari Msangi, Salim hasani na Ally shabani na kuwatisha Kwa silaha na kwamba hamfahamu mshtakiwa mwenzake anayetajwa Kwa jina la Daniel Mbura na pia Silvester Nyegu hakuwa naye siku ya tukio.

Sabaya anaendelea kujitetea....

Yeyr aligeuka kuwa Kama yule malaika wa Mungu mkuu ambaye alilewa madaraka akaanza kuyatumia vibaya. Kama alitumwa akakamata mtambo wa kuunda fedha banfia hilo Ni jema
Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang'anyi wa kitumia silaha na Kupora Mali na fedha ,Lengai ole Sabaya (34)ameiambia mahakama kuwa alitumwa na rais marehemu John Magufuli kuvamia duka la Shaahid Store ili kumkamata Mmiliki wa duka hilo, Mohamed Saad.

Akiongozwa na wakili Mosses Mahuna wakati akitoa utetezi wake mbele ya hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo wa mahakama ya hakimu Mkazi Arusha,Sabaya alidai yeye bado ni mtumishi wa Serikali ila alisikia tangazo la kusimamishwa kazi kutoka Kwa Rais Samia Suluhu.

Alidai kuwa siku ya tukio Februari 9 mwaka huu majira ya saa 9 kasoro alasiri alipigiwa simu na Mamlaka iliyomteua na kumpatia maelekezo ya kwenda kufanya kazi maalumu Arusha na kumtaka aongozane na watu wanne waliokuwa wakimsubiri uwanja wa ndege wa Kimataifa Kilimanjaro KIA.

Sabaya alidai kuwa walipofika Arusha wakiwa na wale watu wanne ambao ndio wenye taarifa zote walielekea eneo husika waliokuwa wameelekezwa na Mamlaka husika katika eneo la duka la Shaahid store lililopo mtaa wa Soko kuu jijini Arusha.

Akihojiwa na Wakili Mahuna kuhusu kazi aliyokuwa akiifanya kabla ya tarehe 9.2.2021 ,Sabaya alidai alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani kilimanjaro na aliteuliwa na Rais Hayati Dkt John Pombe Magufuli tarehe 29.7.2018.

Lengai Ole Sabaya anaeleza mahakama kuwa alitumikia wadhifa huo kwa kipindi cha miaka 2 na miezi 10 na alikoma kuhudumu wadhifa huo tarehe 13.5.2021 baada ya Rais Samia Suluhu kutengua nafasi yake kupisha uchuguzi .

Sabaya ameieleza Mahakama kwamba baada ya kufikia katika duka hilo walimkosa Mmiliki wa duka na ndipo alipowasiliana na mamlaka iliyomtuma kazi hiyo, ambayo ilimjibu kwamba imeshafanya mawasiliano na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongozi na imeelekeza watu waliokutwa eneo la tukio wapelekwe kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi ili kusaidia kupatikana Kwa mhusika wa duka aliyekuwa akitafutwa.

Anaeleza kuwa suala la yeye kupatiwa maelekezo na Mamlaka ya uteuzi ni Jambo la kawaida kwani miezi mitatu kabla ya siku ya tukio 9.2.2021 alipewa maelekezo ya kufanyakazi maalum na kubaini mtambo wa kutengeneza fedha bandia na kukamata fedha bandia sh,milioni 800 jijini Dar es salaam.

Sabaya anaeleza kuwa katika zoezi hilo alikuwa msimamizi mkuu ambapo Hata Gavana wa Fedha Prof Florian Luoga pamoja na aliye kuwa waziri wa Fedha hapa Nchini Dkt Philp Mpango ambaye kwasasa ndiye Makamu wa Rais wanalijua.

Sabaya amedai kuwa hajawahi kufikia katika duka la Shaahid Store na kupora kiasi cha sh, milioni 2,769,000 na kisha kumpiga human Jasim , Bakari Msangi, Salim hasani na Ally shabani na kuwatisha Kwa silaha na kwamba hamfahamu mshtakiwa mwenzake anayetajwa Kwa jina la Daniel Mbura na pia Silvester Nyegu hakuwa naye siku ya tukio.

Sabaya anaendelea kujitetea....

Kosa lake ni kuamua kuiba baada ya kumkosa mtuhumiwa aliyeelekezwa kumkamata. Kakiri kosa, kasema aliyoyafanya ni mengi ya kutumwa na yake binafsi. Kwa kuwa alitumia madaraka vibaya acha sheria ikae mahala pake. Asubiri tu hukumu. Si salama kwake kumfanya hayati mtetezi wake. Akunbuke kuwa hakuna kinywa cha marehemu kinachofika mahakamani kufanya utetezi. Kwa watu wa kawaida tunasema anatania mahakama na wengine wa kutafsiri maneno Kama watu wa Mithali katika biblia tunamwita ni "Mfamaji"
Ajue tu kuwa Siku za mwizi ni arobaini.
 
Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang'anyi wa kitumia silaha na Kupora Mali na fedha ,Lengai ole Sabaya (34)ameiambia mahakama kuwa alitumwa na rais marehemu John Magufuli kuvamia duka la Shaahid Store ili kumkamata Mmiliki wa duka hilo, Mohamed Saad.

Akiongozwa na wakili Mosses Mahuna wakati akitoa utetezi wake mbele ya hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo wa mahakama ya hakimu Mkazi Arusha,Sabaya alidai yeye bado ni mtumishi wa Serikali ila alisikia tangazo la kusimamishwa kazi kutoka Kwa Rais Samia Suluhu.

Alidai kuwa siku ya tukio Februari 9 mwaka huu majira ya saa 9 kasoro alasiri alipigiwa simu na Mamlaka iliyomteua na kumpatia maelekezo ya kwenda kufanya kazi maalumu Arusha na kumtaka aongozane na watu wanne waliokuwa wakimsubiri uwanja wa ndege wa Kimataifa Kilimanjaro KIA.

Sabaya alidai kuwa walipofika Arusha wakiwa na wale watu wanne ambao ndio wenye taarifa zote walielekea eneo husika waliokuwa wameelekezwa na Mamlaka husika katika eneo la duka la Shaahid store lililopo mtaa wa Soko kuu jijini Arusha.

Akihojiwa na Wakili Mahuna kuhusu kazi aliyokuwa akiifanya kabla ya tarehe 9.2.2021 ,Sabaya alidai alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani kilimanjaro na aliteuliwa na Rais Hayati Dkt John Pombe Magufuli tarehe 29.7.2018.

Lengai Ole Sabaya anaeleza mahakama kuwa alitumikia wadhifa huo kwa kipindi cha miaka 2 na miezi 10 na alikoma kuhudumu wadhifa huo tarehe 13.5.2021 baada ya Rais Samia Suluhu kutengua nafasi yake kupisha uchuguzi .

Sabaya ameieleza Mahakama kwamba baada ya kufikia katika duka hilo walimkosa Mmiliki wa duka na ndipo alipowasiliana na mamlaka iliyomtuma kazi hiyo, ambayo ilimjibu kwamba imeshafanya mawasiliano na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Kihongozi na imeelekeza watu waliokutwa eneo la tukio wapelekwe kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi ili kusaidia kupatikana Kwa mhusika wa duka aliyekuwa akitafutwa.

Anaeleza kuwa suala la yeye kupatiwa maelekezo na Mamlaka ya uteuzi ni Jambo la kawaida kwani miezi mitatu kabla ya siku ya tukio 9.2.2021 alipewa maelekezo ya kufanyakazi maalum na kubaini mtambo wa kutengeneza fedha bandia na kukamata fedha bandia sh,milioni 800 jijini Dar es salaam.

Sabaya anaeleza kuwa katika zoezi hilo alikuwa msimamizi mkuu ambapo Hata Gavana wa Fedha Prof Florian Luoga pamoja na aliye kuwa waziri wa Fedha hapa Nchini Dkt Philp Mpango ambaye kwasasa ndiye Makamu wa Rais wanalijua.

Sabaya amedai kuwa hajawahi kufikia katika duka la Shaahid Store na kupora kiasi cha sh, milioni 2,769,000 na kisha kumpiga human Jasim , Bakari Msangi, Salim hasani na Ally shabani na kuwatisha Kwa silaha na kwamba hamfahamu mshtakiwa mwenzake anayetajwa Kwa jina la Daniel Mbura na pia Silvester Nyegu hakuwa naye siku ya tukio.

Sabaya anaendelea kujitetea....

 

Attachments

  • 2881413_333.mp4
    6.3 MB
Yeyr aligeuka kuwa Kama yule malaika wa Mungu mkuu ambaye alilewa madaraka akaanza kuyatumia vibaya. Kama alitumwa akakamata mtambo wa kuunda fedha banfia hilo Ni jema

Kosa lake ni kuamua kuiba baada ya kumkosa mtuhumiwa aliyeelekezwa kumkamata. Kakiri kosa, kasema aliyoyafanya ni mengi ya kutumwa na yake binafsi. Kwa kuwa alitumia madaraka vibaya acha sheria ikae mahala pake. Asubiri tu hukumu. Si salama kwake kumfanya hayati mtetezi wake. Akunbuke kuwa hakuna kinywa cha marehemu kinachofika mahakamani kufanya utetezi. Kwa watu wa kawaida tunasema anatania mahakama na wengine wa kutafsiri maneno Kama watu wa Mithali katika biblia tunamwita ni "Mfamaji"
Ajue tu kuwa Siku za mwizi ni arobaini.
Lakin walau kwa mara ya kwanza imethibitishwa na mtu wa karibu kabisa wa jiwe kuwa jiwe alikuwa katili na mtesaji wa wananchi na ndiye aliagiza wengi waumizwe
 
Watu wameshangaa kijana Ole Sabaya kuwataja baadhi ya viongozi wa juu kwamba walielewa/ kumtuma kile alichokifanya na sasa ameshtakiwa nacho.

Binafsi nimekumbuka nasaa za IGP Sirro kwamba Freeman Mbowe ni binadamu siyo malaika anaweza kukosa kwa namna yoyote ile.

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Watu wameshangaa kijana Ole sabaya kuwataja baadhi ya viongozi wa juu kwamba walielewa/ kumtuma kile alichokifanya na sasa ameshtakiwa nacho.

Binafsi nimekumbuka nasaa za IGP Sirro kwamba Freeman Mbowe ni binadamu siyo malaika anaweza kukosa kwa namna yoyote ile.

Mungu ni mwema wakati wote!
Angekubali Naye ni binadamu na amaweza kukosea musa wote .Ningemuelewa
 
Watu wameshangaa kijana Ole sabaya kuwataja baadhi ya viongozi wa juu kwamba walielewa/ kumtuma kile alichokifanya na sasa ameshtakiwa nacho.

Binafsi nimekumbuka nasaa za IGP Sirro kwamba Freeman Mbowe ni binadamu siyo malaika anaweza kukosa kwa namna yoyote ile.

Mungu ni mwema wakati wote!
Kuna siku polisi watagoma..
 
Hujaeleweka vizuri,unajaribu kusema kama JPM alikuwa akimtuma Sabaya kufanya ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha basi yawezekana na Mbowe alituma watu kufanya ugaidi??
 
Asante Mwenyezi MUNGU kwa kuliondosha lile dubwasha kutoka Chato.

Huwa sijui maana ya 'Allah akbar!', huwa nasikia tu wakosema hivyo, sasa kutokana na huo utetezi wa kipuuzi wa Sabaya acha nami leo niseme "ALLAH AKBAR! 📢".

Lakini pia nitasema...

1.PRAISE THE LORD!
2.BWANA MUNGU asifiwe!
3.Sebha Akujiwe!
4.Imana ishimwe!
 
Hayo maagizo yako wapi, achaneni na muhuni kapatikana
Mkuu maagizo au amri si inatolewa kwa maneno, kasheshe iliyopo hapa shahidi ametangulia mbele za haki....ndo maana jambo lililo la umuhimu mkubwa ni katiba mpya ili kusaidia kurekebisha kasoro kama hizi za kiutendaji zinazohusisha mamlaka na wajibu wa kiuongozi......kama rais anaona kabisa mhimili wake umejichimbia zaidi kwenda chini kuliko mahakama na bunge hapo kuna tatizo kubwa sana sana.......
 
nimependa definition ya neno integrity from Oxford dictionary, inasema hivi
integrity:
the quality of being honest and having strong moral principles.
"a gentleman of complete integrity.
Palipo ni furahisha zaidi ni hapa kwny similar words; honest, uprightness, brobity, rectitude, honour, moral, ethics, morality, righteousness, truthfulness, fairness, decency. sincerity, trustworthiness.
UKIWA NA SIFA ZOTE HAPO JUU NI NGUMU WATU KUKUTUMIA KATIKA MAMBO AMBAYO SI MEMA NA WATAKUTOA KWNY SYSTEM MAPEMA SANA ILA UKIWA KINYUME NA SIFA ZA HAPO JUU WATAKUTUMIA NA KUKUTUPA MAPEMA SANA SBB WANAJUA WEWE SIO MUAMINIFU.
Maisha ni kupanga na kuchagua.
 
Inshu ya balozi mahalu huwezi ilinganisha na ya huyu jambazi!!kwani hiyo ilikuwa ni matumizi mabaya ndani ya ubalozi, na kuna ushahidi wa doc'zilitolewa, inshu ilikuwa labda ni utaratibu tu ndio haukufuatwa!!sasa huyu atoke wilaya yake, hadi huko, bila viongozi husika kujua, na kwanini ameshindwa kuwataja hao ambao ni TASK FORCE, iliyotoka dar, ambayo alikwenda kuwapokea wakaungana naye kwenye zoezi hilo??mimi nadhani kama angewataja kwa majina wangekuwa mashahidi wake wazuri.Sasa anaposema siwezi kuwataja kuna nini hapo?!!na mbona ni jambo dogo tu, wakitaka kufuatilia kama ni kweli kulikuwa na maelekezo hayo!!yeye anadhani ni sawa na kuwaambia watu kuwa JANA USIKU MUNGU AMENITOKEA NA KUNIAMBIA VILE".kwa kufuata sheria hii kesi hawezi chomoka!!!
Hawezi kutoka wilaya moja na kwenda wilaya nyingine bila mwenye mamlaka katika wilaya husika au eneo hilo kuwa na taarifa 'trust me' siri ndio iko hapo lakini kwa wataalama wakiruhusiwa kuunganisha vijiini vya matendo utaamini hicho ndico kilicho tokea huyui katoswa tu kwa sababu ya nyota iling'ara kupindukia kiasi cha kutisha mamlaka.

Kwa usalama zaidi hii kesi itagota na kulazimisha kutogota.......
 
Theoretically yes lakin practically kwa nyakati zile nani ndani ya hicho chama angemkatalia Jiwe mwenye mamlaka ya kimungu ya kikatiba? Labda mpinzani lakin siyo mwanassm.
Ndo maana nimesema, kama mtu alishindwa kukataa kwa kuheshimu mamlaka, bado alikuwa na mwanya wa kuachia ngazi!! Hiki ndicho kinachofanyika hata huko kwa wenzetu, na wala usidhani viongozi wa huko hawatoi maagizo ya hovyo hovyo!!

Kinachotushinda sisi ni kutokuwa tayari "kuachia" ugali!
Unajua haya makosa ya dogo ukiiyaangalia kiuhaki kabisa si yake, na wala si ya mwendasake, bali ni ya katiba. kwa asilimia karibu 95 mateso ya watanzania, hasa wanayopewa na wanasiasa, yanatokana na katiba mbovu na dhaifu
Tuna-overrate sana suala la katiba pale tunapodhani kila tatizo linatokana na katiba mbovu na kwahiyo solution ni katiba mpya!! Tatizo kubwa la Miafrika ni IMMORALITY...

Jamii nyingi kama sio zote za Kiafrika zimeoza sana kimaadili!!

Watu tunaendekeza sana njaa!!!
 
Uthibitisho atatoa tu.
Atautolea wapi?!!

Narudia, ushahidi ambao ungeweza kumsaidia ni wa kimaandishi but there's no way hizo nyaraka eti zinaweza kuelekeza `afanye aliyofanya!! Ndo maana nimesema nyaraka bila shaka zitakuwa na clean instruction lakini akapigiwa simu achukue "hatua zaidi when necessary"!
Kwa hiyo kama alipewa maagizo ya ziada yasiyo fuata sheria si ndo maana tunasema wote mtoaji na mpokeaji ni vululuvululu!!
Hiyo ni assumption, na hoja hapa ni kwamba, hata kama alipewa hayo maagizo bado msalaba utabaki kuwa ni wa kwake! Mosi, I doubt kama atakuwa na huo uwezo wa kuthibitisha! Pili, mamlaka ya uteuzi kwa nafasi yake ni ex-president ambae amefariki lakini hata kama angekuwa hai bado isingemsaidia!!
Halafu Sasa cha kujiuliza kama saa mbaya mmoja anakiri alipewa maelekezo yasiyofuata sheria kuwa akaumize watanzania jiulize ni wangap wamepewa maelekezo ya hivyo na ni watanzania wangapi wameumizwa na dikteta? Mkiona watanzania tunalilia katiba mpya ndo mjue twalia kwa mengi.....TUNATAKA KATIBA MPYA
Nijiulize mara ngapi wakati hilo tumelisema sana wakati wa uhai wa JPM?!

Narudia, tuna-overrate sana umuhimu wa katiba mpya pale tunapodhani kila tatizo solution yake ni katiba mpya na kudhani lau kama tungekuwa na katiba mpya tayari basi tatizo husika lisingetokea!

Katiba mpya ni muhimu sana, tena sana lakini tuna-overrate mno umuhimu wake!!!

Tena kama katiba mpya yenyewe ndo hizi za kufanya miongoni mwa wajumbe kuwa wabunge waliopo huku bunge lenyewe likiwa na over 95% CCM ndo wala usitarajie chochote cha maana!!

Padri au Sheikh hawatakiwi kumuogopa polisi au umma ili wasifanye maovu bali wanatakiwa kumuogopa Mungu kutokana na maandiko matakatifu yanavyosema!

Hata hivyo, nao bado ni miongoni mwa watenda maovu!!! Na wanapochelea kutenda uovu wanaogopa sana mamlaka za kidunia au jamii kuliko kuogopa makatazo ya maandiko takatifu!!

Hiyo ndo jamii tuliyonayo, na ndo maana, wakati Kenya inapata katiba mpya tuliisifia kweli kweli lakini hadi kesho uovu wa viongozi upo pale pale!
 
Back
Top Bottom