nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Kitendo cha ole kengai sabaya kuwataja Magufuli na mpango ni mbinu za kijasusi ili kujitoa mikononi mwa sheria.
Hoja ya sabaya yakutengeneza,ameona hachomoki hivyo wanasayansi wake wa kisheria na timu yake same kite ten genera hili wakijua Magufuli ana kundi kubwa lililomkubali aliloliacha hapa dunia hivyo hawatakubali kuharibu legacy wanayoitetea.
Mpango yupo madarakani,haitawezekana kumfanya mshitakiwa kwa sheria mbovu na mahakama za ccm.
KWA HOJA HII WAKATI WOWOTE SABAYA OUT,KAMA ATAADHIBIWA ITAKUWA ADHABU ISIYOENDANA NA TUHUMA NZITO ALIZONAZO SASA
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Hoja ya sabaya yakutengeneza,ameona hachomoki hivyo wanasayansi wake wa kisheria na timu yake same kite ten genera hili wakijua Magufuli ana kundi kubwa lililomkubali aliloliacha hapa dunia hivyo hawatakubali kuharibu legacy wanayoitetea.
Mpango yupo madarakani,haitawezekana kumfanya mshitakiwa kwa sheria mbovu na mahakama za ccm.
KWA HOJA HII WAKATI WOWOTE SABAYA OUT,KAMA ATAADHIBIWA ITAKUWA ADHABU ISIYOENDANA NA TUHUMA NZITO ALIZONAZO SASA
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app