Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,595
- 3,085
Bibie tafuta bwana mwingine, Sabaya hatoki tenaHivi we mwanasheria njaa unajua kuanalyze facts? Amekiri kuhusika na operation dhidi ya ujujumu uchumi ndio maana anadai alitumwa kwa kazi maalumu, hajakiri kushiriki ujambazi.
Kama mwanasheria ebu tupe ingredients za armed robbery alafu oanisha na tukio la Sabaya. Acha ushabiki