Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,196
- 25,516
- Thread starter
- #21
Mkuu, hadi sasa Sabaya ametoa porojo tu. Alete ushahidi sasaWe jamaa hapo UDSM sijui ulibakije aise.
Sabaya hahitaji kuthihitisha chochote aise kwenye hii kesi. Anachotakiwa kukifanya kwa ushahidi huo anakifanya kwa usahihi mkubwa mno. Umenishangaza aise.