Utawala wa Ki-ndugu na Ki-Ukoo unaitafuna Tanzania

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.

Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!

Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.

Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar

Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.

Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.

Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.

Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.

Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.

Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.

Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.

Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.

Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
 
Lawama ziende kwa wale Wanaume waliokuwa bize kucheza bao na karata wakishushia kahawa huku Wanaume wenzao wakihangaika kutafuta nyadhifa serikalini kwa udi na uvumba.
Sasa kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake.
 
1634286827786.png
 
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.

Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!

Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.

Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar

Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.

Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.

Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.

Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.

Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.

Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.

Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.

Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.

Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Working class mpka waone uchungu, bila hivyo itachukua muda mrefu kukiondoa KIKUNDI hiki kidogo kinachomiliki nchi na sisi ni watumwa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.

Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!

Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.

Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar

Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.

Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.

Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.

Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.

Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.

Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.

Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.

Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.

Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Inabidi tuanze kampeni ya kupekenua waliopo bot kwanza, wenye connection afanye mambo kulisaidia taifa hili tafadhali.kwani hapo ndio jikoni na roho ya taifa.
 
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.

Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!

Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.

Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar

Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.

Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.

Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.

Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.

Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.

Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.

Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.

Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.

Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Hivi kwa mfano wewe ni mkurugenzi wa mamlaka ya bandar Tz na mtt wa dada yako anatafuta kazi na sifa anazo utawacha kumuajiri wakati bandar zaid ya 10 zipo chin yako.Kuajir ndugu hakuna ubaya ubaya ni kuajir mtu ambaye hana sifa.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwa mfano wewe ni mkurugenzi wa mamlaka ya bandar Tz na mtt wa dada yako anatafuta kazi na sifa anazo utawacha kumuajiri wakati bandar zaid ya 10 zipo chin yako.Kuajir ndugu hakuna ubaya ubaya ni kuajir mtu ambaye hana sifa.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe, lakini apitie michakato yote na wewe uwe ume declare interest usihusike kwa chochote hata kutengeneza kamati ya ajira
 
Nepotism ni indicator ya barbarism...Pia ni indicator ya level ya development na uelewa wa raia kwenye maswala ya kitaifa. Watu wakikataa hakuna mwenye nguvu ya kufanya otherwise. Tatizo ni je hao active citizen wapo kukataa haya? Nao wanasubiri huruma ya hao wachacje wajanjawajanja
 
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.

Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!

Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.

Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar

Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.

Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.

Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.

Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.

Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.

Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.

Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.

Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.

Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Hata wewe ungepata nafasi ungefanya hivyohivyo...ni Nani Kati yetu mwanae akimuomba mkate yeye anampa nyoka..?
 
Lakini nafasi ya Urais mtu hapewi kama zawadi bali watu wenyewe kwa utashi wao au kwa upumbavu wao humchagua huyo mtu.Nikwambieni ukweli ata leo tukikupatia taifa hili wewe uwe kiongozi wetu najua ndugu zako wengi tutawaona kwenye mfumo wakipeperusha bendera tu kwahiyo hili lisikunyime usingizi.

Taifa letu linahitaji watu waliokuwa na maarifa na utayari wa kuongoza ili tupate maendeleo na sio eti watu wa dini fulani,kabila wala familia.Leo hii hata tukiwapata wote wa familia moja wakaongoza sio shida kikubwa wawe na maarifa ya kuongoza,utashi na hekima.Mbona Saudia inaongozwa na familia moja na mambo yao safi tu au hili tuliweke vipi?
 
Tunahitaji katiba mpya ili tuwez ķujenga taasisi imara cio kama leo watu wanagawana vyeo kwa kujuana tu
 
Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.

TISS yenyewe imejaaa undugunization.
 
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.

Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!

Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.

Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar

Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.

Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.

Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.

Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.

Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.

Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.

Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.

Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.

Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Bandiko lako lina taswira ya nongwa na chuki binafsi.

Enzi za Nyerere aliteua ndugu zake wengi alishawahi kuhojiwa akatoa majibu ya kwanini alifanya hivyo ambapo alisema walikuwa na uwezo lakini pia walistahili kama walivyo watu wengine. Jiepushe na uzushi na uongo mwingi wenye lengo la mwelekeo hasi.

Mfano

Kiboko Nyerere kna wengine wenye nasaba naye kama Joseph Warioba, Joseph Butiku, Nyirabu gavana benki jeshini akina Jenerali Musuguri nk
 
Wasio na connection wataajiriwaje?
Hivi kwa mfano wewe ni mkurugenzi wa mamlaka ya bandar Tz na mtt wa dada yako anatafuta kazi na sifa anazo utawacha kumuajiri wakati bandar zaid ya 10 zipo chin yako.Kuajir ndugu hakuna ubaya ubaya ni kuajir mtu ambaye hana sifa.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kama tunataka maendeleo lazima tuondoe utawala wa kindugu ndugu katika taifa letu.

Haya Mambo hayakufanyika Nyerere akiwa Rais baada ya kufa tu ndio yalianza!!

Kwani mnafikiri yeye alishindwa kumteua mkewe kuwa Waziri? Lakini alifuata maadili ya kiuongozi.

Baada ya Kufa wakaanza kupeana fadhira za Urais kwa kuanzia Zanzibar

Karume alipewa urais, badae January akapewa uwaziri, Nape naye akapewa uenezi ccm na badae ubunge na uwaziri.

Bila aibu Ridhiwani alipewa ubunge uku baba yake akiwa Rais, Badae bila aibu Mke wa Kikwete akapewa ubunge.

Maajabu Kikwete alitaka kumlisisha Membe Urais.

Kwenye utawala wa Magufuli akawekwa Dotto James kwenye pesa zote za Nchi azisimamie.

Nasikia Waziri wa utawala Bora ana uhusiano wa karibu na Rais wa Sasa ( Undugu) Sina uhakika lakini na ili Ila kiukweli Kama tunategemea maendeleo kwa kuweka tu watu kisa tuna uhusino nao tusahau kuhusu maendeleo.

Ndugu zangu hakuna Nchi inayoendelea kwa kupeana fadhira kiasi hiki kwani watu Hawa uwa hawafanyi chochote kwa kuwa wanajua watakingiwa kifua.

Utashangaa kesho na kesho kutwa wakina Ridhiwani na Makamba wanapewa fadhira ya Urais na idara za usalama zipo sinawakenulia meno tu.

Vetting hakuna tufike sehemu tuwe serious bunge sio sehemu ya dampo la uchafu na takataka zote ni sehemu yakutunga sheria.

Uwalimu wa primary na kutunga sheria kwa kingereza wapi na wapi?.

TISS Ni wakati wa kusimama kidete hata kwenye ajira kwenye mawizara na BOT ni uchafu mtu kuna kipindi yalitolewa majina ya wafanyakazi wa BOT ni majonzi makubwa.

Mtoto wa Lowassa, Mtoto wa Sumaye, Mtoto wa nchimbi, Mtoto wa pinda na watoto wa wanasiasa kibao ndio wanaofanya Kazi BOT.

Undugu, Ukabila, Udini na kujuana Ni vitu ambavyo tunatakiwa kuviondoa Kama tunataka maendeleo.
Pia rais wa bara na yule wa visiwani ni watoto wa rais wa awamu ya pili, mwinyi!
 
Back
Top Bottom