plus_ix
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 559
- 1,387
Habarini wana JF natumaini tumeanza mwaka vyema kabisa
Bila kupoteza wakatai nataka niwaletee hiki kisa ambacho tumeishi nacho tukiwa wadogo mpaka hivi sasa tumekuwa tunazidi kueelewa ilikuwaje maana wakati wadogo tulikuwa hatuambiwi chochote.
Iko hivi familia ya mzee wangu walizaliwa watoto wa tano kutoka kwa mke mkubwa maana babu alikuwa na wake watatu na familia tatu ila izo nyingine sitozizungumzia ntaongelea familia ya mzee wangu baba ni mtoto wa kwanza kwenye hii familia anafatiwa na dada ake ambaye ni shangazi yetu pia na wadogo zake wawili huyu mdogo wake watatu ambaye ni bamdogo wangu ndo chanzo cha mkasa mzima japo yeye hahusiki moja kwa moja.
Ilianza bamdogo alipo taka kuoa ni mwanzoni mwa miaka ya 2000s familia ilikuw imemchagulia mke sasa yeye akumpenda yule mke akawaelekeza wazee wake wakamueelewa akasema tayari anamchumba wake ambaye yuko kijiji jirani basi mdaa ulipo fika alienda kumchukua na kumtambulisha kwa wazee kwamba huyu ndio mke wake siku tu ya kwanza mke wa bamdogo kufika vilizaliwa visirani na shangazi awakutokea kupendana kabisa ukiskia ugomvi wa mawifi sasa huyu mke wa bamdogo ambaye ni mamdogo wangu alikuwa mpweke sana maaana alionekana sio chaguo la familia kwa sababu kijiji anachotoka kinasifika kwa uchawi basi ikalazimika bamdogo haame kipindi iki mzee alikuwa anafanya biashara zake mkoa mwingine ko ikabidi amchukue bamdogo na mke wake wakae nae huku akimfundisha biashara maisha ya kaeendelea kawaida kabisa huku shangazi akigoma kuja kututembelea kwa sababu ya mamdogo akidai ni mwanga baada ya kipindi kifupi bamdogo aka master biashara na kuanza kujitegemea na kuondoka kwa mzee (kaka yake).
Basi visanga vilianza rasmi baada ya mamdogo kutopata mtoto na kila mimba aliyokuwa anashika inatoka/kuaribika aisee hili lilikuw tatizo kubwa mnoo kweny hukoo ki ujumla kwa upande wa familia ya mzee shangazi ndo alikuwa mkali akidai huyu mwanamke hafai ana mikosi na rahana za ukoo wao niliwaambia toka mwanzo amkutaka kunieelewa, amna jambo baya kuonekana hufai na unazidi kuthibitisha hufai bamdogo alihisi kuvurugwa lakini alishikilia msimamo wake na akumkatia tamaa mke wake bamdogo hiki kipindi alikuwa mtu wa mawazo sana alipoteza nuru alikonda ka mgonjwa kwa upande wa ma mdogo ndugu zake walimwambia amerogwa inabidi aende kwa mganga na akapewa maelekezo huku akirini mwake akiamini hivi vyote ni visa vya shangazi kwa kuwa hamtaki.
Mamdogo alinambia kwa uchungu sana huku akinambia mwanangu nimetafuta sana mtoto
Basi baada ya kupewa maeelekezo na ndugu zake mamdogo ilibid arudi kwao kwajiri ya kufanyiwa utalamu na mganga wa jadi ambaye anaaminika.
Mamdogo alieenda kwao na alikaa zaidi ya mwezi mmoja na akiwa anapewa dawa na huyo mganga na kufanyiwa matambiko ya ukoo wao alirud akiwa kakondaa sana hiki kipindi bamdogo na mzee ndo walieenda kumchukua alirudi na chale nyingi sana mgongoni kwa kifuani sehemu ya juu kidigo ya maziwa na sehemu nyingine huku akisema mganga kamwambia aliye mroga ila hatakiwi kusema kwa mtu yoyote ili jambo lilileta shida kidogo kwa kuwa wanafamilia walitaka kujua ukweli wote hapa ndo chuki zilizidi baada ya babu kujua mkwe wake kaeend kwa mganga.
Basi miezi kadhaa ikapita mamdogo alifanikiwa kushika mimba na miezi tisa ikapita hatimaye alijifungua mtoto wa kiume lakini mtoto alizaliwa na matatizo walivyodai wao akuwa baraka bali maumivu kipindi hiki nilimuona mtoto nilikuw mdogo pia ila nilimzid miaka kadha mtoto alizaliwa na ulemavu alikuwa awez kukaa wala kutambaa ni kulala tu hata mdaa wakufanya ivyo ulivyofika ilikuw shida sana furaha ya mamdogo kupata mtoto ilianza kupotea kabisa walitafuta njia mbali mbali za kumsaidia mtoto zilishindikana na mwisho wakarudi kwq waganga wa kienyeji..
Bila kupoteza wakatai nataka niwaletee hiki kisa ambacho tumeishi nacho tukiwa wadogo mpaka hivi sasa tumekuwa tunazidi kueelewa ilikuwaje maana wakati wadogo tulikuwa hatuambiwi chochote.
Iko hivi familia ya mzee wangu walizaliwa watoto wa tano kutoka kwa mke mkubwa maana babu alikuwa na wake watatu na familia tatu ila izo nyingine sitozizungumzia ntaongelea familia ya mzee wangu baba ni mtoto wa kwanza kwenye hii familia anafatiwa na dada ake ambaye ni shangazi yetu pia na wadogo zake wawili huyu mdogo wake watatu ambaye ni bamdogo wangu ndo chanzo cha mkasa mzima japo yeye hahusiki moja kwa moja.
Ilianza bamdogo alipo taka kuoa ni mwanzoni mwa miaka ya 2000s familia ilikuw imemchagulia mke sasa yeye akumpenda yule mke akawaelekeza wazee wake wakamueelewa akasema tayari anamchumba wake ambaye yuko kijiji jirani basi mdaa ulipo fika alienda kumchukua na kumtambulisha kwa wazee kwamba huyu ndio mke wake siku tu ya kwanza mke wa bamdogo kufika vilizaliwa visirani na shangazi awakutokea kupendana kabisa ukiskia ugomvi wa mawifi sasa huyu mke wa bamdogo ambaye ni mamdogo wangu alikuwa mpweke sana maaana alionekana sio chaguo la familia kwa sababu kijiji anachotoka kinasifika kwa uchawi basi ikalazimika bamdogo haame kipindi iki mzee alikuwa anafanya biashara zake mkoa mwingine ko ikabidi amchukue bamdogo na mke wake wakae nae huku akimfundisha biashara maisha ya kaeendelea kawaida kabisa huku shangazi akigoma kuja kututembelea kwa sababu ya mamdogo akidai ni mwanga baada ya kipindi kifupi bamdogo aka master biashara na kuanza kujitegemea na kuondoka kwa mzee (kaka yake).
Basi visanga vilianza rasmi baada ya mamdogo kutopata mtoto na kila mimba aliyokuwa anashika inatoka/kuaribika aisee hili lilikuw tatizo kubwa mnoo kweny hukoo ki ujumla kwa upande wa familia ya mzee shangazi ndo alikuwa mkali akidai huyu mwanamke hafai ana mikosi na rahana za ukoo wao niliwaambia toka mwanzo amkutaka kunieelewa, amna jambo baya kuonekana hufai na unazidi kuthibitisha hufai bamdogo alihisi kuvurugwa lakini alishikilia msimamo wake na akumkatia tamaa mke wake bamdogo hiki kipindi alikuwa mtu wa mawazo sana alipoteza nuru alikonda ka mgonjwa kwa upande wa ma mdogo ndugu zake walimwambia amerogwa inabidi aende kwa mganga na akapewa maelekezo huku akirini mwake akiamini hivi vyote ni visa vya shangazi kwa kuwa hamtaki.
Mamdogo alinambia kwa uchungu sana huku akinambia mwanangu nimetafuta sana mtoto
Basi baada ya kupewa maeelekezo na ndugu zake mamdogo ilibid arudi kwao kwajiri ya kufanyiwa utalamu na mganga wa jadi ambaye anaaminika.
Mamdogo alieenda kwao na alikaa zaidi ya mwezi mmoja na akiwa anapewa dawa na huyo mganga na kufanyiwa matambiko ya ukoo wao alirud akiwa kakondaa sana hiki kipindi bamdogo na mzee ndo walieenda kumchukua alirudi na chale nyingi sana mgongoni kwa kifuani sehemu ya juu kidigo ya maziwa na sehemu nyingine huku akisema mganga kamwambia aliye mroga ila hatakiwi kusema kwa mtu yoyote ili jambo lilileta shida kidogo kwa kuwa wanafamilia walitaka kujua ukweli wote hapa ndo chuki zilizidi baada ya babu kujua mkwe wake kaeend kwa mganga.
Basi miezi kadhaa ikapita mamdogo alifanikiwa kushika mimba na miezi tisa ikapita hatimaye alijifungua mtoto wa kiume lakini mtoto alizaliwa na matatizo walivyodai wao akuwa baraka bali maumivu kipindi hiki nilimuona mtoto nilikuw mdogo pia ila nilimzid miaka kadha mtoto alizaliwa na ulemavu alikuwa awez kukaa wala kutambaa ni kulala tu hata mdaa wakufanya ivyo ulivyofika ilikuw shida sana furaha ya mamdogo kupata mtoto ilianza kupotea kabisa walitafuta njia mbali mbali za kumsaidia mtoto zilishindikana na mwisho wakarudi kwq waganga wa kienyeji..