Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Sasa Black Bat em kuwa spesific basi we unaongelea kuwa ni nani anyetakiwa kuwa na pesa ili mapenzi yaendelee?ni wote au mwanaume?maanake umesema hao ni wa level moja?

Mapenzi bila pesa kwa wadada wanaojiita wa mjini hayawezekani,hana kazi anataka lace wig anataka kutembelea gari anataka kuvaa CL sasa bila hela yatawezekana vipi ndio mana wengne wanaoelewa na wenye mahela ila wanachakachua na wale wanaowapenda kwa dhati
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kbsa. Binafsi sina pesa hivyo nimeamua kutojihusisha na mapenzi. Aibu jmn niwe na mwanamke hata kwenda naye Steers juice Tsh 3500 nishindwe..bora nikae pembeni ntakuwa na mpenzi nikipata hela.

Well said mkuu, hatujatofautiana kabisa
 
ah ah! Usijali my kaka kumchunguza shemeji angu. Ujue kuna Level za wana wake una weza kuta kuna wa 3G, 4G na hata 5G, tatizo lina kuja pale unapo bahatika kumpata wa 5G huku wewe ni wa ni 3G ndio utaona kama pesa ahitajiki.
manoah wewe usimseme shameji yako ujue!mi sitaki shem wako ananipenda kiweli bila kinyongo tena kutoka moyoni na umaskini wangu na wala sijawahi kusikia anatoka nje labda nianze uchunguzi wangu sa hizi.
 
Last edited by a moderator:
Daaaaaahhh hii kali sasa aiseeee.
Mapenzi bila pesa kwa wadada wanaojiita wa mjini hayawezekani,hana kazi anataka lace wig anataka kutembelea gari anataka kuvaa CL sasa bila hela yatawezekana vipi ndio mana wengne wanaoelewa na wenye mahela ila wanachakachua na wale wanaowapenda kwa dhati
 
Haaaaaa haya banah umeniweza.
ah ah! Usijali my kaka kumchunguza shemeji angu. Ujue kuna Level za wana wake una weza kuta kuna wa 3G, 4G na hata 5G, tatizo lina kuja pale unapo bahatika kumpata wa 5G huku wewe ni wa ni 3G ndio utaona kama pesa ahitajiki.
 
Mungu hakuagiza iwe hivyo ni mawazo ya shetani ndani ya fikra za binadamu yanapelekea Kupenda hela kuliko utu
Kumbuka Yesu alisema kuwa siku ya mwisho watu watakuwa wapenda pesa na kujipenda binafsi...............
Bila pesa utaishia kumuopoa huyo Yesu wako. Kalagabaho!!
 
Mapenzi ni pesa kwa yule anae define mapenzi in quantifiable.
Badili kwanza definition yako ya mapenzi ndio utajionea
how love is so expensive that it ends up being free.
 
Tatizo la sisi wadada sometimes sijui ni kujirahisi, sijui ndo wachumba wamekuwa wachache, mh! Basi unampata boyfriend, unamwambia swty nimekumiss akisema tu hana nauli kha! Ushamtumia taxii, au ticket ya ndege, ni jamani! Sasa huyu si kumdekeza ni nini? Hivi akikuoa unafikiri atafanya nini sasa?


sasa wewe ulitakaga yeye tuu atoe...loh!!! nawe inabidi uchangiage bwana if u want a ring on that finger otherwise guy gona spend and just hit that but no chances ya marriage...damn it we need our women to show care too alah!!!
 
wadada wa siku hizi Pasua kichwa sana, tamaa zimezidi. ni vigumu sana kumiliki mwanamke wa mjini kama huna pesa.!!
 
hata mimi aisee kuna mkaka alinitongoza nikiwa namfikiria akanitumia sms anaomba laki na nusu ana kazi nayo nilirusha na simu huko sijaitumia tena hadi leo

hahahaha
kwani
cmu
inatatizo
gani?
 
Back
Top Bottom