Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

atapata mwenye fedha zake
bana,anaejua jukumu lake kwa mtoto
wa kike!vidume suruali vinavyosubiri kuhongwa vishindweee!

Kwa hio akipata kidume chenye pesa ndio atakuwa anakipa papuchi yake si ndio? Na hiko kidume kikiishiwa na pesa itabidi tena atafute kingine ndio kiwe kinampapachua tena ? Ama sjakuelewa vizuri?
 
Daaaaaaaaahhhh Black Bat sasa na hawa ambao hawana pesa na wanapendana na wanaishi miaka nenda tuwaweke kwaneye kundi lipi sasa?
Aaah wapi bhana, the only interesting thing about a man is his wallet. Kama wapo wanadunda kuna fidia vipembeni wife atakuwa anafanya kamuzi la kufa mtu; hebu jamaa ajifanye kauzu wa kubana vijimianya aone kama demu hatasepa. Manake sasa aondoke kwenda wapi na kufanya nini wakati yote anaweza kuyafanya akiwa hapohapo?!!
 
Ni kweli, pesa mbele alafu midunde. Wanawake wa siku hizi hata mwanaume awe na kindunye, mradi tu awe na pesa au kazi yenye kipato poa atalazimisha mpaka aolewe na kama kaoa ujue lazima amgande ili apate mkwanja alafu anatafuja kachalii kama siye ndo tummalizie shida zake, nimekutana nao wengi tena walio wengi ni marafiki, wakihadithiana wanajilengesha wenyewe!
 
Japo tunatambua kuwa pesa ndio inathamani kuliko kitu chochote hapa duniani, lakini pia pesa hii hii kuna maeneo mengine haipaswi itawale...

Linapokuja suala la mahusiano,sio vizuri kuipa pesa nafasi kubwa..Kuipa kipaumbele pesa ndicho chanzo cha wewe kukosa mapenzi ya kweli.Tambua wazi kuwa mahusiano yoyote yale yanayotawaliwa na pesa,mara nyingi mwisho wake ni mbaya..

Napenda niwape mfano huu ambao ni wa kweli:
"Nilikuwa na rafiki yangu ambaye alikuwa akifanya kazi katika kampuni fulani. Sio siri pesa alikuwa nayo. Alipata binti mmoja ambaye hata mazingira yenyewe ya kumpata yalikuwa ya pesa. Kwani maeneo tu ambayo walikutana ni sehemu za starehe.

Walifanikiwa kuishi pamoja na ndani ya miaka mitatu ya raha mwaka mmoja tu ndio uliovunja mapenzi yao.
Siku jamaa alipoachishwa kazi na pesa kupoteza mwelekeo, binti yule aliamua kumkimbia na kumwambia kuwa amezoea raha hivyo hawezi kuishi na mwanaume ambaye hana pesa."

Katika mfano huu mimi naamini kuwa kama jamaa angemtafuta binti yule katika mazingira ya kimasikini, sidhani kama baada ya kukosa pesa angekimbiwa.

Jaribu kufanya uchunguzi wewe mwenyewe kwa wasichana wale wote wanaonekana wapenda starehe,hawana mapenzi ya dhati.

Pedeshe akikuhonga pesa ujue atamuhonga hata mwingine hivyo hivyo. Matokeo yake ni kuambukizwa magonjwa ya zinaa.

Kama kweli unahitaji mapenzi ya kweli, usiweke pesa kama kigezo. Mapenzi sio pesa, mapenzi ni moyo wa mtu.
Unaongea ukweli mkuu
 
Yeah ina ukwl flan ila ujue ukiweka hela mbele sana lazima value for money ionekane yaan uendane na thaman yake hivyo ukubali kutumika vizuri bila kujali utu wako. Kuna msemo unasema kupata vitu usivyokua navyo lazima uthubutu kufanya vitu ambavyo hujawahi kujaribu. Hapa naomba wadau tusi narrow mawazo kwny nanihii tu kuna vitu ving vya hatari.
 
Jamani wanajamii tusaidiane kwa hili je pesa ndioo kila kitu katika mapenzii kwani me siwezi kukupenda bila pesa na wewe bila pesa huwezi kunipenda wat does dat pesa du wth love

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Money plays the role of facilitator in love.

They say romance without finance is a nuisance.

And I agree, to an extent.

Though it is not the be-all and end-all of love, can't deny the significant role it plays.
 
money is important and we cannot ignore its role in love life, but there certain things which cant be bought with money, u dnt need money to be loved. bt u need money to keep ur love life in existence.
 
Yes yes yes yes .Mwanaume bila Pesa extremely sad and stress .Hata mbinguni hawatoenda " men is the provider " .They need to go to jail for that
 
money is important and we cannot ignore its role in love life, but there certain things which cant be bought with money, u dnt need money to be loved. bt u need money to keep ur love life in existence.

Hahaaaaaaaaaaaaa! Mambo ya digitali you surely need money to be loved!

Embu jaribu ukiwa umepaukaaa uwazukie wadada corporate wakipata lunch Marry Brown My dear even with a PHD and the best personality you wont get any!

But if you roll in well tailored suit, expensive shoes, designer watch n perfume, nice car, Blackberry Z 10 or I 6 or an S4 or both at ones, Trust me you will dine with the queens!

Though we long for thins we dont see like love, but we damn sure like what we see!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yes yes yes yes .Mwanaume bila Pesa extremely sad and stress .Hata mbinguni hawatoenda " men is the provider " .They need to go to jail for that

Hata mwanamke aliye broke as a joke hana mvuto hata kidogo!

But of course I'm talking about being continuously broke and not just in isolated incidents.
 
Mapenzi bila pesa yanawezekana lakini Pesa ndio haswaaaa hunogesha penzi......natoa wito kwa kaka zangu waongeze bidii kutafuta hela kwani bila hela duniani ni shida Hasa kwa maisha ya mahusiano..
 
Mapenzi yakuonana kwenye glass aisee ni enzi za Adam kabla Eve hajaja...!!!!
Now days...money first...huna kawinde ndege pori ngerengere
 
Mapenzi bila pesa yanawezekana lakini Pesa ndio haswaaaa hunogesha penzi......natoa wito kwa kaka zangu waongeze bidii kutafuta hela kwani bila hela duniani ni shida Hasa kwa maisha ya mahusiano..

Mapenzi bila pesa HAYAWEZEKANI;Nina weeks ya 3 sasa sijapiga kitu yangu maana gf kaniwekea ngumu kisa kaniomba hela ya KING'AMUZI na mm bajeti yote niliipeleka kwa watoto shule!
 
Back
Top Bottom