Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kama mapenzi pesa oa benk
Kama mapenzi pesa, walioolewa/olewa na wenye nazo wanatafuta nini kwa Mtogole saa 12 asubuhi badala ya kuelekea kwenye maofisi yao yenye viyoyozi??
 
nmeipata kwa hawa wanawake wa mujini"kuwa na baba maskini mungu kapanga iwe hivyo ila kuwa na babamkwe maskini ni kujitakia."
Pesa jamani ndio kila
kitu .. Bila pesa hakuna mapenzi trust me
Hawa walioleta msemo kuwa mapenzi sio pesa nia yao ni kufarijiana na
kuulinda umaskini.. Ni kama wale wanaodai kuwa eti kibamia sio kero
Note:ceteris paribus
 
Kama mapenzi pesa oa benk
Kama mapenzi pesa, walioolewa/olewa na wenye nazo wanatafuta nini kwa Mtogole saa 12 asubuhi badala ya kuelekea kwenye maofisi yao yenye viyoyozi??
issue sio hela uwajibikaji wa hawa kaka zetu umekuwa ziro wanataka kulelewa nao eti! na sisi wanawake hatutaki mizigo
 
Bado sijaproove as niaminicho mimi ni kuwa love a.k.a upendo ndo kila kitu.
My kaka! Haiwezekani kuishi pasipo money money, na ukikuta wanaishi migogoro hutawa na furaha hakuna, au utakuta wame ridhika na kipato chao na hao ni wa zamani za kale, hiki kizazi cha kuanzia 1980 hupati wa kuvumilia umaskini ndio maana usariti upo juu
 
Pesa jamani ndio kila kitu .. Bila pesa hakuna mapenzi trust me
Hawa walioleta msemo kuwa mapenzi sio pesa nia yao ni kufarijiana na kuulinda umaskini.. Ni kama wale wanaodai kuwa eti kibamia sio kero
Note:ceteris paribus

Si uende ukafunge ndoa na benki basi, kama kweli mapenzi ni pesa.

mm nawaambia wako wanawake wengi walidai mtu asiye na pesa hawezi kumuoa, kweli wapo waliolewa na wenye pesa, asilimia zaidi ya 90% wanajuta kwann walidanganyika kuolewa na watu wenye pesa, kwani hakuna kitu walichokitarajia. Jamani pesa zinatafutwa lakini upendo/kumpenda mtu hakutafutwi kunapaswa kutoka moyoni na kwa hiari, kumpenda mtu hakulazimishwi. kwan watu wangapi vijijini wanaoana hawana hata kitanda lakini wanakaa kwa wazazi wao kwa miaka 3, wanajenga nyumba zao na kisha kujitegemea na kutafuta na kupata pesa wazitakazo? tafadhali msiwapotoshe watu, kuolewa/kuoa mtu usiyempenda hata kama ana fedha kama za Biligate, utaishi maisha yaliyojaa taabu, kwan hamjasikia wake wa mawaziri/wabunge/marais/mapedeshee wanatembea na watunza bustani, je hao nao hawana fedha?

Wako wengine waliwakimbia waume zao kwa madai kuwa wana vibamia, wakabahatisha wanaodai waliwahitaji wenye maumbile makubwa, leo hii wako kwenye mitandao ya kijamii wanalalamika kuwa wanaumizwa na waume zao wenye maumbile makubwa kila wafanyapo tendo la kujamiana, hadi wengine wamekimbia. Tena mtaani hadi kwa makahaba imefikia mahali mwanaume akitaka kumchukua akazini naye anamkagua kwanza, akiona mzee ana mziki mnene anakimbia, kweli dunia hii ina vituko vikubwa kweli.

Ziko baadhi ya ndoa zilizofungwa kabla ya watu kuonjana zimevunjika kutokana na mzee kuwa na maumbile makubwa, sasa haya ya leo nayo mapya. taarifa ziko mtaani kwetu, mwingine aliolewa na jamaa, jamaa hakuzima taa, akataka wafanye kwenye taa, mke alipoona, akasema haiwezekani, mbona utaniua? haya tuache la nani na tushike la nani?

Kuna baadhi imefikia tunaenda hospitalini na kuwekewa alama kwamba tufanyapo tendo tusiingize zaidi ya bangili hiyo, matokeo yake tunakosa raha yote tunayotakiwa kuipata. Baadhi yetu kwa kutozingatia bangili/ring tuliyowekewa, tumeharibu vizazi vya wake zetu hawazai tena? sasa sijui hebu mtusaidie namna gani na ss tupunguze kidogo ili tupate raha yote. hivi kwani hatujasikia mtaani hadi kwa wanamuziki wanasema fupi tamu ndefu inakera?

kwa mtizamo wangu hili naona halina tofauti na tafsiri ya mwanamke mzuri wengine wanadhani ni kuwa na sura nzuri, wengine tabia, wengine makalio makubwa, wengine miss, wengine cheupe, wengine mweusi, wengine mrefu, wengine mfupi, wengine mnene, wengine mguu wa chupa, wengine mguu wa bia, wengine macho makubwa, wengine mdomo mkubwa, wengine meno meupe, wengine jinsi anavyocheka, wengine shingo ndefu, wengine pua kubwa, wengine meno yenye rangi kama wanyaturu, wengine miguu mwembamba, wengine umbo namba 8, wengine umbo namba 6; ilimradi kila mtu na chaguo na mawazo yake uzuri ni nini kwake.

kweli ulimwengu tambara bovu kila kukicha kuna usemi unaopinga ya jana na leo,

tz haikaukiwi habari, hata tume za kuchunguza kwann panya wanaishi zinaweza kuundwa na watu wakalipwa posho ya kukaa kitako.
 
Hao ni wa level moja
Sasa Black Bat em kuwa spesific basi we unaongelea kuwa ni nani anyetakiwa kuwa na pesa ili mapenzi yaendelee?ni wote au mwanaume?maanake umesema hao ni wa level moja?
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaaahaaaaaaaahaaaa that's Kongosho,you have hitted the nail manoah my mdogo and Black Bat kujeni msome hapa.
Kama mapenzi pesa oa benk
Kama mapenzi pesa, walioolewa/olewa na wenye nazo wanatafuta nini kwa Mtogole saa 12 asubuhi badala ya kuelekea kwenye maofisi yao yenye viyoyozi??
 
Last edited by a moderator:
Pesa ni kiungo muhimu kwenye mapenzi. Lakini wanaokula samaki walioungwa kwa nazi, na wanaokula samaki wa kuchemsha, wote wanashiba...
 
Ni kweli kbsa. Binafsi sina pesa hivyo nimeamua kutojihusisha na mapenzi. Aibu jmn niwe na mwanamke hata kwenda naye Steers juice Tsh 3500 nishindwe..bora nikae pembeni ntakuwa na mpenzi nikipata hela.

Nimekupenda bure kwa maneno yako
 
mapenz ya pesa siyo mazur mamaaa,usije ukaniacha kixa xina chapaa...kunamapenz ya kiboxi kukoxa baraka....!!
 
manoah wewe usimseme shameji yako ujue!mi sitaki shem wako ananipenda kiweli bila kinyongo tena kutoka moyoni na umaskini wangu na wala sijawahi kusikia anatoka nje labda nianze uchunguzi wangu sa hizi.
ah ah! Ukiona huna kitu, na huyo mdada ulie nae bado anakua na wewe ujue nje anachaka chuliwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom