Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

PESA uchawi wa kizungu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Smile shosti si vi BF tu! Hata Wanaume wengi sanaa ndoa zao ni kwa hisani ya wake zao! Wanaume pesa yao kwa wake zao haionekani kabisaaa au kwa machale. Wanawake ndo kujipinda kuficha aibu ya kuazirika. Hapo ndo nakuta sasa wanaendelea kuchuna japo wameolewa.

Kuna mwanaume namjua bonge ya handsome anafanya kampuni maarufu tu middle level, Mishahara yenyewe hii yebo kila mtu anaijua ana mkewe shosti wangu! Mwanaume mchaga mwenzangu yule si mtoaji kabisaaaa!

Na mkewe anamlamba kisogo tu kuwa anafanya biashara za China na Bangkok uzushi mtupu! Wanaishi expensive, and i mean very expensive kwa hisani nzito ya Mwarabu na Mheshimiwa flani hivi. Mme hatoi pesa wala haulizwi, kazi kushinda Las Vegas na ku gamble na kuweka heshima casino na owners wa makampuni makubwa makubwa. Mke yeye anagawa premende tu kwa mwarabu na Mheshimiwa mume wa mtu.

Happy 7 years of marriage and 2 kids.

Ukweli ni kuwa kama huna hela usioe wadada wa mujini, hutoweza kuwa afford watakugongea mpaka baaaaaaaass! Ni watu wanaotaka mambo makubwa makubwa fasta fasta na uchumi wao hawa ukalii kizembe!
duh yaani wanaume wangejua.???? anajifanya kuwa bahili analishwa haramu daily! hasara sana kuolewa na watoto wa mama! mimi mwanaume mvivu au anaenililia shida sekunde simalizi nae! yaani angegede na hela nimpe tena kwa kugegedwa kwingine akuuuuuuuuuu!
chop chop money inahusu sana. ata least ajiweze mwenyewe basi.kuna mwanaume unamwambia njoo home baby ! hata nauli hana eti umrushie buku tano kwa tigo pesa! kama kulea acha nizae tu siwezi lea jitu zima na meno yake 32 mie
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Mungu hakuagiza iwe hivyo ni mawazo ya shetani ndani ya fikra za binadamu yanapelekea Kupenda hela kuliko utu
Kumbuka Yesu alisema kuwa siku ya mwisho watu watakuwa wapenda pesa na kujipenda binafsi...............
asie fanya kazi na asile!
 
you are absolutely right pesa inanogesha mapenzi bana ni kama kachumbari kwenye pilau au chachandu kwenye mihogo, ukibisha wewe mbishi tuuu alaah!
 
hata mimi aisee kuna mkaka alinitongoza nikiwa namfikiria akanitumia sms anaomba laki na nusu ana kazi nayo nilirusha na simu huko sijaitumia tena hadi leo

haaaa!laki na nusu
kwa kazi ipi aliyofanya
mi hata elfu tano simpi ng'oooo!
 
Mungu hakuagiza iwe hivyo ni mawazo ya shetani ndani ya fikra za binadamu yanapelekea Kupenda hela kuliko utu
Kumbuka Yesu alisema kuwa siku ya mwisho watu watakuwa wapenda pesa na kujipenda binafsi...............
Sasa Yesu alikuwa anazungumzia siku za mwisho zipi,au alikuwa anazungumzia siku za mwisho wake yeye hapa duniani?maana hata kilichomfanya yeye akamatwe na kuuawa ni hizo hizo pesa alizozitamani yuda,na huko kujipenda binafsi pia kulikuwepo,si unaona Petro kwakujipenda binafsi alimkana yesu hadharani,mimi nadhani zile siku za mwisho zilikuwepo tangu mwanzo!!!sidhani kama kuna siku za mwisho mpya!!!
 
Mungu hakuagiza iwe hivyo ni mawazo ya shetani ndani ya fikra za binadamu yanapelekea Kupenda hela kuliko utu
Kumbuka Yesu alisema kuwa lllsiku ya mwisho watu watakuwa wapenda pesa na kujipenda binafsi...............

ila biblia inasema ya kuwa pesa ni jawabu la mambo yote
 
Kwahio unachosema mwenye pesa hawezi kumpenda asiye na pesa.., au mtu mwenye pesa nyingi hana mapenzi sababu kile kinachomfanya apende tayari anacho ?

Kwahio matajiri hawana mapenzi ?..., Mkuu mapenzi ni mvuto wa kitu fulani mtu anachotaka / penda kwa mtu fulani, inaweza kuwa tabia, pesa, appearance au power
 
Sasa Yesu alikuwa anazungumzia siku za mwisho zipi,au alikuwa anazungumzia siku za mwisho wake yeye hapa duniani?maana hata kilichomfanya yeye akamatwe na kuuawa ni hizo hizo pesa alizozitamani yuda,na huko kujipenda binafsi pia kulikuwepo,si unaona Petro kwakujipenda binafsi alimkana yesu hadharani,mimi nadhani zile siku za mwisho zilikuwepo tangu mwanzo!!!sidhani kama kuna siku za mwisho mpya!!!
mwambie mkuu hakuna jipya chini ya jua !
 
Back
Top Bottom