Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Like! pesa inafanya mapenzi yawe na uhai.. Pesa ikisepa nao uhai wa penzi utoweka na penzi hufa.
Pesa jamani ndio kila kitu .. Bila pesa hakuna mapenzi trust me
Hawa walioleta msemo kuwa mapenzi sio pesa nia yao ni kufarijiana na kuulinda umaskini.. Na kufarijiana.. Ni kama wale wanaodai kuwa eti kibamia sio kero
 
Kwa hiyo my mdogo unamaanisha penzi lako na mimisa linafanywa hai na pesa na si ninyi wawili?
Like! pesa inafanya mapenzi yawe na uhai.. Pesa ikisepa nao uhai wa penzi utoweka na penzi hufa.
 
ah ah! mimi mwenyewe nikionaga sina pesa hata marafiki hua sitaki, najua tabia zetu zimejawa na tamaa ya pesa mwisho wa siku ujione umetengwa kumbe huna kitu.. mimisa najua siku nikifulia sito kua nae na huo ndio ukweli kaka! Nani anapenda dhiki?
Kwa hiyo my mdogo unamaanisha penzi lako na mimisa linafanywa hai na pesa na si ninyi wawili?
 
Last edited by a moderator:
baeleze baeleweeee
no money no honey heheiyaaa!
Tatizo la sisi wadada sometimes sijui ni kujirahisi, sijui ndo wachumba wamekuwa wachache, mh! Basi unampata boyfriend, unamwambia swty nimekumiss akisema tu hana nauli kha! Ushamtumia taxii, au ticket ya ndege, ni jamani! Sasa huyu si kumdekeza ni nini? Hivi akikuoa unafikiri atafanya nini sasa?
 
My kaka! Haiwezekani kuishi pasipo money money, na ukikuta wanaishi migogoro hutawa na furaha hakuna, au utakuta wame ridhika na kipato chao na hao ni wa zamani za kale, hiki kizazi cha kuanzia 1980 hupati wa kuvumilia umaskini ndio maana usariti upo juu
Daaaaaaaaahhhh Black Bat sasa na hawa ambao hawana pesa na wanapendana na wanaishi miaka nenda tuwaweke kwaneye kundi lipi sasa?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kbsa. Binafsi sina pesa hivyo nimeamua kutojihusisha na mapenzi. Aibu jmn niwe na mwanamke hata kwenda naye Steers juice Tsh 3500 nishindwe..bora nikae pembeni ntakuwa na mpenzi nikipata hela.

Now you talk.. Haya wanaosema mapenzi sio pesa waje hapa
 
Tatizo la sisi wadada sometimes sijui ni kujirahisi, sijui ndo wachumba wamekuwa wachache, mh! Basi unampata boyfriend, unamwambia swty nimekumiss akisema tu hana nauli kha! Ushamtumia taxii, au ticket ya ndege, ni jamani! Sasa huyu si kumdekeza ni nini? Hivi akikuoa unafikiri atafanya nini sasa?
akikuoa unapaswa utegemee
maumivu mpaka mwisho!kina dada hatujitambui
sometym utadhani tuna mapepo!
 
My kaka! Haiwezekani kuishi pasipo money money, na ukikuta wanaishi migogoro hutawa na furaha hakuna, au utakuta wame ridhika na kipato chao na hao ni wa zamani za kale, hiki kizazi cha kuanzia 1980 hupati wa kuvumilia umaskini ndio maana usariti upo juu
Niambie sasa siku wakiwa hawana kitu.. Kununiana kama nini .. Hili lipo kwa kila uhusiano na tusidanganyane
 
Mungu hakuagiza iwe hivyo ni mawazo ya shetani ndani ya fikra za binadamu yanapelekea Kupenda hela kuliko utu
Kumbuka Yesu alisema kuwa siku ya mwisho watu watakuwa wapenda pesa na kujipenda binafsi...............
 
Smile shosti si vi BF tu! Hata Wanaume wengi sanaa ndoa zao ni kwa hisani ya wake zao! Wanaume pesa yao kwa wake zao haionekani kabisaaa au kwa machale. Wanawake ndo kujipinda kuficha aibu ya kuazirika. Hapo ndo nakuta sasa wanaendelea kuchuna japo wameolewa.

Kuna mwanaume namjua bonge ya handsome anafanya kampuni maarufu tu middle level, Mishahara yenyewe hii yebo kila mtu anaijua ana mkewe shosti wangu! Mwanaume mchaga mwenzangu yule si mtoaji kabisaaaa!

Na mkewe anamlamba kisogo tu kuwa anafanya biashara za China na Bangkok uzushi mtupu! Wanaishi expensive, and i mean very expensive kwa hisani nzito ya Mwarabu na Mheshimiwa flani hivi. Mme hatoi pesa wala haulizwi, kazi kushinda Las Vegas na ku gamble na kuweka heshima casino na owners wa makampuni makubwa makubwa. Mke yeye anagawa premende tu kwa mwarabu na Mheshimiwa mume wa mtu.

Happy 7 years of marriage and 2 kids.

Ukweli ni kuwa kama huna hela usioe wadada wa mujini, hutoweza kuwa afford watakugongea mpaka baaaaaaaass! Ni watu wanaotaka mambo makubwa makubwa fasta fasta na uchumi wao hawa ukalii kizembe!
 
Last edited by a moderator:
mh! hao wenye hela nao tushakua nao,mwisho wa cku hakuna cha maana zaidi ya kula gudtym!ikifika muda u need a family ni utata!
...kiukweli km hana kazi ya kumuingizia mshahara kila mwezo itakuwa ngumu!
 
Smile shosti si vi BF tu! Hata Wanaume wengi sanaa ndoa zao ni kwa hisani ya wake zao! Wanaume pesa yao kwa wake zao haionekani kabisaaa au kwa machale. Wanawake ndo kujipinda kuficha aibu ya kuazirika. Hapo ndo nakuta sasa wanaendelea kuchuna japo wameolewa.

Kuna mwanaume namjua bonge ya handsome anafanya kampuni maarufu tu middle level, Mishahara yenyewe hii yebo kila mtu anaijua ana mkewe shosti wangu! Mwanaume mchaga mwenzangu yule si mtoaji kabisaaaa!

Na mkewe anamlamba kisogo tu kuwa anafanya biashara za China na Bangkok uzushi mtupu! Wanaishi expensive, and i mean very expensive kwa hisani nzito ya Mwarabu na Mheshimiwa flani hivi. Mme hatoi pesa wala haulizwi, kazi kushinda Las Vegas na ku gamble na kuweka heshima casino na owners wa makampuni makubwa makubwa. Mke yeye anagawa premende tu kwa mwarabu na Mheshimiwa mume wa mtu.

Happy 7 years of marriage and 2 kids.

Ukweli ni kuwa kama huna hela usioe wadada wa mujini, hutoweza kuwa afford watakugongea mpaka baaaaaaaass! Ni watu wanaotaka mambo makubwa makubwa fasta fasta na uchumi wao hawa ukalii kizembe!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom