WoS habari ya siku dear....
My mtazamo... ni kua kweli tusidanganyane hayo mambo ni muhimu (speaking from experience) katika mapenzi kati ya wawili... siku za mwanzo ni kawaida for a couple who is in love to think nothing else matters zaidi ya mapenzi yao... which is always wrong to assume so, for in the long run yale ambayo mme ignore hua yana strain the so called love you have...
Umri
Imagine hao watu wa magharibi na kuendelea kwao koote na kuhalalisha hadi gayism bado hata pande zao pia suala zima la umri hasa kama imevuka mno hua inaleta minong'ono mingi na hata ya wazi kama ulivoonesha hapo... mimi naamini dhana nzima ya mwanamke kua mdogo kwa mwanaume inatokana na the fact kua akili ya mwanamke hupevuka haraka zaidi kuliko ya mwanamke... Ukikuta binti wa miaka 18 vs kijana wa 18, waweza kuta binti yuko way over in ufikiri kuliko huyo kijana... Na hata kwa kuzingatia mambo kibao mengine... kama maumbile and the like..
Pesa
IMO in most cases... kweli kabisa kwa mwanaume alokupenda ile kwa dhati.... hua hana amani kabisa na kama una pesa ndefu kuliko yeye... for kawaida ni kwamba mwanaume akipenda mwanamke anataka awe responsible in any way from ku provide, kua more powerful, pesa zaidi (naweza sound old fashioned... but kuna mambo hayabadiliki bana- labda kwa kulazimishwa!); Ndo maana waweza kuta mara nyingi a guy kampenda mwanamke but sababu ana pesa sana anaamini kabisa a-sacrifice... Matatizo ya kuoa mwanamke mwenye pesa kuliko the guy:
- Marafiki/ndugu/jamii na jamaa hujenga dharau juu ya the guy.
- Familia zenu zikikutana wakati wa shida na furaha hushindwa hata mingle for wana lugha tofauti (yaani topics-issues of interest)
- Kila mwanamke akikosa hata kama bahati mbaya the guy feels anadharauliwa...
- Inamvua the guy self esteem yoote... labda kama naturaly yeye ni yule ambae alimfuata mwanamke kwa ajili ya hio pesa....
Note that: madhara yake hata kama wapendana kiasi gani... in the long run inaleta tensions, na mapenzi kupauka (thou kuna exceptions)
Mapenzi
Hapa WoS.... Naweza write pages... Jamani it is a wonderful feeling to fall in love..... Niseme nini?? Hilo tu ndio inanifanya nimuelewe huyo bibi...