Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Uzi wako ni sahihi mkuu, hao ambao wanajifanya wako bize na mambo mazito ndio wanaoaibisha ktk jamii, hata hivy nna iman hao wat ni duni kiuchum na kifkra.
Naenda kwenye mada (Kuna msemo usemao, ''PATA PESA TUJUE TABIA YAKO''
 
Haya mawazo ndio yanayofanya hata wale wanaopendana kweli bila kujali umri wala wallet wakose amani na wapenzi wao!!Ukweli ni kwamba wapo wanaokubali kwa ushawishi na wengine kabla hata hawajaambiwa chochote walishavutiwa.

Kumbukeni tu kwamba kila kitu hapa duniani kina pande mbili...na ukiona mmoja ujue na wapili uko sehemu tu umejificha!!!
 
Haya mawazo ndio yanayofanya hata wale wanaopendana kweli bila kujali umri wala wallet wakose amani na wapenzi wao!!Ukweli ni kwamba wapo wanaokubali kwa ushawishi na wengine kabla hata hawajaambiwa chochote walishavutiwa.

Kumbukeni tu kwamba kila kitu hapa duniani kina pande mbili...na ukiona mmoja ujue na wapili uko sehemu tu umejificha!!!
umeona lizy eeh mimi kuna kibabu yaani nikiona hizo mvi zake nachanganyikiwa ila ndo ivo naogopa maneno watasema nafata dola
 
Duuh!
Sipati picha hizo katuni zingekuwa watu wa ukweli.
 
Money makes the world go round. money move things yaani unaweza ukawa unakijua kijiji fulani - ukirudi baada ya miaka kama 5 kijiji hakipo ukiuliza. Aaah kuna jamaa kanunua hili eneo na wanakijiji wote wamehamishwa. Watu wenye hela - half the time, what they want they take (hata penzi).

Wanasema money cannot buy you happiness but it sure can buy 80% of things that will make you happy. Hard truth!
 
kwa mtazamo wangu na utafiti wangu,wanaume wengi wanasema wanawake wengi wanapenda mapenzi ya pesa,je mnaweza kunisaidia kujibu,kwanini wanasema ivyo?
 
Kwasababu ni wabahili na hawapendi kuwapendezesha wake zao.
 
Inawezekana wengi wa wanaume wakipewa mapenzi ya bure hawajioni wanaume, wameumbwa kuprovide.

Women, let men provide you mkate, kitanda, dawa, urembo to name a few, ili wajivunie udume.
 
Imeingia kasumba ya kudhani hakuna ukweli katika mapenzi so mwanamke anataka kupata ela kwa mwanaume na mwanaume anataka kuchakachua asepe, tatizo linakuja mizinga inakuwa mikubwa sana kabla hata ya kuchakachua, maana utasikia simu yangu imeharibika hii ya mama so hatutaweza kuwasiliana, Or salon, or Nitumie vocha, or PLs call me!!!!... Ni mtazamo wangu...
 
kwa sababu wasichana wa siku hizi bila pesa au gari kuitwa hani ni pale utakapokuwa kama galoni au figa la tatu.
 
kwa mtazamo wangu na utafiti wangu,wanaume wengi wanasema wanawake wengi wanapenda mapenzi ya pesa,je mnaweza kunisaidia kujibu,kwanini wanasema ivyo?
Aisifue mvua imemmnyea, kwa hiyo wanasema hivyo kwa kuwa yameshawakuta!!
 
mie hao huwa wananikosa maana sina muda wa kutatua matatizo ya binti wakati yupo kwa baba na mama labda yale ninayoona ya lazima na wakati muafaka. sisi wanaume ndo chanzo kwani si uachane nae kama anakuuzia hiyo mangada yake? tatizo mnapenda vitoto vya shule na vyuo hao wote dependants mtaumia oooho!
 
kwa mtazamo wangu na utafiti wangu,wanaume wengi wanasema wanawake wengi wanapenda mapenzi ya pesa,je mnaweza kunisaidia kujibu,kwanini wanasema ivyo?

we kama binti unapenda mapenzi ya aina gani? na kwa nini?
 
1.wanaume wengi ni wabaili
2.wanawake wa sasa wanajua haki zao awataki mwanaume beba tufike so kama wewe umeoa
ukahisi kazi yako kuzaa na kupeleka kwa babu ama bibi imekula kwako sikuhizi hata wachaga
awataki tena kupelekwa kuzaa na babu zao...
3.wanawake wengi wameeamua kwend ashule kujua waanachotakiwa kupew andio maana
wanaume wengi waoga kuoa wanawake waliosoma
 
...wewe si mwanamke?sema ukweli kabisa wa moyo wako,wewe hupendi?afu ntarudi
 
Back
Top Bottom