Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 811
Mkuu Voice of Reason, vionjo vya mapenz ni hisia za penzi.. Onyesha kweli umefika kwa mwenzio! Mapenzi yapesa huua hizi hisia!Ni vionjo gani hivyo?
Mkuu Voice of Reason, vionjo vya mapenz ni hisia za penzi.. Onyesha kweli umefika kwa mwenzio! Mapenzi yapesa huua hizi hisia!Ni vionjo gani hivyo?
Duh ni vigumu kukataa....Mkuu Voice of Reason, vionjo vya mapenz ni hisia za penzi.. Onyesha kweli umefika kwa mwenzio! Mapenzi yapesa huua hizi hisia!
Wapenda pesa hawana hisia za mapenzi, hufanya nyeti zao km mtaji!Duh ni vigumu kukataa.... lakini umeshaongea na mtu anayependa kwa kuvutiwa na pesa akasema hana hizo hisia za penzi na kuonyesha kweli amefika kwa mwenzake na je furaha zao zikipimwa huyo mpenda pesa enjoyment yake ni ndogo kuliko huyu mwingine?
Hii thread nzuri sana,
pesa siyo kila kitu,
ila kwa maisha ya sasa/kipindi hiki/karne hii, pesa hurahisisha kila kitu,
japo haiwezeshi kila kitu/jambo.
Kivitendi kwa maisha ya sasa ni vigumu sana upendo, mapenzi na pesa kuvitenganisha.
Kwa hiyo basi anayependa pesa kwanza asilaumiwe bali aelimishwe.
Leo ndio natoa mchango ktk hii thread kwa mara ya mwisho! MAPENZI YA PESA SIO MAPENZI!Dah! Hili liuseful thread limenipita. Mapenzi ya pesa huwa si mapenzi ya dhati kwa sababu unapenda alichonacho na sio yeye kama yeye ila hii isiwafanye wenye pesa wahisi hawapendwi..
Kama watu wanapenda sababu ya Uzuri wa mtu, au Personality ya mtu, Kwanini mwingine asipende sababu ya pesa za mtu
Utasikia watu wanasema "thats not true love anampendea pesa zake".., au "Siku hizi hakuna mapenzi ni pesa tu"...., yeah, kama anampendea pesa zake whats wrong with that, je kuna utofauti wa wewe unayempendea sura yake...?
My Take on This ni kwamba kila mtu anazo priority zake na kama wapo wanaopenda zaidi pesa its okay na community isiwaangalie kama "Gold Diggers" kama wanampa mtu mwenye pesa furaha.., I think its a fair trade....
Money, Looks, Personality, Ucheshi, Powerfullness, they are all features and if they attract someone who are we to say that is true love or not....?
kwahiyo gagu kama una pesa nisikupende?Leo ndio natoa mchango ktk hii thread kwa mara ya mwisho! MAPENZI YA PESA SIO MAPENZI!
Lakini pesa tamu ni zile ambazo tunazitafuta wote.., au unasemaje..??, kwahiyo mi naona itakuwa bora kupata mtu hardworking ambae mnaweza kutafuta nae pesa au unasemaje; sababu unaweza ukapata mtu akakusaidia kuongeza pesa ambazo unazo wewePesa senyewe sio lazima ziwe kama za Chenge, kila mazingira na kiwango chale cha pesa,
mfano kwangu mie mwanaume bila ya kuwa na ...... bado bado kabisa. Na kila msichana ana kiwango chake cha chini.
Mie naona swala hapa ni furaha ya kila mtu inatokana na nini haswa, kama ni pesa, ok, mie mwenzenu ni kuwa mume wa ukweli, ninayemtegemea kwa mambo makubwa na madogo, mie anitegemee ka upande mwiningine, sasa tukitafuta pesa wote, mambo mengine ya kifamilia atafanya au kusimamia nani?Lakini pesa tamu ni zile ambazo tunazitafuta wote.., au unasemaje..??, kwahiyo mi naona itakuwa bora kupata mtu hardworking ambae mnaweza kutafuta nae pesa au unasemaje; sababu unaweza ukapata mtu akakusaidia kuongeza pesa ambazo unazo wewe
ha haaaa hii ni very interesting niliiona kwenye tv but sikuifuatilia.......
mimi huwa nashangaaa kitu kimoja kuhusu binadamu
mfano we ni mwanaume ukiwa na mwanamke watasema ni pesa ndio kafuata
but watu hao hao wataawambia dada zao waolewe na watu wenye pesa hivi
wasiolewe na malofa.....its funny
Waoooooo..
Well,
Anacho kila akitakacho (mali, fedha, familia)
Sasa amezeeka hizo fedha na mali hazina
Msaada sana kwake..
Anataka upendo na mtu wa kuwa naye
Karibu ..... maana anauwezo wa kununua
Upendo... lakini ameona pesa hazi nunui
Kila kitu......