Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

At least umelisema hili ndugu yangu na ukichunguza wanaoamini kuwa wanapendwa kwa ajili ya pesa zao ni wanaume!! Mwanaume mwenye pesa akipendwa awezaamini kuwa anapendwa kwa ajili ya pesa zake lakini je mwanamke mwenye pesa akimpenda aso nazo?? naye atasema apendwa kwa pesa yake??.....................
Eishh!
Sasa tunapozungumzia pesa kwani tulimaanisha hiyo pesa awe nayo mwanaume? Hata mwanamke akiwa na pesa mwanaume asiwe nazo.....PENZI LINAKUWA TAMU SANA!...........Achaneni na kitu PESA!
 
Eishh!
Sasa tunapozungumzia pesa kwani tulimaanisha hiyo pesa awe nayo mwanaume? Hata mwanamke akiwa na pesa mwanaume asiwe nazo.....PENZI LINAKUWA TAMU SANA!...........Achaneni na kitu PESA!

Asprin mie nakubaliana na wewe lakini nafikiri inanoga zaidi kama pesa anayo mwanamme.

Unajua mwanamme ndio anatakiwa kuwa kichwa cha familia, sasa pesa akiwa nayo inamsaidia kuifanya kazi yake ya kuwa kichwa cha familia kwa ufanisi zaidi
 
Asprin mie nakubaliana na wewe lakini nafikiri inanoga zaidi kama pesa anayo mwanamme.

Unajua mwanamme ndio anatakiwa kuwa kichwa cha familia, sasa pesa akiwa nayo inamsaidia kuifanya kazi yake ya kuwa kichwa cha familia kwa ufanisi zaidi
Umenena vema. Kweli wanaume akiwa na PESA inavutia zaidi na kumjengea heshima kubwa kwa mpenzi wake na jamii inayomzunguka........ ila wote mkiwa na PESA inanoga zaidi bana.
 
For most female love is all about money, power and social status while for most men is only looks
 
Mapenzi yanaweza kusababishwa na sababu mbalimbali lakini on top of that, the bottom line ni kuwa lazima pia as mwanaume uwe na fedha, hata kama si nyingi lakini at least uwe na uwezo wa kum-take care partner wako. Likikosekana hili basi hata kama mwanamke atasema atakupenda na ufukara wako ni just a matter of time iko siku atafikia ukomo na mapenzi kuanza kuchuja hadi kuisha kabisa. So hela ni muhimu
Vipi wale ambao mwanamke ndio anazo pesa nyingi alafu mwanaume ndio fukara, nimeona kuna couples ambao mwanamke ndio mwenye pesa na huenda mwanaume anampenda mwanamke sababu ya pesa au hii haiwezekani
 
Golddiggers will not however, and that's what makes their behavior morally unacceptable - they demote a whole person to the level of a living wallet. Same can be said about "loving" someone purely for his/her beauty (in which case A would be reducing B to the level of a mere object of sensual pleasure), na sifa zote kama hizi. Inayomfanya mtu awe "a person" sio sura yake wala pesa yake, bali ni personality yake, sivyo?
Okay lakini ugumu ni kwamba how can we know for sure kwamba huyu ni Golddigger, alafu issue ni kwamba personality can change as well, you can change your personality therefore I can argue kwamba someone's personality haina tofauti na someone looks
 
Pesa ikipungua basi na penzi nalo hakuna tena au akitokea mwenye pochi nene unamuacha jamaa kwenye mataa kama humjui vile! kisa nini kuna jamaa mwingine ana pesa nyingi zaidi na anahonga pesa ya uhakika zaidi! Hakuna penzi hapa ndio maana wengi wa namna hii wanaendelea kung'aa macho mtaani.
Naweza kusema vivyo hivyo kwa kumpendea mtu uzuri, personality au tabia
 
Ni wewe kweli VOR au umemwazima mtu ID yako, siamini
Hapana Gaga sio kwamba mimi nafagilia mapenzi ya pesa hapana, lakini sioni kama ni vema au tunawatendea haki wale wanaoendekeza pesa kwa kuwasema kwamba hawafai.., kwani cha maana ni furaha na kama wanaendesha maisha kwa furaha sababu ya pesa basi tuwatakie kheri kuliko kuona kwamba hawafai
 
Frankly pesa si kigezo sana kwenye suala zima la kumpata soul mate lakini hatutaepuka ukweli kua mapenzi bila hela yanapauka...
 
Okay lakini ugumu ni kwamba how can we know for sure kwamba huyu ni Golddigger [...]
Huwezi kamwe kujua kwa hakika ila tu golddigger akiri kwamba yeye ndiye golddigger. Though kuna dalili yanayoweza kukusababisha uwe na tuhuma. Methalan, kama mpenzi wangu asingejali hata kidogo kuwa mbali nami au kutokuniona kwa muda mrefu sana as long as namnunulia zawadi ghali, ningeanza kujiuliza kama anapenda pesa yangu kiasi zaidi kuliko ananipenda mimi.
 
[...] issue ni kwamba personality can change as well, you can change your personality therefore I can argue kwamba someone's personality haina tofauti na someone looks
Personality na looks ni sifa zinazofanana, kwa maana ya kwamba zinaweza kubadilika kadri wakati inavyopita, lakini bado zina tofauti kubwa sana. Tofauti ile ile ndiyo maana mtu anapokuta maiti, atasema "there is a corpse lying here" ("corpse" toka neno la kilatini "corpus" linalomaanisha "mwili" tu) na sio "there is a person lying here". Hata kama maiti yana sura nzuri kupita kiasi na umbo la mwili perfect kama mwanamtindo, ni "body" tu, hayawezi kupendwa kwa mtu yeyote maana maiti yakiulizwa swali hayatajibu, yakiambiwa kisa cha kuchekesha hayatacheka - it isn't a person anymore. Hivyo, unaweza kupenda uzuri wake au sifa materialistic zingine yalizo nazo, ila huwezi kuyapenda yeye yenyewe. Hii ndiyo tofauti between loving a person and only loving the material a person possesses, kwa maoni yangu.
 
Nimekupata lakini kumbuka hata huyo mwanamke mwenye mkwanja sidhani kama nae ataendachukua kapuku broke-as.s man....labda kwaajili ya kujifurahisha tu nafsi yake lakini si kwa upendo wa dhati

No job = no income, right? Basi, househusbands are "broke-as.s men".
 
That,s not a true love, What if siku moja hizo pesa zikaisha?mapenzi yataendela kuwepo mimi sipendi mapenzi ya sababu........kwa sababu........siku sababu zikiisha na mapenzi huisha.
pesa ikiisha unahamisha penzi
 
Hapana Gaga sio kwamba mimi nafagilia mapenzi ya pesa hapana, lakini sioni kama ni vema au tunawatendea haki wale wanaoendekeza pesa kwa kuwasema kwamba hawafai.., kwani cha maana ni furaha na kama wanaendesha maisha kwa furaha sababu ya pesa basi tuwatakie kheri kuliko kuona kwamba hawafai
Now ur talking
 
pesa ikiisha unahamisha penzi
Mapenzi ya pesa hovyo sana, kuonyeshana hisia za kweli za kimapenzi kwa wapenzi hua ni tatizo! Penzi hukosa vionjo vyake asilia, huongozwa kwa tamaa ya pesa!
 
Back
Top Bottom