Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

kwa mtazamo wangu na utafiti wangu,wanaume wengi wanasema wanawake wengi wanapenda mapenzi ya pesa,je mnaweza kunisaidia kujibu,kwanini wanasema ivyo?


sehemu kubwa ya akina dada wa karne hii they are material girls.................................and only huge sums of money may provoke them to smile................and when they do smile you know you will have a way with them.........
 
...wewe si mwanamke?sema ukweli kabisa wa moyo wako,wewe hupendi?afu ntarudi
hello,mm ni mwanamke sawa,lakini npo tofauti na wengine na ndio maana nkauliza,mfano ww mpz wako akikuomba fedha je utachukulia kuwa hanapenda pesa?na kwa mtazamo wangu wengi mnasema ivyo mpz wangu bwana anapenda kweli kuniomba fedha,asipokuomba unabaki na maswali je,pesa hanatoa wapi?kwasababu may b huwa hanakuleteaga zawad mara kwa mara.naomba urudi.
 
napenda mapenzi ya kusaidiana,kwasababu itanipunguzia mm kuingia katika vshawishi ya kutoka nje ya mahusiano yangu.
 
mie hao huwa wananikosa maana sina muda wa kutatua matatizo ya binti wakati yupo kwa baba na mama labda yale ninayoona ya lazima na wakati muafaka. sisi wanaume ndo chanzo kwani si uachane nae kama anakuuzia hiyo mangada yake? tatizo mnapenda vitoto vya shule na vyuo hao wote dependants mtaumia oooho!
hello,so ww ni mtu wa aina gani?na matatizo sio pesa tu,na kama kweli n mpz wako so ameishiwa na ata pesa ya kununulia ped haumpi?na kwao hali duni?
 
hello,so ww ni mtu wa aina gani?na matatizo sio pesa tu,na kama kweli n mpz wako so ameishiwa na ata pesa ya kununulia ped haumpi?na kwao hali duni?
Hapa ndo tatizo linapoanzia, kama freq. ikizidi ( i.e. kila mkikutana unataka ya Pedi ?? etc ) kwa nini asianze ku sense tatizo ... Hayo ni mawazo yangu
 
Topic nzuri sana hii. Lakini mmesahau kwamba siku hizi wanaume nao wanataka wanawake wenye pesa.. Hivo basi, mi naona ngoma droo tu. No Money, No Love.
 
kwa mtazamo wangu na utafiti wangu,wanaume wengi wanasema wanawake wengi wanapenda mapenzi ya pesa,je mnaweza kunisaidia kujibu,kwanini wanasema ivyo?

Kwa sababu wanawake wengi bado wanamtazamo tuliofundishwa na mababu zetu ya kuwa mwanaume ni kichwa na mwanamke yuko chini ya mwanaume..basi wanawake wengine wanajisahau na kutegemea wanaume kwa kila kitu ingawa wengi wao wana uwezo mzuri na kazi nzuri..

Kwa wanaume..kutokana na ugumu wa maisha na maendeleo ya kisayansi ..taratibu wanaachana na dhamira ya kuwa mwanaume ni kichwa..wanakubali mwanamke ni sawa na mwanaume hasa akiwa na kazi nzuri...Basi ikitokea wakiona mwanamke anajishusha chini na kutegemea mwanaume..basi mwanamke huyo atahesabika anapenda hela...hata kama sivyo..
 
Wanawake wa siku hizi matatizo tu mi sina mpango nao ndo maana nimeamua kusomea upadri!
 
Ni woga tu. Tunaogopa sana ukweli ndio maana tunageneralize kuwa wapenda pesa. Ukiishiwa wangu lazima umwambie ili ajue siku zote si jumapili ikiwezekana asepe mapema. Mbona dada zetu wanajua maisha ya kaka zao waliotoka tumbo moja lakini hawana huruma na kaka za wenzao.
 
Kw hela gani walizonazo? Wana matatizo mengi hawajui mapenzi naturaly.so reason ya kufail kwao kwenye mapenzi wanasingizia hela
 
kwa mtazamo wangu na utafiti wangu,wanaume wengi wanasema wanawake wengi wanapenda mapenzi ya pesa,je mnaweza kunisaidia kujibu,kwanini wanasema ivyo?

sorry twenty2,hapa tunazungumza kwa mustadha wa mapenzi ya namna gani?
ndoa au uhawara?
ntarudi.........
 
Back
Top Bottom