Kwa kweli topic hii yahitaji kufikiria kwa kina haswa!!!!!
I did experience what I call real love/true love once, nikirudisha hisia nyuma nini kilinifanya nipende hivyo, naweza kusema nilimuadmire (what did I admire?) The whole of him, jokes, intelligence, way he talks, way he is. What about looks? he was just plain man, a little chubby I would say he was not so sexy or handsome, what about Money, he had enough but money was never an issue, in fact he never gave me a dime (zawadi tu)
Sasa baada ya kureflect, nafikiri it is more of a personality ya mtu ndicho kinachomvutia mwingine kuliko looks or wealthy kwa maana ya true love, kwa bahati mbaya i believe that True Love only happens once in ones lifetime, for those unlucky maybe never;
swali litakuja....what happens to me now?
Ninakuwa na mpenzi (napenda) ili kuna sifa naangalia now, kwanza tabia, age, shule, looks, financial stability (money) geographical area etc! And to be honest; bado nampenda my TL pamoja ya kuwa hatuna uhusiano wa kingono for over 7 yrs now!
Hivyo kwa conclusion yangu, mapenzi ya pesa hayana ubaya kama yalivyo mapenzi ya sex! lakini mapenzi ya kweli TL yanaenda ndani zaidi ya sex, pesa, umbo no9/8/6/1, sura etc.