Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kaazi kweli kweli....unless hapa tunaongelea pesa ya kutosha kuendeleza maisha na sio mamilioni ya kutosha kupelekana vacation Zanzibar basi naweza kusema bibi yangu na hakuwahi kupata raha hapa duniani!!‘
Hapo umeongea lakini priority zipo tofauti..., sababu bibi yako hakuweka pesa mbele does not mean bibi yake Bakari aliyeweka pesa mbele alikuwa any more right or wrong..., na huenda hawa Bibi wote wawili walifurahia maisha..., By the Way Money dont hurt Nobody huenda smile ya bibi ingeongezeka maradufu kuwa na uwezo wa kumtreat mjukuu wake with anything... 🙂
 
Raha ni mtazamo binafsi...ingawa inaweza kuendana na watu wengine. lakini ni purely personal.

nimetoa mfano hapo kwamba

- mnaweza kukaa chini na kupiga stori
-ukimuona mwenzio unasikia raha.
-kutembea pamoja, kama vile kwenda beach, n.k
-kulala au kula pamoja.
Je huwezi kufanya haya na mtu mwenye pesa? Tena I can argue with Mchina na Surgery siku hizi unaweza kumbadilisha mtu afanane kwa maumbile na uzuri afanane hata na Malkia
 
Mi nadhani tunachanganya upendo wa kweli na pesa kitu ambacho si sahihi
tutazame familia
1.Wanasikilizana,wanaheshimiana kila jambo wanalolifanya lazima liwe kitu kimoja,hakuna anayefanya maamuzi banafsi na mengine mengi lakini familia hii ina kipato cha kubangaiza.........na mapenzi/upendo wao unaonekana wazi.

2.familia ya pili pesa ya kutosha
............dharau,kutosikilizana,vurugu zote,siku baba/mama akijisikia kutulia nyumbani ndo utasikia twende tukajipendelee kama Mbu alivotueleza kule

sasa hapa tutasema upendo unachochea mapenzi? hapo kuna upendo/mapenzi ya kweli? au ni mmoja anajionea bora kapata hata kibahati chakukumbukwa wakati huo akijipumzikie lakini moyoni ni fully majonzi.

Its not necessary kwamba sababu ya pesa ndio mtu anakuwa na tabia mbovu na vurugu..(tabia mbaya ya mtu ni tabia mbaya cash or no cash.., pesa inachofanya maybe ni ku-magnify zile tabia).., Okay them mfano mimi nimepata msichana wa hali ya juu sana ambaye siamini kama ningeweza kumpata..., maybe ni sababu ya pesa zangu nyingi, sijui.., Je unadhani tamletea dharau ili aniache??, mimi nampendea sura yake yeye huenda yupo attracted na pesa zangu... But the main thing is we are both happy... Je ni sahihi kwa watu kuwa Judgmental kwamba mapenzi yetu sio ya kweli?
 
unajua VOR, you might be right with your observations,
lakini hebu turudi tujiulize tena, labda upendo ni nini na mapenzi ni nini,
yawezekana jamii inatoa definition tofauti na jinsi wengine wanavyochukulia,

Ukijaribu kuangalia kwa ukaribu zaidi unakuta tunalitizama zaidi neno upendo/mapenzi,
kwa kuangalia undani wa mtu, kwamba a true love comes from your heart ................
na sio possessions...........
Anyway, utasikia wengine wanasema, simpendi yule bwana, nimependa pesa zake tu kwani ananitimizia kila kitu,
sasa nadhani ni vema tukawa na one stand hapa, mapenzi ni nini, na upendo ni nini?

NYUKI hapigwi BUSU........................
 
ni kweli..

inategemeana na wewe unavyoitafsiri RAHA.

Kuna mwingine unaweza ukasema umpeleke Ngorongoro au Ngurdoto ukifikiri unampa raha,kumbe hata hajisikii. lakini ukimpeleka Kariakoo, basi atasimulia mtaa mzima..
Pesa inafanya kila kitu hilo halina ubishi, lakini linapokuja suala la RAHA, ni mtu binafsi ndo anaweza kujua. Huwezi kulinganisha anayelala KEMPSINK na yule GIRAFFE..kuna tofauti.

Ninachotaka kusema ni kuwa Pesa inaweza isikupe FURAHA .... ila inaweza kukupeleka kwenye FURAHA

Mkuu ni kweli naweza nikafurahia zaidi nikipewa zawadi ya baiskeli na ninayempenda kuliko gari na nisiyempenda..., lakini hapa tunaongelea yule aliyevutiwa na mtu mwenye pesa (which means kwake pesa ni kigezo kikubwa...) kwa mfano wangu inaonyesha kuwa yule anayenipenda labda angenipa gari ningefurahia zaidi...,
 
Thanks for this! tuangalie upande wa pili hiyo sura nzuri ikiondoka na pesa kuisha je furaha yenu bado itaendelea kuwepo au yale yaliyokuwa yanawavutia yakiisha na furaha huisha?

na mara nyingi upendo wa kweli huwa hausemwi kwa maneno ni matendo.


Its not necessary kwamba sababu ya pesa ndio mtu anakuwa na tabia mbovu na vurugu..(tabia mbaya ya mtu ni tabia mbaya cash or no cash.., pesa inachofanya maybe ni ku-magnify zile tabia).., Okay them mfano mimi nimepata msichana wa hali ya juu sana ambaye siamini kama ningeweza kumpata..., maybe ni sababu ya pesa zangu nyingi, sijui.., Je unadhani tamletea dharau ili aniache??, mimi nampendea sura yake yeye huenda yupo attracted na pesa zangu... But the main thing is we are both happy... Je ni sahihi kwa watu kuwa Judgmental kwamba mapenzi yetu sio ya kweli?
 
Hivi VOR, kunaweza kukawa na mapenzi matamu baina ya watu ambao unakuta mwanaume,
ana pesa nzuri tu ya kutakata lakini akawa ni ******* (jongoo wake hapandi mtungi)?

Mhhh Kwahiyo wewe unavyosema hakuna mapenzi ya kweli bila Jongoo kupanda mtungi??, vipi kama jongoo alikuwa anao uwezo je uwezo ukiisha na mapenzi yanakwisha??? Na kama ndio je ni ya kweli hayo mapenzi??
 
Sio zote lakini nyingi nilizoziona zimejaa hayo niliyosema,na sio zote ambazo zina maisha ya kubangaiza zina furaha lakini ukiangalia kwa undani ni kukosekana kwa mapenzi ya kweli ukimpenda mtu kwa dhati hutataka kumuona anasononeka au kupata shida at any cost.
Mwingine bila CASH atasononeka na kupata shida mpaka basi....., kwahiyo ili huyu kipenzi changu asisononeke si inabidi nipate CASH au?
 
Ndo hapa tunapokosea mtu kapenda pesa zako ataendelea kuwepo na kukuonyesha upendo sababu tu unajaza mapengo ya ndoto alizokuwa anaziota kwenye maisha yake ...........na yeye kwa mtazamo wake anaweza fikiri anakupenda sababu tu anapokea material things kama pesa ,gari nzuri,nyumba nzuri nk.

lakini ukweli ni huu akitokea yule mwenyewe au vitu vikageuka utaziona rangi zake au kwa kukuheshimu sana atakuvumilia kwa kukumbuka fadhila ulizomtendea.

Okay ndio maana nikasema materials things zote they all the same (sura, uzuri, pesa, personality n.k.) sababu from your argument hata akitokea mwenye sura nzuri zaidi (au mwenye chochote ulichopenda cha zaidi) basi atakuacha na kumfata huyo...., Ukiangalia sana maisha mazuri kwenye ndoa ni Uvumilivu na Busara ndio unaoendesha na kuwaweka watu pamoja.
 
thanks again,ngoja niendelee kujifunza kwenu sasa.

Okay ndio maana nikasema materials things zote they all the same (sura, uzuri, pesa, personality n.k.) sababu from your argument hata akitokea mwenye sura nzuri zaidi (au mwenye chochote ulichopenda cha zaidi) basi atakuacha na kumfata huyo...., Ukiangalia sana maisha mazuri kwenye ndoa ni Uvumilivu na Busara ndio unaoendesha na kuwaweka watu pamoja.
 
Mkuu VoR kusema ukweli through this thread, nimejifunza mengi sana. Ninafurahi sana kuiona MMu ya zamani ikirejea tena (I hope the feeling is the same na Kamanda wangu MTM)..... my take ni kuwa definition ya TRUE LOVE inavary...........to me true love ni ile hali ya wewe kuwa na hisia juu ya mtu umpendaye, hisia ambayo haiko direct ...yaani huwezipin point kile kitu kinachokufanya uwe na hisia ya aina hiyo kwa mtu huyo unayempenda! yaani ...its unexplanable huwezisema unampenda flani kwa sababu ya sura....sura pekee haikufanyi umpende in what we define ......true love! yaani wewe unampenda tu kwa vile anavyofanya ujifeel, ukimkumbuka tu unasikia raha.......yaani its a person you feel like unataka tu muda wote uwe naye karibu. Sasa unapoanza kudefine true love kwa kupoint vitu vinavyokufanya umpende kidogo inakuwa na utata kwani what if unachokipenda kitapotea?? So the same applies kwenye mapenzi ya pesa..................ingawa ni ngumu kutofautisha penzi la kweli na penzi la pesa kwa sababu usually it takes time kwa mtu kufilisika (au kukubali kufilisika) otherwise ingekuwa rahisi kulijua lipi la pesa na lipi la kweli. Ni mawazo yangu tu.
 
huu ubinafsi sasa,Kwanini unaona ni haki yako pesa ya mwanaume itengeneza penzi lako na siyo mwanaume kutengeza penzi kupitia pesa yako.
Kwanini huu uwe Ubinafsi sababu anapenda mwanaume mwenye Cash na isiwe Ubinafsi sababu anapenda mwanaume mwenye sura nzuri au Personality nzuri kumzidi?
 
Hii thread nzuri sana,

pesa siyo kila kitu,
ila kwa maisha ya sasa/kipindi hiki/karne hii, pesa hurahisisha kila kitu,
japo haiwezeshi kila kitu/jambo.

Kivitendi kwa maisha ya sasa ni vigumu sana upendo, mapenzi na pesa kuvitenganisha.

Kwa hiyo basi anayependa pesa kwanza asilaumiwe bali aelimishwe.
 
Kila la heri mi nachohitaji ni kutoa na kupokea penzi la kweli na si pesa ya mwanaume awaye yoyote maana hata kidogo nilichonacho tutakula pamoja kwa upendo.
Penzi la kweli na la Pesa linafananaje..???, Tuseme mimi nakupenda kwa uzuri na Busara zako, wewe unanipenda mimi kwa ujuzi wangu wa kutafuta na kuwa na mapesa ya kumwaga..., wote tunaenjoy na tunataka tuwe wote kwa muda na wakati wote... (furaha yetu inatofauti gani na wale so called mapenzi ya kweli?)
 
Back
Top Bottom