St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,994
- 5,231
Nguvu wenzio wanaongeza we unapunguza? lol
Gagaaa ujue mwenzio niko hoi mama, nikianza kukupenda usimlaumu mtu na silaha nimeshazipata hapa...........
Nguvu wenzio wanaongeza we unapunguza? lol
ALA !! Umfundishe tena ?? Mi napenda walimu si wanafunzi...........
Heheheh...mwalimu hawezi kua na waajiri wawiwili!!!!:tongue:
....Mh! Mbona kuna mtu humu aliwahi kudai shemeji yake alitelekeza mume na mtoto kwa sababu ya kibabu cha kizungu kilimhonga mihela na Range Rover??? Bila pesa mazee tusidanganyane mapenzi yatayumba tu....Usicheze na njaa!!Naomba kuuliza wanajamvi,katika mapenzi ili yadumu na kutopungua thamani mwanaume anatakiwa awe na silaha ipi?Naomba kwa kuanzia niseme tu ninavyoona mimi, naona ni mapenzi ya kweli na kujali hisia za mpenzi wako,nina imani kuna watakaofikiria pesa lakini kwangu mimi pesa ninaona kama hazina faida yoyote katika mapenzi ya kweli kwani tumeshuhudia mapenzi yanapotawaliwa na pesa basi huwa hayadumu kwa muda mrefu.Wana JF naomba tusaidiane..
Kuna mdada mmoja kani PM ananiambia mle tiGo kama anapenda na hatakuacha.............
Hehehe!Hutakua mwajiri anaefahamika kisheria maana hata mshahara utakua unatoka mfukoni mwako directly...kwahiyo itakua kibinafsi zaidi!Kakudanganya nani..?/ Si asubuhi anafundisha shuleni jioni anakuja kwangu kwenye twisheni na namlipa sasa sitakuwa mwajiri wa pili hapo/??
Gagaaa ujue mwenzio niko hoi mama, nikianza kukupenda usimlaumu mtu na silaha nimeshazipata hapa...........
Hivi kuna mapenzi yasiyo na sababu kweli? Ingekuwa hivyo nadhani tungependa yoyote ajaye..That,s not a true love, What if siku moja hizo pesa zikaisha?mapenzi yataendela kuwepo mimi sipendi mapenzi ya sababu........kwa sababu........siku sababu zikiisha na mapenzi huisha.
Nakubaliana na point yako lakini je kuna kitu ambacho hakiishi?, ukinipendea sura yangu nzuri siku nikipata ajali.., Je utaendelea kunipenda?That,s not a true love, What if siku moja hizo pesa zikaisha?mapenzi yataendela kuwepo mimi sipendi mapenzi ya sababu........kwa sababu........siku sababu zikiisha na mapenzi huisha.
Nakubaliana na point yako lakini je kuna kitu ambacho hakiishi?, ukinipendea sura yangu nzuri siku nikipata ajali.., Je utaendelea kunipenda?
Kwahiyo mapenzi ya kweli ni yapi?, personality ya mtu?, tabia ?......, lazima kuna kitu kinakuvutia kwa mtu na hicho kitu kinaweza kubadilika jambo ambalo haliwezi badilika ni PAST (yaani memories..)Rejea maneno yangu mapenzi ya kweli ni yapi?Moyo ukikupenda hata upate hiyo ajali unayosema sitaacha kukupenda Tumeumbwa tofauti mimi huwa naacha zile hisia zangu za ndani ziseme huwa sipendi hovyo hovyo labda kutamani.
Mkuu ingawa ni vigumu kwa vitu kama ucheshi na ukarimu kubadilika lakini mtu anaweza akakumbwa na janga katika maisha likamfanya abadilike kabisa..., au mfano mtu akipooza na kupoteza sense zote nadhani hizo invisible things zote zitapotea au?? Na ninaweza nikasema kuna pesa ambazo kwa kweli ni vigumu kuisha mfano familia za kifalme..,Mapenzi ya kweli hayajengwi na material things,nidhahili kama kigezo cha kupenda ni pesa,figure siku pesa zikiisha,figure ikipotea kwa kuzaa etc upendo hautakuwepo tena.Minaamini upendo wa kweli na utakaodumu upo kwenye zaidi ya tangible or visible things.Kama mtu ni mcheshi,mkarimu,wise,anajua kubembeleza,mpole,hana hasira,anasamehe vitu hivi vitakuwepo tu siku zote akikonda,akinenepa,akiwa na hela,asipokuwa nazo etc kwa hiyo kama ulipendea hivyo basi nidhahili utaendelea kumpenda.
Nadhani ikija kwenye true love
wanaongelea mtu akupende kamaa ulivyo ..
Na apende vitu ambavyo ni permanent kwako
Kitu kama personality..
Ila sisi binadamu kama binadamu tutafuata
Vitu ambavyo ni vizuri kwetu na vitupendezavyo
....
Naongelea tunapenda external things
Kuliko kumwangalia mtu internally ..
Na true love na dhani ni ku combination ya hivyo viwili....
True very True....., Lakini tukiongelea vitu ambavyo ni permanent kwako, nadhani loyal familiy mtu kama Prince William na Harry Wamezaliwa kwenye pesa na watakufa kwenye pesa.., I can argue that is permanent to them.... Lakini point yangu ni kwamba yule anayempenda mtu kwa sababu ana sura nzuri au ni mcheshi asimcheke yule anayempenda mtu sababu ana wallet kubwa..., sababu zote ni features za attraction ambazo zinawavutia watu tofauti....Nadhani ikija kwenye true love
wanaongelea mtu akupende kamaa ulivyo ..
Na apende vitu ambavyo ni permanent kwako
Kitu kama personality..