Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,303
Angekuwepo ningemuuliza...bahati mbaya nimebaki na kumbukumbu tu za yeye kua mwenye furaha muda wote bila kujua kwanini wakati mumewe hakua na pesa nyingi tofauti na mashemeji zake!!!
I c .....
Angekuwepo ningemuuliza...bahati mbaya nimebaki na kumbukumbu tu za yeye kua mwenye furaha muda wote bila kujua kwanini wakati mumewe hakua na pesa nyingi tofauti na mashemeji zake!!!
Kaka mpendwa hizo raha za watu wasopesa zinaweza kupatikana kwa wale wenye pesa pia lakini kuna raha za wenye pesa, wasopesa hawana (au nakosea?)
Anae fall in love kwa channel ya pesa hana kosa, muhimu awe amekuwa in-love kweli tu na sio kuwa anapenda pesa peke yake bila ya mwenye pesa yule
bora wewe unayeongelea katika mtazamo wa kifamilia.
Nafikiri katika ule mchakato wa kuelekea kuishi pamoja, yaani kipindi cha kutongozana na kupeana mikakati.. hapo je, kama msichana akiamua kuangalia kigezo cha pesa alaumiwe,??
Mapenzi kwa ujumla wake hayaendeshwi na pesa peke yake, ni mchanganyiko wa mambo mengi sana.. Ila wengi tunafikiri pesa ni kivutio cha maisha bora.
Kumbuka pia pesa inaleta kiburi, dharau, majivuno, ubwana, ubinafsi. ( pia hata mtu mwenye sura nzuri anaweza kuwa na tabia hizi)...
Kwahiyo mapenzi ya kweli ni yapi?, personality ya mtu?, tabia ?......, lazima kuna kitu kinakuvutia kwa mtu na hicho kitu kinaweza kubadilika jambo ambalo haliwezi badilika ni PAST (yaani memories..)
I can argue mapenzi ya sura na uzuri yanakuwa mabaya pale ikitokea ajali na sura kuharibika pale unapomuacha mtu sababu sio mzuri tena
Kaka mpendwa hizo raha za watu wasopesa zinaweza kupatikana kwa wale wenye pesa pia lakini kuna raha za wenye pesa, wasopesa hawana (au nakosea?)
Anae fall in love kwa channel ya pesa hana kosa, muhimu awe amekuwa in-love kweli tu na sio kuwa anapenda pesa peke yake bila ya mwenye pesa yule
Hivi VOR, kunaweza kukawa na mapenzi matamu baina ya watu ambao unakuta mwanaume,
ana pesa nzuri tu ya kutakata lakini akawa ni ******* (jongoo wake hapandi mtungi)?
mmmmmh!!! hapa mtajadili mpaka kiama ila ukweli unabaki hata kama majamboz mazuri namna gani bila pesa inachosha... Khaaaaa!!!
Love him as a person... What is That...????, (Personality, tabia, sura au...)Ikitokea haitakua kwasababu ni successful kama alivyoiweka boss ila kwasababu i like/love him as a person.Ngoja nikupe mfano mzuri....!
labda mie malezi yamenijenga kivingine.................. halafu iyo pesa unaongelea ya upande mmoja au hata ya kwako inaweza kuweka penzi na bado ukaendelea kumjali bila kumchoka?.
aaaaaaaaiiiiiiiiiii!!! mie naongelea pesa ya mwanaume.... mie ninazo za kwangu....... nani anataka mwanaume wa kumtegemea..... Khaaa!!
huu ubinafsi sasa,Kwanini unaona ni haki yako pesa ya mwanaume itengeneza penzi lako na siyo mwanaume kutengeza penzi kupitia pesa yako.
he he heeeeeeeeeee!!! sioo ubinafsi ndio ukweliiiii wa mambooooooooooo hata hivyoooo I love me and me only!!!!!!!!!!
Ningejibu ila ntakua naanzisha ligi nyingine so ill pass!Love him as a person... What is That...????, (Personality, tabia, sura au...)
Penzi gani ambalo huishia pazuri...? Mwisho ni Mwisho tu..., iwe umepigwa kibuti sababu ya yeye kupata mtu mtanashati kukuzidi wewe au zile tabia alizodhani mwanzo unazo kumbe hauna.., Kibuti ni Kibuti tu kiwe cha pesa au sio cha pesaUmeshuhudia dame akinyang'anywa kila kitu ndani ya nyumba na yule mwenye pochi kwa kuwa penzi limechujuka? Usipime aibu yake! unaweza kutamani kujiua! maana huna pakuuweka uso wako kwa aibu tele na jinsi ulivyoshuka daraja toka kule juu ulikokuwa kwa kuwa na kila kitu ndani ya nyumba sasa umeachwa mtupu! hata kiti cha kukalia huna! Penzi la pesa si penzi! mara nyingi huishia pabaya
Kila la heri mi nachohitaji ni kutoa na kupokea penzi la kweli na si pesa ya mwanaume awaye yoyote maana hata kidogo nilichonacho tutakula pamoja kwa upendo.
Nakubaliana na wewe kiasi ingawa kupeana raha mnaweza mkapata raha bila pesa.., lakini sio vema kuwashangaa wale ambao bila pesa hawapati rahaRaha ya mapenzi kupendana, na kupendana kunahusu kupeana raha. Kupeana raha kunahusu pesa kwa kiwango kikubwa.
Refer uzi wa Mbu kuhusu kujipendelea... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/143617-kujipendelea-muhimu.html
Yeah ni kweli lakini huenda mtu akawa anakuonea huruma na anaona hawezi akakuacha sababu you are his/her responsibility..., (mfano ukiwa paralyzed na kuwa a potato yaani huwezi kufanya chochote hapo ni upendo unaomweka mpenzi wako abakie au ni huruma na responsibility na utu..., na sitashangaa kama huyu mtu atakuwa anakuombea kwa Mungu akupumsishe (eti usiteseke, kumbe huenda yeye ndio amechoka na responsibility)'Not feeling good' should also be part of love...Mie binafsi ninapenda kuupima upendo wa kweli pale mambo magumu yanapotokea. yaani ninapomhitaji mwenzangu asimame na mimi,... and vice versa. Inapokuwa sio hivyo basi ninabaki na question mark.
Kwa sababu inawezekana pesa zimemvutia kwangu,lakini je akinizidi kupata pesa( awe anatengeneza fedha kuliko mimi) hapo scenario itakuwaje?...
Je na wanaume wanaweza kuitwa gold diggers?? - ni kweli watakuwa na mapenzi ya kweli kwa kufuata pesa ya mwanamke????