Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Babu nasema kwa msisitizo hivi:

Hakuna mapenzi matamu kama ya PESA!......... PESA ni sabuni ya ROHO.... Bila Pesa Mapenzi na kadhia.... ni matatizo!

PESA PESA PESA.............Eeeh Mungu nijalie PESA nyingi ili huyu BIBI ya hawa wajukuu ajue jinsi navyompenda!


....Aspirin kama mapenzi ni pesa basi napata wasiwasi hapo,
kwani bibi itakuwa kila amwonapo mwanaume mwenye pesa anachachawa lol..... ...'('si ndio ugonjwa wake huo'')
 
halafu wewe mgumu wa kuelewa
sikusema hivyo...
nime ask tafsiri ya mtu successful ni ipi???????
hebu rudi usome upyaa


it should be someone who is genuinely happy and contented with his/her professional or vocational career and in his/her family or personal life. ...
 
Wapenda pesa wako wengi na bomba ile mbaya hivyo ukichujuka tu itakula kwako na jamaa yuko na binti mpya anakula maraha yaliyohamishwa toka kwako ma kuelekezwa kwa binti mwingine.

Hahaha Mr Man......Jamaa yeye ndo anahitaji penzi sio the other way around. Hivi tuseme hamjaona wenye nazo wakitumia hizo pesa zao kuwafanya wanawake wa-fall in love nao?

Msitake kuwanyanyapaa wanawake wanaopendwa na wanaume wenye pesa bwana.
 
mapenzi as a feeling should have some reasons, why not?? hata mie nakubali kabisa sababu iwe yoyote muhimu kwangu wenngine mtaishangaa, lakini kwangu ni muhimu, mfano macho, miguu, sura, tabia nk!!
Sababu yangu ya mapenzi kwa mtu fulani sio lazima ifanane na ya mtu mwingine yoyote.

ILA

Kuamua kuishi na mtu, kwa sababu ya mapenzi hayo ndio mie naona tatizo.
kwa mtazamo wangu tunatakiwa tuamue kuishi kindoa na watu ambao tunadhani kwa wakati huo, values zao na zetu, zitapikika chungu kimoja.
mfano regarles ya vivutio vile alivyokuwa navyo kama pesa, sura, tabia nk,

je

mitazamo yetu katika kuchukulia mambo muhimu kwangu kama dini? ndugu? kabila? pesa? watoto? makazi? ajira? itaweza kukaaa nyumba moja?
Mfano: Je wakati tunaongelea swala la pesa tutaongea kichina na kihaya? au tutaongea tuweze kufika conclusion? je nitaweza kukubaliana na mitazamo yake, just in case we have to choose?
 
Ikitokea haitakua kwasababu ni "successful" kama alivyoiweka boss ila kwasababu i like/love him as a person.Ngoja nikupe mfano mzuri....nnakaa kwangu na kila kitu najipa kuendana na kile nlichonacho na sio zaidi!Nikikutana na ambae nae zake zinamtosha kulipa kodi na chakula tu maisha yangu hayatabadilika kwasababu simtegemei aje kuongeza chochote .Vile vile huyu mwenye pesa hawezi nishawishi kuhama kwenye apartment yangu ya 200 000 kwa mwezi ili anipangie ya 600 000...kwahiyo pesa zake hazitobadili chochote kwangu kwahiyo sijali vijisenti vya mtu najali vyangu maana ndivyo vinavyoweza kuleta tofauti kwenye maisha yangu!

Hivi pesa ya mume haina athari kwako?
 
Hahaha Mr Man......Jamaa yeye ndo anahitaji penzi sio the other way around. Hivi tuseme hamjaona wenye nazo wakitumia hizo pesa zao kuwafanya wanawake wa-fall in love nao?

Msitake kuwanyanyapaa wanawake wanaopendwa na wanaume wenye pesa bwana.

Umeshuhudia dame akinyang'anywa kila kitu ndani ya nyumba na yule mwenye pochi kwa kuwa penzi limechujuka? Usipime aibu yake! unaweza kutamani kujiua! maana huna pakuuweka uso wako kwa aibu tele na jinsi ulivyoshuka daraja toka kule juu ulikokuwa kwa kuwa na kila kitu ndani ya nyumba sasa umeachwa mtupu! hata kiti cha kukalia huna! Penzi la pesa si penzi! mara nyingi huishia pabaya
 
Achana na definition za dictionary....what‘s YOUR definition of love!?
Now umekuja pazuri..., It does not matter what I think..., because that might not be what they Think.....
My point being bila ya kuwa kwenye Moyo wa hao so called Gold Diggers we cant say for sure, if their Love is Real or Not.... Tukifanya hivyo tutakuwa Judgmental.... and maybe kwa mimi kukupenda wewe cause ya Ucheshi wako, sura na Personality is not so much different au bora zaidi kuliko wao...
 
ishara ya kuwa succesfullna kuwa successfull ni vitu viwili tofauti...hujui????????
Ishara maana yake ni inaashiria kitu fulani...na kama kiashirio kipo basi hicho kitu fulani nacho kipo....though not always!
 
Thats a very hard question.., kuna mfano wa mama mmoja aliachwa na mme wake akatelekezwa na watoto na akafukuzwa kwenye nyumba Huyo mwanaume after some time akapooza na yule dada aliyekuwa nae akamkimbia..., Sasa as am talking ni huyo mama aliyefukuzwa ndio anaemtunza huyo mwanaume aliyemfukuza...., Sasa is that True Love au ni Huruma ambazo madada wengi wamejaliwa kuwa nazo??

What I think is when a woman decides to invest her love and emotions kwa mtu anatumia nguvu zote na hata iweje ile responsibility itamfanya asikuache yaani (women have got a motherly love ambazo wanaume wengi hatuna....) na kama Gaijin alivyosema Love is so Complex and sometimes Love alone is not enough sometimes unahitaji uvumilivu, huruma na busara kuendelea kukaa na mtu

'Not feeling good' should also be part of love...Mie binafsi ninapenda kuupima upendo wa kweli pale mambo magumu yanapotokea. yaani ninapomhitaji mwenzangu asimame na mimi,... and vice versa. Inapokuwa sio hivyo basi ninabaki na question mark.

Kwa sababu inawezekana pesa zimemvutia kwangu,lakini je akinizidi kupata pesa( awe anatengeneza fedha kuliko mimi) hapo scenario itakuwaje?...

Je na wanaume wanaweza kuitwa gold diggers?? - ni kweli watakuwa na mapenzi ya kweli kwa kufuata pesa ya mwanamke????
 
Ishara maana yake ni inaashiria kitu fulani...na kama kiashirio kipo basi hicho kitu fulani nacho kipo....though not always!

yes not always...
ndo maana nilisema ishara...
means sio wote wenye pesa ni successfull people...
 
halafu lizzy u r missing the point here...
hazungumzii watu wenye pesa but abusive
au ma snobs hivi.....

tunazungumzia mtu ana pesa na still ana quality zingine
 
Back
Top Bottom