bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 803
Babu nasema kwa msisitizo hivi:
Hakuna mapenzi matamu kama ya PESA!......... PESA ni sabuni ya ROHO.... Bila Pesa Mapenzi na kadhia.... ni matatizo!
PESA PESA PESA.............Eeeh Mungu nijalie PESA nyingi ili huyu BIBI ya hawa wajukuu ajue jinsi navyompenda!
....Aspirin kama mapenzi ni pesa basi napata wasiwasi hapo,
kwani bibi itakuwa kila amwonapo mwanaume mwenye pesa anachachawa lol..... ...'('si ndio ugonjwa wake huo'')