Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,124
- 93,237
You makes me as happy as a child opening his first holiday gifts. [emoji1]Aawwweee!! Thank you darling..You are My life..[emoji8][emoji8]
You makes me as happy as a child opening his first holiday gifts. [emoji1]Aawwweee!! Thank you darling..You are My life..[emoji8][emoji8]
[emoji3][emoji3][emoji3] honey..don't make me lough pulizzzzYou makes me as happy as a child opening his first holiday gifts. [emoji1]
Serious yna4 you makes my heart sing the right tunes[emoji3][emoji3][emoji3] honey..don't make me lough pulizzzz
[emoji23][emoji23][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
You helps me to shout out the World and its problems [emoji122][emoji23][emoji23][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Like yangu inauhalali kabisa kwenye andiko lakoNakataa hii mada kata kata.
Mwanamke kukuomba Pesa au Kutokuomba Pesa Haiwez kutumika km kipimo cha upendo wake kwako.
Alafu, how do you feel unapomuona mwanamke wako kajupamba na akapambika,ananukia vzuri, uso unang'aa, mavazi yamemvaa vzuri ,kiasi kwamba mnapita mbele za watu unajisikia raha .... Unapewa sifa "Aisee unajua kutunza" ... Kwaiyo unataka sifa zisizokua zako?? .
Mimi nasema ivi MWANAMKE HATOKUOMBA PESA IKIWA MWANAMME ANAJUA MAJUKUMU YAKE NIYAPI KUMUELEKEA MWANAMKE WAKE,,kinyume nahapo mwanamke atakuomba Pesa ,nabado atakua na mapenzi ya dhati kwako.
Wanaume wengi tunajisahau ,nakutaka vitu vinyonge ,vilivyokufa , matokeo yake unapoombwa Pesa unahisi hakupendi, sasa basi ikiwa hupendi kutoa pesa ,MPE HUDUMA,MPE MATUMIZI YAKE .
Wanawake wengine wanaakil sana, anakuomba pesa,si kwasababh hakupendi bali kwa sababu anataka kuwafanya wanawake wenzake wamuonee wivu yakwamba kua naww hajakosea .
niseme ikiwa unauwezo wakutoa toaa, ukiwa maisha bado hayajakaa sawa toa ktk uwezo wako ,ukiwa maisha yaan hayaekeweki kabisaaaaaaaaaaaaaa Naiman hata yeye atachukia siku ukimpa hela. ila haingii akilin Uko vzuri kiasi chake alafu mwanamke wako unashindwa hata kumpa hela ya saloon japo apendeze mara moja moja.
Tofautisheni Mizinga naHuduma.
Mizinga wanapiga Mademu.....huduma anapewa Mwanamke .
Binafsi napenda kumuona mwanamke kapendeza, ananukia vzuri, nakatika hayo yote napenda kua sehemu yake .................... Sema bado nazichanga[emoji23]
Narejea ,Kutoa pesa,au kua bahili sio kipimo cha mapenzi TENAAAA , Pesa?? Nikiungo muhimu sana ktk mahusiano.
Shukran mkuuLike yangu inauhalali kabisa kwenye andiko lako
Umeongea hadi nimeskia raha kukusoma natamani uendeleee tuu
Subiri Mwanaume akipata helaaa...........Juna saloon ninakwenda kusukwa nywele. Mmoja wa Wasusi wa pale amenizoea, alinipa namba yake akaniambia kama unataka kusuka nipigie simu tupange. Nilimpigia simu na tulipanga mimi niende kwake.
Anaishi kwenye chumba kimoja alichokipanga vizuri sana. Aliniambua anaishi na mume wake ambae ni kondakta mjini. Malengo yao ni mume kupata leseni ya udereva.
Tulipiga story za hapa na pale. Mine akirudi kutoka kazini. Bibi yule aliniomba radhi, alikwenda kumtengea munewe chakula. Kwa heshima zote mune alinawishwa mikono baada ya ugali kuiva.
Baada ya kula mume alimsaidia mkewe kupanga nywele nilizosukwa. Tulipiga stori wakanieleza changamoto walizopitia kufikia pale. Niliwapa moyo kuwa ni wachache sana wanazaliwa na kukuta mali nyumbani wote tuna pigana.
Kwa kweli nilijisemea moyoni. Wawili hawa wanaishi kwa amani kuliko anaendesha vogue lakini amani nyumbani hakuna.
[emoji23][emoji28]Subiri Mwanaume akipata helaaa...........
Yeah, inawezekana mwanaume anamvumilia huyo mwanamke kwa sababu hana hela, akipata hela anaenda kutafuta mkali zaidi.Subiri Mwanaume akipata helaaa...........
Mke kama huyu ukimuacha kwa visa vyako laana itakupata.Wakipata pesa kuna kimoja kitatokea kat ya mawil
AMA furaha na aman ikaongezeka ndan coz watakuwa na maisha yeny uhakika wa huduma muhim
AU ndoa ikaingiwa na migogoro baada ya mmoja wao kuanza kutumia pesa kwa mambo mengine ambayo hayakuwa kweny malengo yao km wanandoa
Inawezekana km atakuwa mcha-munguMke kama huyu ukimuacha kwa visa vyako laana itakupata.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli kabisaSubiri Mwanaume akipata helaaa...........