nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 694
Hahah!,umetisha mkuu.Ndio maana nikasema ilikuwa ujanani!nadhani akili za ujana huzijui??au we umetoka utotoni direct kwenye uzee???!!!afu unajiita binti wakati we ajuza una vitukuu
Hahah!,umetisha mkuu.Ndio maana nikasema ilikuwa ujanani!nadhani akili za ujana huzijui??au we umetoka utotoni direct kwenye uzee???!!!afu unajiita binti wakati we ajuza una vitukuu
Hivi kwani nyinyi hamuwezi kujihudumia paka msaidiwe!??? Nafikiri mnatakiwa mjihudumie wenyewe. Pesa ya mwanaune iwe kama kitu cha ziada.Hivi mwanaume wa kweli kabisa anaekupenda kwa dhati atashindwa kukuhudumia mpenzi wake?ukiona hakuhudumii huyo hana mapenzi nakuambia yupo anaempa badala yako.
Na mwanaume mwingine anajisifu kuhongwaaa....!whaaat?!!Tanzania hii!
Mimi siamini katika usawa baina ya me na ke!....
Mwanaume play ur part
Wengi hawatambui hilo mkuu,wanaingia kwenye mahusiano ili walipwe.Hivi kwani nyinyi hamuwezi kujihudumia paka msaidiwe!??? Nafikiri mnatakiwa mjihudumie wenyewe. Pesa ya mwanaune iwe kama kitu cha ziada.
Kwani hatujihudumii?!!Hivi kwani nyinyi hamuwezi kujihudumia paka msaidiwe!??? Nafikiri mnatakiwa mjihudumie wenyewe. Pesa ya mwanaune iwe kama kitu cha ziada.
Walipwe kwa kuuza nini??Wengi hawatambui hilo mkuu,wanaingia kwenye mahusiano ili walipwe.
hahahhahahaaaaa umemwaga radhi leo.....kelele hutaki sio.....Ahsante naongezea nyama
Wanaume wengi kweli wa kizazib1980's kuja juu ndo walalamishi kweli kwenye hela!
Mimi ni ke nahitaji kupendeza,kupendwa, kuhudumiwa n.k mzazi wangu part Yake ilishaisha its ur time meenn!!!!
Nipe nikupe mapenzi ya dhati!!nikupende upendeke sio mpk uwe na mamilioni mtoaji hata kwenye laki ya mshahara atampa mpenzi wake 2000 na ataridhika asie mtoaji hata akiwa na Mamilioni ya fedha hakupi Ila atalalamika hana kila siku.
Ndo maana mwatuambia twawafata wazee umri wa baba zetu sio nini...they know what we want,at what time and how to give us!!!!!!na tunatuluzana tuliii papara hatuna
Ninyi endeleeni kututukanaa tuu kua we r gold diggers..
Hatujaanza sisi kuhongwaaa walianza Kina Delila Wa Samson sembuse sie!![emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Haujakuwa ubavu bado (ndoa) so kwa vile bado ni lazima ujipange kujihudumia. Pesa ya mwanaume iwe kama ni hiari tuu ziada.Kwani hatujihudumii?!!
Nimetoka mbavuni kwako!kudeka lazima
MuulizeWalipwe kwa kuuza nini??
[emoji1]Mimi sijasema Mwanaume asimhudumie mwanamke,hoja yangu imejikita katika tabia ya wanawake kupenda kuomba omba pesa kupita kiasi,mwanamke anaekupenda anapata wapi ujasiri wa kuomba pesa mara kwa mara?ukiona Hivyo ujue huyo Mwanamke ni chuma ulete,ila mwanaume nae anatakiwa ajiongezee kumhudumia mpenzi pale inapobidi bila kuombwa pesa.
Unanidai mishkaki yako nitafuteAhsante naongezea nyama
Wanaume wengi kweli wa kizazib1980's kuja juu ndo walalamishi kweli kwenye hela!
Mimi ni ke nahitaji kupendeza,kupendwa, kuhudumiwa n.k mzazi wangu part Yake ilishaisha its ur time meenn!!!!
Nipe nikupe mapenzi ya dhati!!nikupende upendeke sio mpk uwe na mamilioni mtoaji hata kwenye laki ya mshahara atampa mpenzi wake 2000 na ataridhika asie mtoaji hata akiwa na Mamilioni ya fedha hakupi Ila atalalamika hana kila siku.
Ndo maana mwatuambia twawafata wazee umri wa baba zetu sio nini...they know what we want,at what time and how to give us!!!!!!na tunatuluzana tuliii papara hatuna
Ninyi endeleeni kututukanaa tuu kua we r gold diggers..
Hatujaanza sisi kuhongwaaa walianza Kina Delila Wa Samson sembuse sie!![emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] walalamishi kweli yaani!vijana washazoea wanafunzi underage!hahahhahahaaaaa umemwaga radhi leo.....kelele hutaki sio.....
[emoji1]mmmmhh afu nyie mnaojifanyaga kutaka kuhudumiwa mara nyingi ndo shida zimewajaa mpka kwenye kope ndo mnaona mwanaume ndo sehem ya kupumulia.........
Nikuhudumie kwani mapenzi ni huduma au ni kupendana?
Jumamosi pale ya 300[emoji2] [emoji2]Unanidai mishkaki yako nitafute
Umeongea hadi nimeskia raha kukusoma natamani uendeleee tuuAhsante naongezea nyama
Wanaume wengi kweli wa kizazib1980's kuja juu ndo walalamishi kweli kwenye hela!
Mimi ni ke nahitaji kupendeza,kupendwa, kuhudumiwa n.k mzazi wangu part Yake ilishaisha its ur time meenn!!!!
Nipe nikupe mapenzi ya dhati!!nikupende upendeke sio mpk uwe na mamilioni mtoaji hata kwenye laki ya mshahara atampa mpenzi wake 2000 na ataridhika asie mtoaji hata akiwa na Mamilioni ya fedha hakupi Ila atalalamika hana kila siku.
Ndo maana mwatuambia twawafata wazee umri wa baba zetu sio nini...they know what we want,at what time and how to give us!!!!!!na tunatuluzana tuliii papara hatuna
Ninyi endeleeni kututukanaa tuu kua we r gold diggers..
Hatujaanza sisi kuhongwaaa walianza Kina Delila Wa Samson sembuse sie!![emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mishkaki kwa lipi??? Kutetea mpewe pesa?? DahUnanidai mishkaki yako nitafute
[emoji2] [emoji2] [emoji2] nshamaliza nduguUmeongea hadi nimeskia raha kukusoma natamani uendeleee tuu
WoyoooooooooJumamosi pale ya 300[emoji2] [emoji2]
Khaaa wala mm sipo huko ya mishaki ni yetu tu ebu toeni hela acheni manenoMishkaki kwa lipi??? Kutetea mpewe pesa?? Dah
Acha hizo naomba uongee zaidi.wallah naskia raha kukusoma[emoji2] [emoji2] [emoji2] nshamaliza ndugu