Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Alieamua kutafuta pesa hatafuti kwa ajili ya wanawake, ukifanya hivyo utashangaa kwako hakuna shilingi inayosimama. Kwasababu umejigeuza ATM ya wanawake
 
Kuna jamaa yangu Fulani mademu kama hao huwa akiwapata anawa FILA haswa alafu anawabwaga. Na mjinga ana mkwanja hatari kuspend 600k kwa mwanamke in one weekend kwake sio issue kabisa.
 
Habari wakuu!


Siku hizi kumekuwepo na malalamiko sana kutoka kwa wanaume,wakidai kuwa wanawake
Wengi siku hizi wanapenda sana
Kuomba pesa,hali ambayo
Imewafanya wanaume wengi kuamini kuwa mapenzi ni pesa,
Kama hauna pesa huwezi kuwa
Na mwanamke jambo ambalo
Si kweli,leo nataka niwambie

Wanaume wenzangu ni kweli pesa
Ni muhimu katika mapenzi lakini
Mapenzi ya kweli hayana uhusiano
Wowote na pesa,"Mwanamke akikupenda kweli hawezi kuwa na Ujasiri wa kukuomba pesa hata siku moja",Huu ndio ukweli ukimuona Girlfriend wako hana aibu na mwepesi wa kukuomba hela jua
Hapo unaibiwa.


Mwanamke anayekupenda kweli anakuhitaji zaidi wewe katika maisha yake kuliko pesa yako
Lazima aogope kukuomba pesa
Kwa sababu anaogopa usije uka
Mtafsri vibaya na ukamuacha.
Lakini na wewe mwanaume
Unatakiwa ujiongeze kidogo
Umtunze mpenzi wako pale
Unapopata kidogo,mpatie pesa
Japo kuna wengine hujifanya kukataa we mbebeleze mpaka achukue huyo ndio mwanamke
Anaekupenda kweli.


Note:Mwanamke yoyote yule anaekupenda kweli hata awe changudoa hawezi kutanguliza pesa kwenye mapenzi yenu
wewe utapewa papuchi bure na pesa juu lakini wengine watalipia.
 
Hivi mwanaume wa kweli kabisa anaekupenda kwa dhati atashindwa kukuhudumia mpenzi wake?ukiona hakuhudumii huyo hana mapenzi nakuambia yupo anaempa badala yako.

Na mwanaume mwingine anajisifu kuhongwaaa....!whaaat?!!Tanzania hii!

Mimi siamini katika usawa baina ya me na ke!....
Mwanaume play ur part
 
Hivi mwanaume wa kweli kabisa anaekupenda kwa dhati atashindwa kukuhudumia mpenzi wake?ukiona hakuhudumii huyo hana mapenzi nakuambia yupo anaempa badala yako.

Na mwanaume mwingine anajisifu kuhongwaaa....!whaaat?!!Tanzania hii!

Mimi siamini katika usawa baina ya me na ke!....
Mwanaume play ur part
Nimekupenda bure
 
Nakataa hii mada kata kata.

Mwanamke kukuomba Pesa au Kutokuomba Pesa Haiwez kutumika km kipimo cha upendo wake kwako.

Alafu, how do you feel unapomuona mwanamke wako kajupamba na akapambika,ananukia vzuri, uso unang'aa, mavazi yamemvaa vzuri ,kiasi kwamba mnapita mbele za watu unajisikia raha .... Unapewa sifa "Aisee unajua kutunza" ... Kwaiyo unataka sifa zisizokua zako?? .

Mimi nasema ivi MWANAMKE HATOKUOMBA PESA IKIWA MWANAMME ANAJUA MAJUKUMU YAKE NIYAPI KUMUELEKEA MWANAMKE WAKE,,kinyume nahapo mwanamke atakuomba Pesa ,nabado atakua na mapenzi ya dhati kwako.

Wanaume wengi tunajisahau ,nakutaka vitu vinyonge ,vilivyokufa , matokeo yake unapoombwa Pesa unahisi hakupendi, sasa basi ikiwa hupendi kutoa pesa ,MPE HUDUMA,MPE MATUMIZI YAKE .

Wanawake wengine wanaakil sana, anakuomba pesa,si kwasababh hakupendi bali kwa sababu anataka kuwafanya wanawake wenzake wamuonee wivu yakwamba kua naww hajakosea .

niseme ikiwa unauwezo wakutoa toaa, ukiwa maisha bado hayajakaa sawa toa ktk uwezo wako ,ukiwa maisha yaan hayaekeweki kabisaaaaaaaaaaaaaa Naiman hata yeye atachukia siku ukimpa hela. ila haingii akilin Uko vzuri kiasi chake alafu mwanamke wako unashindwa hata kumpa hela ya saloon japo apendeze mara moja moja.


Tofautisheni Mizinga naHuduma.

Mizinga wanapiga Mademu.....huduma anapewa Mwanamke .

Binafsi napenda kumuona mwanamke kapendeza, ananukia vzuri, nakatika hayo yote napenda kua sehemu yake .................... Sema bado nazichanga[emoji23]

Narejea ,Kutoa pesa,au kua bahili sio kipimo cha mapenzi TENAAAA , Pesa?? Nikiungo muhimu sana ktk mahusiano.
 
Ni mdada kipindi flani niko choka mbaya!nilikuwa namtokea ila kila nikimuapproach ananipiga kizinga mara sijui lunch mara sijanywa chai najikuta nampa afu mi napiga ndefu!siku hiyo akanihurumia akanipa mzigo nilimchapa nao na kumkunja kiplan hadi akachanganyikiwa!hapo sasa nikaona ndo muda muafaka wa kumtema!!kila nikimkataa ananiganda ikabidi nimchane kwamba mi mambo yangu magum sihitaji uhusiano sasa hivi takupoteza tu!hakujali akawa anatimba magetoni anapika afu na mzigo napiga usiku kucha.akazidi kukolea kila nikitaka kumuacha analia kinoma nikaona acha niende nae mdogomdogo tamuachia njiani wapiii.ramani zangu zilipofunguka siku hiyo kanivamia geto akanikuta nakula manzi ingine!alilia hadi mwanamke mwenzie akawa amenigeuka na yeye kwanini namtenda mwanamke mwenzie!nikawatimua wote huyu mwingine alikuwa na chupi nikafukuzia mbali wote nikalala.kumbe yule demu wangu alilala hadi asubuhi hapo nje.asubuhi nafungua mlango namkuta!nikafunga nikaondoka.daahh ujana ulikuwa na mambo sana.
 
Back
Top Bottom