Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
Hata kilichonichekesha naulizwa acha nicheke tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Cha kukuchekesha?
Hata kilichonichekesha naulizwa acha nicheke tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Cha kukuchekesha?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwa Kweli Mimi Mwanamke napenda Anipende Kwasababu najua Kutafuta Pesa...mwabamke anipendee hivi hivi tuu??Kwani mi kaka yake?
Mi nataka Mwanamke anipende kwa ajili ya Hela Zangu ili anipe Nguvu ya Kuendelea kuzitafuta
Cc:Wanawake wote warembo....
Huyu anatafuta sababu zakuhararisha kudoo nababa zetuSasa hapa unazidisha mbwembwe na wewe. Wanawake siku hizi mnafanya kazi and you're highly paid. Pesa zenu mnapeleka wapi?
Yes huwa najutia na tulishasameheana.Ulimkosea sana huyo mwanamke.
Pesa ya mwanamke ina mambo mengi 100 kidogo mwanamke anaejitambua ukimpa ya kwako anafanyia maendeleo haswaa wala sio kujiremba Mimi ukinipa laki tano, mfano;jua italipa ada na ntaongeza mtaji wa askirimu pia!Sasa hapa unazidisha mbwembwe na wewe. Wanawake siku hizi mnafanya kazi and you're highly paid. Pesa zenu mnapeleka wapi?
Na mwanaume tambua majukumu yako Mimi hata km huna naweza kukupenda pia ila utambue wajibu wakoLakini kumbuka pesa haimfanyi mwanamke kumpenda mwanaume.
Aawwweee!! Thank you darling..You are My life..[emoji8][emoji8][emoji8] know that your presence in my life has turned it into a fairytale with a happy ever ending!!
Aidha una pesa nyingi sana au una date vitoto vyenye njaa. Nasema hivyo kwasababu ukidate mwanamke anaejieweza na kujuelewa utampa bei gani ukishamlala ili 'afurahi'? Coz anaweza kuwa na hela zaidi yako. Ila hawa njaa kali ukimmega anategemea akale so hizo 10k,20k,50k good to go.No money, no Honey, pesa ina mchango mkubwa sana katika mapenzi ya kweli tukatae tukubali.
Mimi mwanamke wangu sio kwamba ananiuzia big Noo, ila kila akija kunipa shoo lazima nimpe pesa, tofauti na ninazompa siku nyingine na haombi wala nini.
Sasa wewe kisa mtoto wa kike anakupenda basi kila siku umvue tu chupi umkaze halafu aende zake kila siku????
Kuomba hawezi ila atakuwa anaumia moyoni, na hapo akimpata wa Kumpa pesa hesabu umeumia mtaanza kutwanga kwa kupokezana ndani ya kinu kimoja michi miwili.
Hahahaha pole broe.. kwa hiyo unaowataka hawakutaki, usiowataka ndio wanakutakaWewe mapenz napesa kwasasa nisawa namaji namtungi au ccm narangi yakijani, me Kiukweli sijawahi kuwa namwanamke nimtakae bali nakuwa namwanamke nimpatae yote hiyo sababu sina pesa
Ndio mkuu saizi yangu kutembelea kibajaji yanini niforce v8 japo kuwa naipendaHahahaha pole broe.. kwa hiyo unaowataka hawakutaki, usiowataka ndio wanakutaka
Kweli kabisa mkuu!Kwenye hela ndo mnasema hakuna usawa kwingine kote mnataka haki sawa, mimi nikikutongoza kama hunipendi niombe tu hela wala sitokusumbua
Aidha una pesa nyingi sana au una date vitoto vyenye njaa. Nasema hivyo kwasababu ukidate mwanamke anaejieweza na kujuelewa utampa bei gani ukishamlala ili 'afurahi'? Coz anaweza kuwa na hela zaidi yako. Ila hawa njaa kali ukimmega anategemea akale so hizo 10k,20k,50k good to go.
Btw comment yako itapata Likes nyingi.
Ndio mkuu saizi yangu kutembelea kibajaji yanini niforce v8 japo kuwa naipenda
Hujui unasimamia nini. Soma paragraph ya kwanza na ya mwisho.Mkuu mapenzi hayachagui, masikini ama tajiiri mkiangukia kwenye mapenzi basi mtakuwa kwenye mapenzi haijalishi kipato cha mtu.
Lakini kuna wanawake wengine ukiwapa pesa hawapokei kozi wanazo wanakwambia kabisa usijali mpenzi pesa ninayo.
Sasa kwa muktadha huo inamaana hawa wanawake njaa tuwaweke kwenye dust bin si ndiyo tuwapende wenye pesa zao.
Halafu hao njaa Kali ndiyo wengi mkuu tofauti na hao hao wenye pesa zao, mapenzi ya sasa bila kunogesha na pesa hayanogi vinginevyo wengine watahudumia na utamegewa.
Usione vyaelea mkuu vimeundwa, kwa mapenzi ya sasa pesa lazima itumike.
bora umekuwa mkweliNo money, no Honey, pesa ina mchango mkubwa sana katika mapenzi ya kweli tukatae tukubali.
Mimi mwanamke wangu sio kwamba ananiuzia big Noo, ila kila akija kunipa shoo lazima nimpe pesa, tofauti na ninazompa siku nyingine na haombi wala nini.
Sasa wewe kisa mtoto wa kike anakupenda basi kila siku umvue tu chupi umkaze halafu aende zake kila siku????
Kuomba hawezi ila atakuwa anaumia moyoni, na hapo akimpata wa Kumpa pesa hesabu umeumia mtaanza kutwanga kwa kupokezana ndani ya kinu kimoja michi miwili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye hela ndo mnasema hakuna usawa kwingine kote mnataka haki sawa, mimi nikikutongoza kama hunipendi niombe tu hela wala sitokusumbua