Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Ni mara chache sana utajiri wa Mali ukaendana na amani moyoni

At hao wameshikana kujikomboa kiuchumi lakini usishangae siku wakifanikiwa mambo yakawa tofauti na mwisho wa siku kutengana kabisa

Binafsi nliwai kushudia jamaa na mkewe walikua na maisha duni sana wakaanza kwa kutembeza nguo za mtumba mtaan na jion wanakutana kuunganisha kilichopatikana na walikua wanapendana kiasi kwamba kila mtu aliwaonea wivu

Kidogo maisha yalianza kukubali wakanunua kiwanja na nyumba wakajenga

Kabla hawajahamia kwao moto ukawaka wakatengana tena kwa matusi mazito mke kamsweka jamaa lupango badae jamaa katoka na kutengana na mkewe kisheria

Umasikini hua na amani sana na ndio mana uwez kuta wanandoa waishio vijijin kwenye hali duni wakiachana ovyo kama mijini
 
Sky Eclat hapo kuna upendo wa kweli sio wa kuigiza wenye tamaa na vitisho. wengi wanashindwa, wanafikiri wana nuksi, wana laana, hawapendwi lahasha akili zao ndio mbaya sana ila sio siri wengine wanalaana ila hawajui kama wana laana, akikutana na mwanaume anajua huyu anaweza akanioa ah haipiti siku jama anakimbia sasa huishia kusema kuwa wanaume wote wako sawa ni wababaishaji ni waongo sasa laana zako mi nizipeleke wapi ( kuna jinsi ya ku cross check kama mtu ana laana ni rahisi sana tu unafanya hivi......), mwanamke anataka kuolewa anapanga aina ya uwezo wa mwanaume anaye mtaka kisa eti anataka asilete aibu nyumbani kwao na kwa ndugu zake. msimamo wa mtu ni kutafuta maisha yeye na mumewe hata kam ni from the ground or scratch that's life. wengine wameshaanza kuzeheka wanabaki wanashusha umri wa kuzaliwa kisa kuchagua ila time will tell wewe una umri gani.

Kumjua mwanamke ni mkubwa au mdogo muangalie vidole vya miguuni kwa juu kuna sign utaziona na utajua rika lake nimeziweka kwenye mabano maana wengine watakuwa wanaficha ila kila mtu ajue hawezi kuficha umri, acheni kina dada mnachagua sana unataka mwanaume awe na uwezo mkubwa kifedha eti awe ana kazi yake nzuri ndio atanioa lol kwani kuoa ni lazima, mbona watu hawaoi na wanaishi vizuri na maisha yao tu au wanaishi kwa kipato kidogo na maisha yanaenda tu, kama unataka mwenye uwezo, mwenye pesa basi tafuta kwanza wewe zakwako halafu umtafute na mwenye nazo. SIKU HIZI NASIKIA MNAUA WANAUME ILI MBAKI MNAFAIDI MALI sijui ni kweli.
Ni sign zip hizo!
nianze kuangalia vidole vya hawa warembo
 
Sky Eclat hapo kuna upendo wa kweli sio wa kuigiza wenye tamaa na vitisho. wengi wanashindwa, wanafikiri wana nuksi, wana laana, hawapendwi lahasha akili zao ndio mbaya sana ila sio siri wengine wanalaana ila hawajui kama wana laana, akikutana na mwanaume anajua huyu anaweza akanioa ah haipiti siku jama anakimbia sasa huishia kusema kuwa wanaume wote wako sawa ni wababaishaji ni waongo sasa laana zako mi nizipeleke wapi ( kuna jinsi ya ku cross check kama mtu ana laana ni rahisi sana tu unafanya hivi......), mwanamke anataka kuolewa anapanga aina ya uwezo wa mwanaume anaye mtaka kisa eti anataka asilete aibu nyumbani kwao na kwa ndugu zake. msimamo wa mtu ni kutafuta maisha yeye na mumewe hata kam ni from the ground or scratch that's life. wengine wameshaanza kuzeheka wanabaki wanashusha umri wa kuzaliwa kisa kuchagua ila time will tell wewe una umri gani.

Kumjua mwanamke ni mkubwa au mdogo muangalie vidole vya miguuni kwa juu kuna sign utaziona na utajua rika lake nimeziweka kwenye mabano maana wengine watakuwa wanaficha ila kila mtu ajue hawezi kuficha umri, acheni kina dada mnachagua sana unataka mwanaume awe na uwezo mkubwa kifedha eti awe ana kazi yake nzuri ndio atanioa lol kwani kuoa ni lazima, mbona watu hawaoi na wanaishi vizuri na maisha yao tu au wanaishi kwa kipato kidogo na maisha yanaenda tu, kama unataka mwenye uwezo, mwenye pesa basi tafuta kwanza wewe zakwako halafu umtafute na mwenye nazo. SIKU HIZI NASIKIA MNAUA WANAUME ILI MBAKI MNAFAIDI MALI sijui ni kweli.
Umri wa mtu unaweza kuujua nyuma ya kiganja cha mikono pia. Hata utumie anti aging creams ile ngoni ya kiganja haidanganyi.
 
Ni sign zip hizo!
nianze kuangalia vidole vya hawa warembo
siwezi kuzitaja in public watashtukia na watakuwa makini sana kuwaangalia wanaume kama wanawakagua huko isitoshe wataanza kuwa wanafanya marekebisho ambayo sio sahihi wataleta kansa
 
Mimi kwa kweli mambo ya kumvumilia mwanaume nlishaacha,umenikuta na mali pesa njoo na zako uniongezee,ila zangu huzigusi,huna pesa tambaa tafuta wanaoweza kukuvumilia mambo ya kumvumilia halafu akipata anakuona hafai sitaki kabisa.
 
Umri wa mtu unaweza juu jua nyuma ya bigamist vya mikono pia. Hata utumie anti aging creams ile ngoni ya kiganja haidanganyi.
Sky Eclat ya mikononi anaweza akasema huwa anfanya kazi sana ndio mikono inakuwa hivyo ila ya miguuni haina ubishi isitoshe unaweza ukamsoma kupitia vidole
 
Wanaume tunapenda tupendwe,tuheshimiwe na tuongoze familia zetu. Huwezi kuyapata haya kutoka kwa mwanamke mwenye akili kama huyo mwanamke hana uhakika wa kula,kulala,kuvaa na matatizo ya kwao kutatuliwa hata kama yeye hafanyi kazi yoyote yenye kuleta kipato kwenye familia.

Wanawake wanahitaji kupendwa,kuheshimiwa,kusikilizwa na uhakika wa kusimamiwa maisha yao(security and financial stability).

Nilipokuwa mvulana bado ninasoma nilikuwa wa hizi theory za kuanza maisha na mke wangu from zero scratch kinyume na ukweli wa maisha.

Ndoa nyingi zilizoanza from zero scratch zinavunjika au wanaume wanavulia kuishi kwenye masimango ya wake zao kama wao walivyovumiliwa pindi walipolalala chini kwenye godoro bila kitanda,chumba kimoja na baadhi ya masiku kulala njaa.
 
Na familia nyingi ambazo ziko vizuri ni zile ambazo mme na mke wameanza bila kitu na mwisho Mungu kawabariki na kujikuta wamefanikiwa sana....

Na ndoa za namna hii mara nyingi huwa zimebarikiwa sana tofouti na zile ambazo mke kaolewa kakuta mme ana mali na mara nyingi wanawake wa dizaini hii huwa na majivuno chungu nzima but ukija kwa reality kichwani hakuna kitu na ndoa za namna hii huvunjika bado zikiwa changa....
 
Mm sijambo,sikuhizi nimekuwa nalike tuu halafu napita japo sio kimya kimya,kama hivi tumekutana si etii best[emoji4]
Mpaka kufika hapa ujue nilikua nakutafuta yani nimekuview nikafatilia posts [emoji23] ila nafurahi kujua uko poa...
 
Na familia nyingi ambazo ziko vizuri ni zile ambazo mme na mke wameanza bila kitu na mwisho Mungu kawabariki na kujikuta wamefanikiwa sana....

Na ndoa za namna hii mara nyingi huwa zimebarikiwa sana tofouti na zile ambazo mke kaolewa kakuta mme ana mali na mara nyingi wanawake wa dizaini hii huwa na majivuno chungu nzima but ukija kwa reality kichwani hakuna kitu na ndoa za namna hii huvunjika bado zikiwa changa....
Hapo ukweli ni 30% na ukiona ivyo ujue mwanaume anapigana kufa ili kumridhisha mwanamke ili apate heshima ya mke
 
Back
Top Bottom