Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Mtu ukiwa na pesa unaandamwa kweli, mala huwezi uwona ufalme wa mbinguni, mara hatuna mapenzi ya kweli! Nyinyi maskini mna nini lakin? mnajifanya wema sana nyie.
 
Mtu ukiwa na pesa unaandamwa kweli, mala huwezi uwona ufalme wa mbinguni, mara hatuna mapenzi ya kweli! Nyinyi maskini mna nini lakin? mnajifanya wema sana nyie.
Bosi usimuite binadamu mwenzio maskini.ushauri bila vat.
 
Kisa huna gari usiwaharibie wenzako...bahati nzuri mwalimu wao kipofu,so hata ungetoa na videsa hawatayashika!
 
Tatizo siku hizi men nao wanataka kuwa na wanawake wenye pesa, hapo tatizo linakuwa kubwa zaidi.

Jamaa alisema eti hawezi date mdada asiye na pesa, coz atamsumbua sana kwa kuombaomba 10K.
Eli79 naomba 10k.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] STUNTER umetuamulia kweli, ila kwanini hizi nguvu usizihamishe kuwaelimisha wenzio kutafuta pesa? Maana inaonekana hili somo limegoma kueleweka.

Pesa kwanza mengine baadae.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] STUNTER umetuamulia kweli, ila kwanini hizi nguvu usizihamishe kuwaelimisha wenzio kutafuta pesa? Maana inaonekana hili somo limegoma kueleweka.

Pesa kwanza mengine baadae.
Ishu sio kutafuta hela espy, Ishu ni kuchunwa na nyinyi pasipo kuwa na mapenzi ya kweli,
Waulizeni wanawake wenzenu angalau waliowazidi umri au maarifa kama lara 1 atawaambia kwamba ''Hupaswi kumuomba mwanaume hela, bali unatakiwa umfanyie vitu mpaka apate sababu ya kukupa hela,'' UMEELEWA?,,
 
Back
Top Bottom