Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Tumtumbue.... hafai kwenye utafiti. Tangu lini Yanga wakaishangilia Simba?? Nadhani tulikosea kwenye interview
alikuja na sura ya huruma niliona atatusaidia kuoata baadhi ya majibu ila naon amejiandaa kwa revenge tu
 
Mpe moyo wako kwa sababu atakujali na kukuthamini kwa pendo lenye thamani ya Landcruiser!
enzi za magufuli hamna namna wacha waliwe labda ungewashauri enzi za mkwere au save huu ushauri uje uutoe mwaka 2026
 
Hivi wewe aliyekutuma uwashtue nani?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] Kwanza hata hivyo sina hela siwezi kumhandle cheaply nilivyotakiwa niitreat land rover ndivyo nitakavyomtreat yeye.
Mhhhhh!!! Au kisa kakuharibia ndo unajifanya hukutaka?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom