Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kila shetani na mbuyu wake, kwan hao wanaoendesha Ferrari hawastahili kupendwa?
Au tukiwapenda tujizuie kisa wana pay?????

Kila mtu akae moyo ulipotua bana.
 
enzi za magufuli hamna namna wacha waliwe labda ungewashauri enzi za mkwere au save huu ushauri uje uutoe mwaka 2026
Naona kama siku haziendi vile natamani nirudi Tz niwachore wale mademu walokuwa wananivimbishia... Hahahha....
 
Kila shetani na mbuyu wake, kwan hao wanaoendesha Ferrari hawastahili kupendwa?
Au tukiwapenda tujizuie kisa wana pay?????

Kila mtu akae moyo ulipotua bana.
Uwiano haupo sawa, mpaka muanze kujifunza kutafuta zenu ndio angalau tutawaelewa
 
Naruhusiwa kuleta posa?
Hapo sasa. ...CV yako imeekaaje. .maana hamna kukopa pesa au kuomba pesa. ..uwe mfanya biashara mzuri au kazi nzuri, Hiyo ndiyo pre qualification..
Kazi kwako mkuu. ..wako wengi sana.
 
Hapo sasa. ...CV yako imeekaaje. .maana hamna kukopa pesa au kuomba pesa. ..uwe mfanya biashara mzuri au kazi nzuri, Hiyo ndiyo pre qualification..
Kazi kwako mkuu. ..wako wengi sana.
Sasa mbona tunatishana tena?
 
9ac7e195cc8cada103f7912b7882f2d0.jpg
Bora huyo Real girl ambaye hayuko perfect, kuliko nungayembe ambalo haliko real
 
Umeniuliza swali nimekujibu. ..deep seas hizo. ..kama diver mzuri. .
Haya tena. ..
Sasa kama kilamtu na hela zake hamnakuombana, hata kama naingiza jero kwa siku, na inanitosha shida ipo wapi???
 
Back
Top Bottom