Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
THANK YOU
Nilikumiss kinyama yani, hasahasa hilo tabasam la kwenye avatarNaam! somo limekubalika
Hahahaa... Aisee kwahiyo upo radhi hata uchomwe na pasi ya uso kisa upo Dubai?? Kwani kipi hasa mnachokihitaji? Ujue mnashindwa kutofautisha vitu ndomana"Bora kulilia Dubai kuliko kulilia karioo"
karibuTHANK YOU
Hahaha... miss chagga unamsikia Mchaga mwenzio alie elimika??mapenzi upendo,uaminifu,kuheshimiana,kujaliana,pesa waachie wafipa
Sasa unaenda wapi?[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] mimi yuleeeee
Natangulia pm[emoji12] [emoji12] [emoji12]Sasa unaenda wapi?
money cant buy happiness, ila ni bora kulia ndani ya range unakua comfortableHahahaa... Aisee kwahiyo upo radhi hata uchomwe na pasi ya uso kisa upo Dubai?? Kwani kipi hasa mnachokihitaji? Ujue mnashindwa kutofautisha vitu ndomana
Hakika, kuna heshma yake kulia ndani ya Vogue bwana [emoji2] [emoji2] [emoji2]money cant buy happiness, ila ni bora kulia ndani ya range unakua comfortable
kumbe unakubali kaz yetu
Hii hatuwezi kuichukua kwenye waraka wetu.
Nashangaa hatupi ushirikiano. Anaifanya kazi yetyu iwe ngumu wakati vitendea kazi anavyo vimekaa tukumbe unakubali kaz yetu
ngoja nkamtafute arud huku upesiNashangaa hatupi ushirikiano. Anaifanya kazi yetyu iwe ngumu wakati vitendea kazi anavyo vimekaa tu
Hii hatuwezi kuichukua kwenye waraka wetu.
Huyu anataka wake zetu wachukuliwe na madereva wa bodaboda...